Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Nilijua umeandika la maana kumbe marudio? Wacha nizeeke ila Niko kwangu nakula na kulala, wewe kwanza soma ligi ya wakubwa huwezi wewe katoto.
Sasa kama una kula kwako na kulala kwako na mambo mengine una uwezo wa kujihudumia si utafute tu sex toy ili uondoe genye zako.Wewe kubali tu kwamba una njaa ya pesa na huna unachohitaji toka kwa mwanaume zaidi ya pesa.
 
Mungu atakujalia umtakae[emoji120] [emoji120]
 
Hiyo IQ yako kubwa kabisa mtoa tangazo ingeshakwambia kuwa mwanaume wa 34+ mwenye sifa hizo ni eidha ameoa au ana mtu wake aliyemvumilia toka hajapata hata nusu ya sifa ulizotaja.Acha uvamizi
Pia hiyo IQ ingekwambia kuwa huwa hatupendi kulinganishwa. Na ugomvi wako na huyo raia utaanzia hapo kila siku kumtia jakamoyo kwamba hana maendeleo kama ya wengine. Acha tamaa
Ushauri:Tafuta asiye na mavigezo yote hayo. halafu fanya capacity building seminar ya bure, atakuthamini .utatoka. vinginevyo jiandae kuja na tangazo la kutafuta kutafuta sperm donor uwe single mother.
 
too much selection utafikiri mtu unaomba kazi............ukivipata hata vigezo vinne hapo tambaa naye zaidi ya hapo utapata chini ya vinne
 
alafu wasomi wengi wanawake huwa hawaolewi nikawa najiuliza why kumbe bhn ni vigezo kibao ww wataka malaika or mtu jamani
 
Shabiki, IQ yake ndo imemwambia aandike hayo yote[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dia huna jingine la kuandika hapa tofauti na ulichoandika? OK thanks
 
Sasa kama una kula kwako na kulala kwako na mambo mengine una uwezo wa kujihudumia si utafute tu sex toy ili uondoe genye zako.Wewe kubali tu kwamba una njaa ya pesa na huna unachohitaji toka kwa mwanaume zaidi ya pesa.
Nikajua una point kumbe taarabu? Dogo langu VIP?
 
Aseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.

Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
Mie kigezo cha usafi kimenikosesha mke ndiyo basi tena acha nisubirie mwakani majira kama haya.
 
Duuh hao walishakufa zamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vipi mama una churaaa nina sifa sote ulizotaja ila Mimi cpendi flat screen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…