Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha hata Msumbiji ni nje ya nchi,huyu Mwanamke Chenga kweli[emoji3][emoji3][emoji3]Eti "ningetamani awe ameishi nje ya nchi"hahahahahaha utasubir sana
[emoji41][emoji41] mmh hakuna binadamu asiye nao hata awe msafi kiasi ganimmezidi kuwa na bacteria labda mnamfanya dada wa watu awashwe
Sijakuelewa shost?Nyie ni mtu mmoja?[emoji85] [emoji85] [emoji85]
6. Asiwe mwembamba nataka zawadi za nguo nitakazokuwa nampa zimkae vizuri yaan awe na body size ya kati.(gentleman
Rafiki kumbe upo ndani ya akili zangu na moyo wangu,thank you very much kwa kunijibia!![emoji122][emoji122][emoji122]Kuyapiga makofi
Najua akili zakoRafiki kumbe upo ndani ya akili zangu na moyo wangu,thank you very much kwa kunijibia!![emoji122][emoji122][emoji122]
Sory dada are you mzigua?wa ovyo? niombe samahani mm sio malaya yote uloyaandika nimekubali ila kuniita malaya imeniuma sana ungejua nina mda gani sijakutana na mwanaume usingeropoka hapa. anyway nisamehe tu nilivyokujibu.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Najua akili zako
Kale kaugonjwa kako ka ukichaa ka UDINI bado unakoKuabudu sanamu ndio kumekukosesha mume. Pole na kwaheri.....!