Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

mmezidi kuwa na bacteria labda mnamfanya dada wa watu awashwe
[emoji41][emoji41] mmh hakuna binadamu asiye nao hata awe msafi kiasi gani

Ndio maana kama kuoga ni usafi kwa nn taulo linachafuka?
 
6. Asiwe mwembamba nataka zawadi za nguo nitakazokuwa nampa zimkae vizuri yaan awe na body size ya kati.(gentleman

Nataka nguo za mtumba za kununua njian zimkae maana kununua slim fit kwa kina Robyone hapana sitaweza. Ungeswma ivo tuu jaribu kua muwazi
 
hy wenye vigezo na mwende mkikidhi mtuletee kd za mwaliko [emoji53]
 
Haya Masharti yalivyo Magumu utadhani, ni ACACIA wanataka kurenew mkataba wa madini wakakutana na masharti ya kina Prof Kabudi na Ossoro
 
wa ovyo? niombe samahani mm sio malaya yote uloyaandika nimekubali ila kuniita malaya imeniuma sana ungejua nina mda gani sijakutana na mwanaume usingeropoka hapa. anyway nisamehe tu nilivyokujibu.
Sory dada are you mzigua?
 
We unasema Msafi mbona kwenye label ya wcb haupo
 
Kutokana na Tangazo lako lilivyojaa unyanyapaa baadhi ya asili ya umbaji wa sir God na majigambo yako binafsi, kauli ya kuwa mcha Mungu nakataa wewe mfuasi wa RC tu lkn sio mcha Mungu, mcha Mungu wa kweli hawi mbanguzi na kutaka apate kila kitu kwa 100% km ulivyo pambanua Tangazo lako hapo juu utakuwa tayari kumsikiliza mwenye vigezo vyote 15...Mungu akufananishie hitaji lako ingawa ni ngumu .
AMEEN
 
Kama una sifa zote hizo na hujapendwa bado basi iko maneno hujaweka hapa
 
Haki nimekua nakesha kanisan kuomba nipate mtu wa sifa zako kumbe umejibanza huku jf,haya njoo nichukue niko hapa kwa mazaa
 
Back
Top Bottom