Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Huna vigezo wanaomiminika ni wapuuzi kama wewe
 
Aysee nimeguswa sana kama kweli hizo sifa unazo basi unastahili kuitwa mama.ila kwa vigezo hivyo nadhani hata wale mitume wa yesu kuna baadhi ya vigezo hawakuwa navyo.But all in all I wish you the best of luck.
 
Aysee nimeguswa sana kama kweli hizo sifa unazo basi unastahili kuitwa mama.ila kwa vigezo hivyo nadhani hata wale mitume wa yesu kuna baadhi ya vigezo hawakuwa navyo.But all in all I wish you the best of luck.
bora wewe umeongea wengine ni kejeriiiiii utafikiri wananijua.

mimi hicho nicho ninachotaka ambae hafiti eti mkuu si apite kushoto? akikosa walaaa sina shida.
kuhusu vigezo kuna vichavhe sana ambavyo ni minor, mtu akikidhi vile vya lazima.shida iko wap?

asante dia kunipa moyo.
 
Hamna shida mkuu naelewa kila mtu anatamani maisha fulani ya kumridhisha ili awe na amani ya roho. Ila mahusiano ni kama swala la mkopo benki, ukitoza riba kubwa na masharti magumu ya kurejesha mkopo basi watu wanaogopa kukopa na kutafuta sehemu yenye unafuu.Ukilegeza masharti unapata wateja wengi na unaweza kuchagua anaekopa nyingi ukampa first priority.
 
Daaah sifa moja tu ya kabila ndio imenipiga chini[emoji31] [emoji31]
 
Kama huna mtoto na haujawahi kuolewa, je umewahi kunasa mimba kwa bahati mbaya!? Make najua hauna bikra.
Kama bado, nitajuaje mayai hujalia chips!
Ushawahi fanya BJ!?
 
Kwa sifa hizo kama unaweza kuumba mwanaume mwenye sifa hizo basi muumbe na umpe
 
mimi ni mwandishi" kama huamin xoma hii.

Wew hufai hata kuchapisha tangazo la kazi. maana unaweza kuxema kuna nafasi za kazi alafu ukataka m2 awe na miaka 20 alaf awe na uzoefu kazin wa miaka 10 unadhani alimaliza chuo na miaka mingap? sawa nawew unaetaka m2 miaka 34 ambaye hajawahi kuoa duh anaweza akapatikana ila atakoxa kigezo kngne cha kuwa na mradi wa kumuingizia kipato. binafsi nikiwa na mrad mzur alaf niwe na miaka 34 cwez kukoxa kuoa.
powered by LIPUMBA
 
Unavigz vingi sana daaaaaah
 
Sifa zote ninazo ila sipo tayari
 
unachagua mme ndo mwsho wa cku mnaishiwa poz mnaolewa na walev kupindukia ili muokoe jahaz
 
Kila la heri binti.Nimelipenda tangazo lako na hata wewe mwenyewe, ingawa sijakuona.Nadhani tunge match, kama ningekuwa sijaoa na ingekuwa umeokoka.Dah,missed chance.Even though good luck.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…