Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Kwahiyo haruhusiwi kuchagua? Hivi unaanzaje kutokuchagua mwenza wa maisha yako. Mwacheni achague jamani, yeye ndio ataeishi nae sio nyie. Kama hauna vigezo subiri wa vigezo vyako.
Wa mtaani,kanisani,chuoni,kazini na kwenye magari kote amechagua akakosa ndo kaona aje kusagulasagula hizi fake IDs ndo zimfae...ukiona mtu mpaka kafikia kutafuta mtu wa kuishi nae maisha mitandaoni na bado ana masharti kama kazi za ukurugenzi kwenye mashirika ya mawasiliano ujue kuna tatizo tena kubwa sana,hili ni nung'aembe mkuu,wenye macho makali tushaona..

NB:Am married,i do this for fun.
 
Kwahiyo haruhusiwi kuchagua? Hivi unaanzaje kutokuchagua mwenza wa maisha yako. Mwacheni achague jamani, yeye ndio ataeishi nae sio nyie. Kama hauna vigezo subiri wa vigezo vyako.
Sasa si achague huko mtaani kwake au kazini?Hapa JF atachaguaje kama sio kuchanganyikiwa huku?Anayekuja kutafuta mchumba hapa maana yake amepunguza vigezo na yupo tayari kumpata mtu ambaye atamsaidia kubadilika. Huyu anaonekana ni perfectionist jambo ambalo litamsumbua sana na huenda ndio limemsumbua mpaka anaelekea kwenye 30's. Ndoa sio maigizo: ni vizuri kuwa realist badala ya kuwa na pipe dream.
Usije ukasema nimekosa vigezo,nina ndoa ya miaka 15 sasa hivi
 
NILISHA KUA NA WANAWAKE WA TYPE YAKO.... WASUMBUFU SANA NYIE... HAM FAI KUOLEWA SIFA ZENU NI HIZI:

1. Mna mdomo sana nyie/ ndani haku kaliki nima kelele na mizozano ya vitu vidogo. Mna nuna naku vuta mdomo siku nzima.

2. Hamjui kutunza siri za mwanaume... Mna ropoka sana nje.

3. Mna kiburi nyie....mna penda kuwa test wanaume kuona ata fanya nini..

4. Waongo/ pretenders wakubwa... Una weza kupewa hela uka ikataa kujifanya wewe sio mtu hela eti una jitegemea mwenyewe huku ukitaka kumuaminisha mwanaume kua wewe sio mtu hela hela... Kumbe una kopa nje.

5. Mmekaa kiuchuguzi/ kudadisi /kufatilia nyendo za mwanaume... Unataka kujua anaenda wapi? Anaongea na nani? Wakati mwingine hata marafiki zake huwa taki/kama sio kuwa ponda.

Aisee nina weza kumaliza siku nzima nawa chambu wanawake wa style yako...

In short to me wewe sio WIFE MATERIAL huna sifa hio... Your are a PROBLEM to any man...
thanksssssssssssssssssssssssssssssss tena saaaa huyo ulokutana nae sio mm. wewe lala upumzike
 
Huyo wa hizo sifa labda akamuumbe mwenyewe, halafu yeye hatakiwi kuchagua, anatakiwa asubiri achaguliwe, hii principle ni ya muhimu sana. Kui overlook kutamgharimu sana maisha yake.
Unataka mume au shamba?

Utapata mrefu lakini jambazi

Utapata mfupi lakini malaya

Hakuna mwenye ukamilifu wa sifa zote hizo, hata wewe mwenyewe unamapungufu yako.

Pole sana.
 
Labda umuumbe mwenyewe.

Otherwise nasubiri kuona thread yako ukitafuta mume yeyote aliyetayari kufunga ndoa.
 
Kweli kiboko!!!kwa uzoefu wang huyu atakuwa kabila fulan lile kutoka kanda ya ziwa!!
 
Huyo wa hizo sifa labda akamuumbe mwenyewe, halafu yeye hatakiwi kuchagua, anatakiwa asubiri achaguliwe, hii principle ni ya muhimu sana. Kui overlook kutamgharimu sana maisha yake.
umesoma sentensi yangu ya kwanza? j2 njema
 
NILISHA KUA NA WANAWAKE WA TYPE YAKO.... WASUMBUFU SANA NYIE... HAM FAI KUOLEWA SIFA ZENU NI HIZI:

1. Mna mdomo sana nyie/ ndani haku kaliki nima kelele na mizozano ya vitu vidogo. Mna nuna naku vuta mdomo siku nzima.

2. Hamjui kutunza siri za mwanaume... Mna ropoka sana nje.

3. Mna kiburi nyie....mna penda kuwa test wanaume kuona ata fanya nini..

4. Waongo/ pretenders wakubwa... Una weza kupewa hela uka ikataa kujifanya wewe sio mtu hela eti una jitegemea mwenyewe huku ukitaka kumuaminisha mwanaume kua wewe sio mtu hela hela... Kumbe una kopa nje.

5. Mmekaa kiuchuguzi/ kudadisi /kufatilia nyendo za mwanaume... Unataka kujua anaenda wapi? Anaongea na nani? Wakati mwingine hata marafiki zake huwa taki/kama sio kuwa ponda.

Aisee nina weza kumaliza siku nzima nawa chambu wanawake wa style yako...

In short to me wewe sio WIFE MATERIAL huna sifa hio... Your are a PROBLEM to any man...
akikuquote niambie mkuu sana sana atajifanya hajaona hii mchangooo
 
nimelipenda hili tangazo, ila wewe hujasema una umri gani!
 
Weka umri wako na wewe...sio wewe mtoto alafu unataka mwenye 34+ kisha hana mtoto. Usijekuta huna kizazi unatakanna mmeo asiwe na watoto.

Pia umesahau kigezo muhimu sana cha wewe kuwa nacho ...CHURA MAMA CHURAAAAAA....unafuga jichuraaaaa? Sura tutavumiliana.
 
nimegundua wanawake wa JF wanaoomba uchumba ni vichwa maji, na pengine wana mambo ya kishirikina au wanaelekea kwenye anga za uchawi kabisa kabisa.
 
Pamoja na vigezo viiingi ambavyo vingi more idealistic than realistic, mwanaume hawi msafi kupitiliza, usafi utaenda kumfanyia wewe, ukipata huyo msafi kupitiliza halafu baadae ukagundua kitu cha ajabu sana usirudi kutulilia hapa.
Labda anataka awe msafi kama James nyamvuto!!
 
thanksssssssssssssssssssssssssssssss tena saaaa huyo ulokutana nae sio mm. wewe lala upumzike
You know what graduate!, you are trying to misuse the principle, you are trying to mary a man, you dont have a moral, legal, biological whatever to do that, you wait to get married, ignore this and you suffer the consekwense.
 
Aseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.

Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana.
 
Back
Top Bottom