Mwakamele 16
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,493
- 1,113
Ngoja tumalize suala la Mwanafunzi wa NIT aliyepigwa risasi halafu nitakuja nikujibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
awasiliane na limutuzEti "ningetamani awe ameishi nje ya nchi"hahahahahaha utasubir sana
kama ningeweka sifa zangu zote nilizonazo mgetoa povu pipa zima. kwa sasa endelea kuamini hizo kila mtu ana sifa zake tulia.Huyu bibie akuulizwa unae chura hajibu kwa kua hana na huo ndo ugonjwa mkubwa wa wanaume.anyway najaribu tu kuangalia nitarudi na strong point sooon
Nadhani umeshindikana huko mitaani, makanisani na kwengineko kwa sababu zifatazokama ningeweka sifa zangu zote nilizonazo mgetoa povu pipa zima. kwa sasa endelea kuamini hizo kila mtu ana sifa zake tulia.
haya maneno yaliishaandikwa kwenye kanga embu sema jingine dogo. wakati unatoa povu wenzako wanamiminika pm ahaaaaa shame on u dogo langu.Nadhani umeshindikana huko mitaani, makanisani na kwengineko kwa sababu zifatazo
1:bibie ni unajifanya ni mjuaji kupitiliza hakuna usichokijua.
2:Bibi uko na mdomo mrefu wa kujibujibu kila mtu inaezekana hata wazazi wako nyumban wamekuchoka na kidomodomo chako.
3:Bibie una lugha chafu ambayo haina staha.lugha za kwenye ma bar na stendi.
4:Bibie Unajiamini kupitiliza huna kiasi.Katika maisha lazima uwe kiasi.
5:Bibie anaonekana ama anajifanya yuko na elimu kubwa ila bado hajaelimika.
Katika mapenzi mikwaruzano ni kawaida na inaongeza chachu ya mapenzi.Sasa ikitokea mmekwaruzana mnatatuaje kwa mwanamke wa namna hii? Na bibie ni aina ya wanawake ambao kila kitu wanajionaga wako Right!!! Hawakoseagi na hawasahuriki.Nadhani mwanaume anayetakiwa hapa awe mnyonge atapelekwapelekwa vibaya mno mpaka atajuta.hii ndo staili ya wale ma bibie ukirudi miangaikoni anataka hadi akusachi mifuko yote.
Anyway ni tathimini yangu tu usichukulie personal.
God be with you.
Asante
NB:KIZURI CHAJIUZA...............
Kwa kauli zako hizo utaishia kipigwa mashine mpaka maji uite Mmahaya maneno yaliishaandikwa kwenye kanga embu sema jingine dogo. wakati unatoa povu wenzako wanamiminika pm ahaaaaa shame on u dogo langu.
mbona hivyo dia vyuma vimekaza? polee.ahaaa umewaza madada yako yalivyoshindikana unavuta picha kunifananisha? pole sana
dia acha kurusharusha miguu tulia unyolewe
waulize walokuja pm wangapi wamenipiga mashine? na waulize kama kuna mwenye no yangu? mm ni mke wa mtu mtarajiwa. ingawa sijajua huyo mtu ni nani so lazima niwe makini.ahaaaaa wish u know meKwa kauli zako hizo utaishia kipigwa mashine mpaka maji uite Mma
All the Best. You will get your heart desire.
Checklist hii inatisha. Mmmmmm haya kila la kheir tunaomba mrejesho pia kama utampata mwenye kutimiza vigezo hivyo
unisaidia kunisindikiza dia.Mwanaume wa aina hiyo labda uende SIDO au VETA ukamchongeshe