Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Kwanza nikupongeze kwa ku eleza uma hitaji lako kuhusu aina ya mume unaehitaji kuw nae. Endelea kuomba Mungu , huenda ndoto zako zikaj timia.
 
Sifa namba 2 wamejaa WCB wa kutosha...
 
Ungekua Mcha Mungu wala usingeandika hizo ngonjera zote au labda hujui maana ya kua mcha Mungu, mcha Mungu anaekosoa mpaka uumbaji wa Mungu kweli? Jiandae kupata waigizaji wakurarueeee mpaka ufurahi na mwisho utakuja na uzi unaosema Natafuta mume sifa awe anadinda tu...Hapo ni baada ya kufikisha 35 years
 
Hapo namba 15,ndio umeharibu kabisa,sifa zote ninazo,hapo tu,anyway kila la kheri,ila umekosa Lexus,wacha iendelee kupaki hm,akipatikana baby mama,ataendesha,
 
Bahati nzuri, mi mhaya, halisi.Na ninajua mchagua nazi, uinukia koroma.
 
wenye sifa wote tumeoa, na sifa nyingi kati ya ulizoweka tumezipata ndani ya ndoa. kazi ni kwako.
 
s
Ungekua Mcha Mungu wala usingeandika hizo ngonjera zote au labda hujui maana ya kua mcha Mungu, mcha Mungu anaekosoa mpaka uumbaji wa Mungu kweli? Jiandae kupata waigizaji wakurarueeee mpaka ufurahi na mwisho utakuja na uzi unaosema Natafuta mume sifa awe anadinda tu...Hapo ni baada ya kufikisha 35 years
sio kwa pve hili mkuu na wewe kabandike uzi ujimwae na vigezo vyako achana na uzi wangu.
 
Hapo namba 15,ndio umeharibu kabisa,sifa zote ninazo,hapo tu,anyway kila la kheri,ila umekosa Lexus,wacha iendelee kupaki hm,akipatikana baby mama,ataendesha,
ahaaaa pole hicho kifezo ni muhimu kwangu sio kwamba nabagua dia. nina sababu.
 
Wakuu salaam.

Kwa malezi niliyolelewa mimi sistahili kufanya ili jambo, pia kwa mila na desturi za kiafrika sistahili kufanya hiki kitu, lakini huu moyo ni wangu, na mmiliki wa moyo wangu ni mungu. Sasa nikajiuliza kwa nini niendelee kuumia? Hakuna sababu ya kuendelea kuumia? ingawa najua mwanamke kumtafuta mwanaume ni aibu kubwa, ila nikawaza kwakuwa kuna sababu ambayo najua ni muhimu sana akipatikana na nikampenda nitamuweka wazi na atanielewa. Mamayangu amenilea vizuri kwa maadili na heshima, nina Imani ninachokiandika hapa mungu yupo anashuhudia,

Wale mtakaokuja kuniponda eti kwa nini nitafute mtandaoni huku niishiko hawapo? Jibu ni kwamba wapo kibao na wengine nikili wananililia kunioa but, for the sake of my heart wacha niweke wazi mwanamme ninae mtaka staki wahuni mm sio mhuni mung ndo shihidi.

SIFA ZA MWANAUME NINAE MTAKA.

1. Awe na mama yake mzazi/mlezi lakini akiwa na wazazi wot itapendeza sana.kama hana wazazi basi sawa ni mpango wa mungu ingawa itaniuma sana,

Why awe na mama yake? wakuu nataka kumuona huyu mwanamke duniani kote yeye ndo atokee anizalie mme? Nataka kumuona nimwambie ‘mama asante kwa kubeba mimba miezi 9 ukanizalia mwanaume wa ndoa nitakupenda kama mama yangu mzazi.’

2. Awe msafiiiiii. Narudia tena awe msafi kupitiliza spendi mwanaume mchafu sipend aina yeyote ya uchafu, No no nataka siku nikikutana nae macho yangu yadhibitishe kuwa ni msafi,yaan kuanzia kwake ndani mavazi awe smart.

3 Awe mrefu.

4. Rangi Yeyote hainipi shida ila akiwa na ka uweusi Fulani atanoga

5. Awe anajua kuvaa. kama hajui kuvaa smart nitamfundisha hii sector niko vizuri sana

6. Asiwe mwembamba. nataka zawadi za nguo nitakazokuwa nampa zimkae vizuri yaan awe na body size ya kati.(gentleman

7.Awe ana upendo. jamani kama mimi.nasisitiza kama una roho ya paka usijidanganye nataka nionje taste of love

8 Awe ana care, jamani awe na mkono mwepesi hata akinipa pipi ina thamani kwamgu, namiss hii kitu mm natoa sana nikimpenda mwanaume siwezi kutoka mjini bila kumnunulia chochote nguo ndo usiseme.

9.Awe kristo rc na mcha Mungu

10. Awe na miaka 34+ ni lazima.

11. Awe ameshafika stage Fulani ya maisha. Staki mwanaume tegemezi, atleast awe na mradi mmoja wa kumuingizia pesa tofauti na ajira.staki mwanaume mzembe ambae hajui kutafuta pesa. Inshort awe na mipango ya kuwa somebody na future nzuri .staki mwanaume anaemiliki p.u.m.b.u na smartphone.mm ni mtafutaji staki mwanaume wa ovyo.

12,Awe na kucha zote miguuni, napenda weekend nikimkata vizuri kucha zikae fresh avae sandles sometimes pensi fulan amaizing atoke bomba.

13 Asiwe alishawahi kuoa wala kuwa na mtoto nje ya ndoa, Mtoto ni Baraka ila watoto wa nje ya ndoa wanaleta migogoro .staki mme wa mtu mm.

14. elimu degree, masters phd vyote sawa.
15 asiwe mhaya .plz naomba msinielewe vibaya samahani sana mnisamehe


SIFA ZANGU

1. Namshukuru mungu kunipa upendo nina upendo kwa kila mtu

2. Mimi ni msafiiiiiiiiii yaaani ni msafiiiii kupitiliza

3. Nimeajiriwa ila nimejiajiri kimradi changu kidogo pemben tho sipendi kuajiriwa ndo mana nataka mwanaume ambae atanipa sapport tupanga miradi tuwe na maisha bora.

4. Elimu –degree

5. Rangi –mweusi kiasi

6. Urefu size ya kati umbo mm sio bonge.

7. nacare sana nikimpenda mtu nampenda kwa vitendo

8. Sijawahi kumsaliti mtu

9. Dini mkristo –rc

10, najitegemea sitegemei mwanaume vitu vidogovidogo nina uwezo navyo in short mm ni mtafutaji.

11mimi ni mcha mungu.

12 napenda sana competition sipend mme wangu azidiwe na wanaume wengine hasa kimaendeleo

13 sina mtoto na sijawahi kuolewa.

14 nina akili ya maisha yaani IQ yangu ipo juu saa upstairs niko vizuri.

15 Mm ni mchangamfu sana mcheshi namshukuru mungu kuniumba hivi.

16. mm ni mvumilivu ila ikiwa too much, siwezi kuvumilia tena.

N.B. Mimi ni binadamu sijakamilika nina mapungufu yangu lakini hivyo kidogo mungu alichonijalia kinaendana na ukweli niliouandika hapa. hasa sifa zangu.


NOTE. Ningependa nikutane na mwanaume ambae alishawahi kuishi nje nchi yaani ana exposure ya mambo mengi nina sababu ya msingi hasa kimaendeleo / biashara LAKINI AKIDHI VIGEZO VYOTE NO 1-15 . lakini kama hajawahi kuishi nje na ana vigezo hakuna mbaya najua nikiwa nae tutafika mbali.


NINAVYO MISS.

1. Mme wamgu uko wapi? Nimekusubiri nimejitunza nimechoka kukusubiri

2. Nimemiss kukumbatiwa miaka sasa

3. Nimemiss kukiss staki kukiss na jitu la ajabu lichafu

4. Nimemiss kubebwa

5. nina upweke staki kukaribisha vijianaume vya ajabu kwangu

6. Uko wapi baba nikupikie uone ninavyojua kupika.

7. Njoo uone nilivyo msafiii sijawahi kuingiza mwanaume kwangu njoo uone kwangu nilivyo msafi

8. Njoo uone ninavyojipenda

9. Njoo nikuoneshe upendo
10 Njo baba mama yangu anataka kukuona.
11. Namiss neno baba njoo nikuite baba.

Kiukweli nimeniss vingi sana sio kwamba nilipo hakuna wanaume wapo wengi kazini ila nataka wangu wa moyo nimuoneshe upendo nae anioneshe maana hiki ndicho ninachokimiss kutoka kwa mtu nimpendae.

Mwisho mm ni mwanamke ninaejitambua wale ambao mtakuja hapa kunitusi eti nichonge au nizae mme wangu nawaomba tafadhari mkae kimya najua ninachokita. na nina imani huyu mtu mwenye sifa hizi yupo.

Angalizo.

kama unajua huna vigezo hivyo hapo juu plz usijisumbue kuja pm maana niko makini, najua kuna vitoto vinavyomiliki laptop baada ya kupata mkopo wa board vitakuja plz tuheshimiane ninaomba.



Karibuni.
Mbona ujasema kama chura unayo au ???
 
Wakuu salaam.

Kwa malezi niliyolelewa mimi sistahili kufanya ili jambo, pia kwa mila na desturi za kiafrika sistahili kufanya hiki kitu, lakini huu moyo ni wangu, na mmiliki wa moyo wangu ni mungu. Sasa nikajiuliza kwa nini niendelee kuumia? Hakuna sababu ya kuendelea kuumia? ingawa najua mwanamke kumtafuta mwanaume ni aibu kubwa, ila nikawaza kwakuwa kuna sababu ambayo najua ni muhimu sana akipatikana na nikampenda nitamuweka wazi na atanielewa. Mamayangu amenilea vizuri kwa maadili na heshima, nina Imani ninachokiandika hapa mungu yupo anashuhudia,

Wale mtakaokuja kuniponda eti kwa nini nitafute mtandaoni huku niishiko hawapo? Jibu ni kwamba wapo kibao na wengine nikili wananililia kunioa but, for the sake of my heart wacha niweke wazi mwanamme ninae mtaka staki wahuni mm sio mhuni mung ndo shihidi.

SIFA ZA MWANAUME NINAE MTAKA.

1. Awe na mama yake mzazi/mlezi lakini akiwa na wazazi wot itapendeza sana.kama hana wazazi basi sawa ni mpango wa mungu ingawa itaniuma sana,

Why awe na mama yake? wakuu nataka kumuona huyu mwanamke duniani kote yeye ndo atokee anizalie mme? Nataka kumuona nimwambie ‘mama asante kwa kubeba mimba miezi 9 ukanizalia mwanaume wa ndoa nitakupenda kama mama yangu mzazi.’

2. Awe msafiiiiii. Narudia tena awe msafi kupitiliza spendi mwanaume mchafu sipend aina yeyote ya uchafu, No no nataka siku nikikutana nae macho yangu yadhibitishe kuwa ni msafi,yaan kuanzia kwake ndani mavazi awe smart.

3 Awe mrefu.

4. Rangi Yeyote hainipi shida ila akiwa na ka uweusi Fulani atanoga

5. Awe anajua kuvaa. kama hajui kuvaa smart nitamfundisha hii sector niko vizuri sana

6. Asiwe mwembamba. nataka zawadi za nguo nitakazokuwa nampa zimkae vizuri yaan awe na body size ya kati.(gentleman

7.Awe ana upendo. jamani kama mimi.nasisitiza kama una roho ya paka usijidanganye nataka nionje taste of love

8 Awe ana care, jamani awe na mkono mwepesi hata akinipa pipi ina thamani kwamgu, namiss hii kitu mm natoa sana nikimpenda mwanaume siwezi kutoka mjini bila kumnunulia chochote nguo ndo usiseme.

9.Awe kristo rc na mcha Mungu

10. Awe na miaka 34+ ni lazima.

11. Awe ameshafika stage Fulani ya maisha. Staki mwanaume tegemezi, atleast awe na mradi mmoja wa kumuingizia pesa tofauti na ajira.staki mwanaume mzembe ambae hajui kutafuta pesa. Inshort awe na mipango ya kuwa somebody na future nzuri .staki mwanaume anaemiliki p.u.m.b.u na smartphone.mm ni mtafutaji staki mwanaume wa ovyo.

12,Awe na kucha zote miguuni, napenda weekend nikimkata vizuri kucha zikae fresh avae sandles sometimes pensi fulan amaizing atoke bomba.

13 Asiwe alishawahi kuoa wala kuwa na mtoto nje ya ndoa, Mtoto ni Baraka ila watoto wa nje ya ndoa wanaleta migogoro .staki mme wa mtu mm.

14. elimu degree, masters phd vyote sawa.
15 asiwe mhaya .plz naomba msinielewe vibaya samahani sana mnisamehe


SIFA ZANGU

1. Namshukuru mungu kunipa upendo nina upendo kwa kila mtu

2. Mimi ni msafiiiiiiiiii yaaani ni msafiiiii kupitiliza

3. Nimeajiriwa ila nimejiajiri kimradi changu kidogo pemben tho sipendi kuajiriwa ndo mana nataka mwanaume ambae atanipa sapport tupanga miradi tuwe na maisha bora.

4. Elimu –degree

5. Rangi –mweusi kiasi

6. Urefu size ya kati umbo mm sio bonge.

7. nacare sana nikimpenda mtu nampenda kwa vitendo

8. Sijawahi kumsaliti mtu

9. Dini mkristo –rc

10, najitegemea sitegemei mwanaume vitu vidogovidogo nina uwezo navyo in short mm ni mtafutaji.

11mimi ni mcha mungu.

12 napenda sana competition sipend mme wangu azidiwe na wanaume wengine hasa kimaendeleo

13 sina mtoto na sijawahi kuolewa.

14 nina akili ya maisha yaani IQ yangu ipo juu saa upstairs niko vizuri.

15 Mm ni mchangamfu sana mcheshi namshukuru mungu kuniumba hivi.

16. mm ni mvumilivu ila ikiwa too much, siwezi kuvumilia tena.

N.B. Mimi ni binadamu sijakamilika nina mapungufu yangu lakini hivyo kidogo mungu alichonijalia kinaendana na ukweli niliouandika hapa. hasa sifa zangu.


NOTE. Ningependa nikutane na mwanaume ambae alishawahi kuishi nje nchi yaani ana exposure ya mambo mengi nina sababu ya msingi hasa kimaendeleo / biashara LAKINI AKIDHI VIGEZO VYOTE NO 1-15 . lakini kama hajawahi kuishi nje na ana vigezo hakuna mbaya najua nikiwa nae tutafika mbali.


NINAVYO MISS.

1. Mme wamgu uko wapi? Nimekusubiri nimejitunza nimechoka kukusubiri

2. Nimemiss kukumbatiwa miaka sasa

3. Nimemiss kukiss staki kukiss na jitu la ajabu lichafu

4. Nimemiss kubebwa

5. nina upweke staki kukaribisha vijianaume vya ajabu kwangu

6. Uko wapi baba nikupikie uone ninavyojua kupika.

7. Njoo uone nilivyo msafiii sijawahi kuingiza mwanaume kwangu njoo uone kwangu nilivyo msafi

8. Njoo uone ninavyojipenda

9. Njoo nikuoneshe upendo
10 Njo baba mama yangu anataka kukuona.
11. Namiss neno baba njoo nikuite baba.

Kiukweli nimeniss vingi sana sio kwamba nilipo hakuna wanaume wapo wengi kazini ila nataka wangu wa moyo nimuoneshe upendo nae anioneshe maana hiki ndicho ninachokimiss kutoka kwa mtu nimpendae.

Mwisho mm ni mwanamke ninaejitambua wale ambao mtakuja hapa kunitusi eti nichonge au nizae mme wangu nawaomba tafadhari mkae kimya najua ninachokita. na nina imani huyu mtu mwenye sifa hizi yupo.

Angalizo.

kama unajua huna vigezo hivyo hapo juu plz usijisumbue kuja pm maana niko makini, najua kuna vitoto vinavyomiliki laptop baada ya kupata mkopo wa board vitakuja plz tuheshimiane ninaomba.



Karibuni.
Ujana maji ya moto, ngoja umri usogee utatamani kuolewa hata mke wa pili. Wewe badala ya kumuomba Mungu umpate atakayeendana na kusikilizana na wewe unaleta nasharti utafikili unatafuda modol.
 
Mwanaume msafi??? .. hapo mtihani upo
Boya huyu, hajui kuwa usafi wa mwanaume unategemea na mke aliyenaye.

Kwa taarifa yako ni kaida kwa mwanaume bachelor kwenda kununua boxer zingine baada ya alizokuwa nazo zote kuchafuka.
 
Boya huyu, hajui kuwa usafi wa mwanaume unategemea na mke aliyenaye.

Kwa taarifa yako ni kaida kwa mwanaume bachelor kwenda kununua boxer zingine baada ya alizokuwa nazo zote kuchafuka.
tulia usafi sio kila mtu anaweza, nina mfano mzuri tu wifi yangu ndi msafi kwelikweli ila kaka yangu sijui yupoje? anaweza kukuta mke anadeki wala hajali anapita na viatu , mtu unajiuliza kisa nyumba kajenga yeye? koj.o.a ulale dia.
 
tulia usafi sio kila mtu anaweza, nina mfano mzuri tu wifi yangu ndi msafi kwelikweli ila kaka yangu sijui yupoje? anaweza kukuta mke anadeki wala hajali anapita na viatu , mtu unajiuliza kisa nyumba kajenga yeye? koj.o.a ulale dia.
Huyo kaka yako siyo mchafu bali hana heshima.. Na inaonekana mmekosa malezi bora kwenu.

Kaka yako anaingia na viatu ndani na wewe ndiyo kama hivyo tena.

Poleni sana.
 
Nenda kwa wachonga vinyago then mwelezee hizo sifa atakuchongea huyo mumeo.
 
Back
Top Bottom