Mmmh vigezo kuliko mganga WA jadi kama vile unatafta DAWA ya ndagu duh we noma sanaaa hii ni hataree Mimi ni mwembamba na sina elimu rangi yangu MAJI yakunde mrefu lakin so sana mradi wa kuniingizia pesa sina kama utakuwa tiyari kubiwezesha sawa kabila yangu ndo hiyo usiyo ipenda uliyo itaja bahati mbaya sina baba yupo mama umri wangu 24 kama utajuwa tayari na kama hautojali nicheki no 0782505565 ukiwa na nyia ya kuolewa kwer nitafta vigezo vingine ninavyo stumii aina yoyote ya kilev ulev wangu napenda sana mziki lakn sio kwenda kwenye makasino maana sipend kelele mm msafiki kuvaa nitajitaidi lakn siku ya kuonana na Mimi utanipenda kama hautojali nichek can mtoto na sijawqhi kuoa haya nifikilie
Sent using
Jamii Forums mobile app