Inna morata
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 370
- 268
- Thread starter
- #141
kwa nn?Mwanaume msafi??? .. hapo mtihani upo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa nn?Mwanaume msafi??? .. hapo mtihani upo
thanksYou know what graduate!, you are trying to misuse the principle, you are trying to mary a man, you dont have a moral, legal, biological whatever to do that, you wait to get married, ignore this and you suffer the consekwense.
Labda anataka awe msafi kama James nyamvuto!![/QUOTEH
thanksTangazo lako liko vizuri sana hongera kwa hilo
Mungu no mwema atakupatia wa kufanana nawe
Ila kwa hivyo vigezo najua we ni mhenga mwezetu
Unaweza ukawa sahihi kwa upande mmoja lakini pia inaweza ukawa hauko sahihi kwa upande mwingine.Wa mtaani,kanisani,chuoni,kazini na kwenye magari kote amechagua akakosa ndo kaona aje kusagulasagula hizi fake IDs ndo zimfae...ukiona mtu mpaka kafikia kutafuta mtu wa kuishi nae maisha mitandaoni na bado ana masharti kama kazi za ukurugenzi kwenye mashirika ya mawasiliano ujue kuna tatizo tena kubwa sana,hili ni nung'aembe mkuu,wenye macho makali tushaona..
NB:Am married,i do this for fun.
Thanks for what!thanks
Sawa ukimpata ulete na mrejesho ili watu wasikusumbue tenathanks
una vituko i wish nikuoneHebu muite fasta maana akimkosa huyu haitokaa itokee tena.hii harusi sitaki kukosa
everythingThanks for what!
Nafikiri walioweka hili jukwaa hawakukosea kabisa, hakuna shida kuwa perfectionist kama utakutana na wa kufanana nawe.Sasa si achague huko mtaani kwake au kazini?Hapa JF atachaguaje kama sio kuchanganyikiwa huku?Anayekuja kutafuta mchumba hapa maana yake amepunguza vigezo na yupo tayari kumpata mtu ambaye atamsaidia kubadilika. Huyu anaonekana ni perfectionist jambo ambalo litamsumbua sana na huenda ndio limemsumbua mpaka anaelekea kwenye 30's. Ndoa sio maigizo: ni vizuri kuwa realist badala ya kuwa na pipe dream.
Usije ukasema nimekosa vigezo,nina ndoa ya miaka 15 sasa hivi
Same type tu sioni utofauti wako na wao...thanksssssssssssssssssssssssssssssss tena saaaa huyo ulokutana nae sio mm. wewe lala upumzike
Wakuu salaam.
SIFA ZA MWANAUME NINAE MTAKA.
11. Awe ameshafika stage Fulani ya maisha. Staki mwanaume tegemezi, atleast awe na mradi mmoja wa kumuingizia pesa tofauti na ajira.staki mwanaume mzembe ambae hajui kutafuta pesa. Inshort awe na mipango ya kuwa somebody na future nzuri .staki mwanaume anaemiliki p.u.m.b.u na smartphone.mm ni mtafutaji staki mwanaume wa ovyo.
Hapa namba 11 pameniacha hoi
SIFA ZANGU
13 sina mtoto na sijawahi kuolewa.
Je wewe ni bikira au uliishawahi kumjua mwanaume?
Vipi hujawahi kutoa mimba?
Nani kawaambieni mwanamke anatafuta?, mwanamke anatafutwa. Wewe unataka niwe na vigezo unavyotaka wewe kwani wewe ndio unanioa?Unaweza ukawa sahihi kwa upande mmoja lakini pia inaweza ukawa hauko sahihi kwa upande mwingine.
Njia hii ni rahisi zaidi kumpata mwenye vigezo vyako vingi unavyovitaka,kuna mtu alielezea kuwa maisha yamebadilika hivyo mambo mengi yamebadilika, tusikariri tu.
Kuna watu ktk maisha ya nje ya mitandao sio watu wa kujichanganya sana, hivyo hawakutani na watu wengi. Kwa hiyo kukutana na mtu wa vigezo vyake ni nadra sana. Ila kwa njia hii inarahisisha.
asante dear umemjibu vizuri[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu kama hauna sifa ni hauna tu. Usimalizie stress zako kwangu.
Jambo haliwi baya mpaka pale akili yako itakapoamua kulifanya liwe baya.Nani kawaambieni mwanamke anatafuta?, mwanamke anatafutwa. Wewe unataka niwe na vigezo unavyotaka wewe kwani wewe ndio unanioa?
Terms and Conditions to be Applied...Aseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.
Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.