Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Endelea kuchagua
1. Wewe ni virgin?
2. Huna kale kaharufu kabaya Kwenye mapenz
3. Nikutakie uchaguzi mwema wa huyo babu umtakaye
sometimes ukiwa huna cha kukoment bora upite kimya.
nb. uzi wangu usikupe taabu wewe nenda uandike uzi wako na uweke vigezo unavyovitaka.
 
Huku hayupo labda jaribu Bongo movie wapo wengi.
 
ahaa wa nyongeza utampata wap wakati wewe huna hata wa kusingiziwa?
Wa nyongeza ndio nitakua Mimi! siunajua nyongeza haina kuchagua hata ukipewa embe bovu kama ni la nyongeza huwezi kuhoji.
 
Kigezo cha kuwa na mtoto kimefanya ukose bahat ya kuwa nami kwa maana Nina mtoto nje ya nchi (Uingereza) nilizaa na mcanada mmoja ivi ambaye anaishi uko uinger...
kwa nn mnapenda kuzaa nje ya ndoa? mtoto ni baeaka ika ana nafasi kubwa kuharibu amani ya ndoa, mfano ukienda kumwona mtoto si mnapasha kiporo? sasa maana yake ni nini?
 
Sijawah kusikia Gulio au Mnada wa wanaume ningekushauri uende gulioni na minadani.
Mafundisho yanasema mume/ mke bora anatoka kwa Bwana, huyo mume umtakae pamoja na ww nyie sio wa ulimwengu huu kwa maana hamtok kwa bwana, kama umeweza kupanga sifa za umtakae bila ubishi ukimpata utaweza kumpangia vya kufanya.
Ndio hutoka kwa bwana, lakini umeshawahi kujiuliza anakuja kwa njia gani?
Acheni kukalili

cc [TAG]Inna morata[/TAG]
 
Mbavu zangu mie
"Sema kuwa ALLAH ni 1.
Hakuzaa wala kuzaliwa.
Wala hana anayefanana Naye hata mmoja."
So nakushauri silimu kabla ya hujatoka roho.
Allah ndio nani. Kila mtu ana Mungu wake. Usipende mtu akifanye utakacho. Mwisho tutampenda mkeo Kwa kuwa ukipendacho
Kwa vigezo hivyo naomba ukatukatie bima kabisa maana hayo masharti ni zaidi ya bidhaa.
 
Kwa kweli vigezo 95% ila kwa hilo la kutaka kunishindanisha na wanaume wengine nilishaacha tokea namaliza darasa la 7. Nimejifunza katika dunia hii kuwa maisha ya amani na starehe yanahitaji kuishi katika dunia yako bila kuangalia wengine wanafanyaje. Do your best, pray and and relax. Ukiweka hicho kigezo sawa nitakualika hapa Cochabamba - Bolivia tufaidi upepo wa misitu ya Amazoni.
 
Kwa kweli vigezo 95% ila kwa hilo la kutaka kunishindanisha na wanaume wengine nilishaacha tokea namaliza darasa la 7. Nimejifunza katika dunia hii kuwa maisha ya amani na starehe yanahitaji kuishi katika dunia yako bila kuangalia wengine wanafanyaje. Do your best, pray and and relax. Ukiweka hicho kigezo sawa nitakualika hapa Cochabamba - Bolivia tufaidi upepo wa misitu ya Amazoni.
wala usiogope au ulidhani kupampanisha uwanjani? jiamini bana jikite katika maendeleo utanielewa, watoto wa mwisho kuzaliwa mna woga. ama?
 
Duh! Pamoja na sifa hizo hujatafutwa mpaka umeamua kutafuta, kazi kwelikweli.

Anyway, kila la kheri!
 
Back
Top Bottom