Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Nimewaza sana ,lengo lako kufutahisha au umeaanisha,maana kwa umati wa wanawake mlivyo ijaza Dar kuliko wanaume usingeweka vigezo vya vitisho kiasi hicho

Labda angekuwa X wife Mond tungewahi nafasi pale maana noti ipo
wasema wewe
 
Vigezo gani?, yaani wewe kumuwekea vigezo mwanaume, ni sawa sawa na mfano wa bidhaa na mnunuzi, mwanaume ni mnunuzi, wewe ni bidhaa, hivyo ni jukumu la mnunuzi, kuchagua ubora wa bidhaa anayotaka, na wala siyo bidhaa kumpangia mnunuzi.
 
Mtoto acha kupiga mayowe. Kama unahivyo vigezo vitaonekana kwenye vitendo na uhalisia na sio kuvitamka na kuvipamba kwa maneno lukuki.
Ni binadamu yupi ambaye akipewa nafasi yakujisifia atajisema kwa mabaya? Hakika hakuna na hatakuwepo chini ya jua.
Kwakifupi wewe ni msanii kama walivyo wasanii wenzako wa bongo movie na wala sio mwanamke sahihi kwenye ndoa.
 
Dunia haishiwi vituko, hivi ni mwanadamu yupi utampata amekamilika hapa kwenye sayari hii, km kweli unatafuta mume wa kukidhi vigezo hivyo basi jitahidi huenda utampata japo sidhani, na umekwepa kutaja umri wako
 
Vigezo gani?, yaani wewe kumuwekea vigezo mwanaume, ni sawa sawa na mfano wa bidhaa na mnunuzi, mwanaume ni mnunuzi, wewe ni bidhaa, hivyo ni jukumu la mnunuzi, kuchagua ubora wa bidhaa anayotaka, na wala siyo bidhaa kumpangia mnunuzi.
Si ndio maana hauna vigezo!!!
 
kamchukue kaka yake samantha! yaani lile robot uliweke hizo sifa zote litakufaa,sie binaadamu tumechemka.
 
Ulishaona nimeleta tangazo la kutafuta Mme humu?

Au nilishawahi kukutaka?
Mkuu, me nilitaka kujua tatizo nn aswaa....ila kwa maswali yako uliyouliza ujawai hata moja....
 
Victimised ? Don't be so bitter sob up
 
asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…