Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Aseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.

Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
kaoleweee na baba ako....kama hadi pua ni kigezooo
 
Kwa stahili iyo utazalia kwenu mpaka uzeeke. Masharti mengi utadhani umeshushwa kutoka kwa mungu kumbe ni wa kawaida sana, utabaki kuchangia na kuhudhulia harusi na send off za wenzako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina sifa 17 ambayo sina ni kwamba nimeoa..
Ila kama unataka mtoto anayefanana na baba yake we ni pm tu.
Mmmh vigezo kuliko mganga WA jadi kama vile unatafta DAWA ya ndagu duh we noma sanaaa hii ni hataree Mimi ni mwembamba na sina elimu rangi yangu MAJI yakunde mrefu lakin so sana mradi wa kuniingizia pesa sina kama utakuwa tiyari kubiwezesha sawa kabila yangu ndo hiyo usiyo ipenda uliyo itaja bahati mbaya sina baba yupo mama umri wangu 24 kama utajuwa tayari na kama hautojali nicheki no 0782505565 ukiwa na nyia ya kuolewa kwer nitafta vigezo vingine ninavyo stumii aina yoyote ya kilev ulev wangu napenda sana mziki lakn sio kwenda kwenye makasino maana sipend kelele mm msafiki kuvaa nitajitaidi lakn siku ya kuonana na Mimi utanipenda kama hautojali nichek can mtoto na sijawqhi kuoa haya nifikilie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh vigezo kuliko mganga WA jadi kama vile unatafta DAWA ya ndagu duh we noma sanaaa hii ni hataree Mimi ni mwembamba na sina elimu rangi yangu MAJI yakunde mrefu lakin so sana mradi wa kuniingizia pesa sina kama utakuwa tiyari kubiwezesha sawa kabila yangu ndo hiyo usiyo ipenda uliyo itaja bahati mbaya sina baba yupo mama umri wangu 24 kama utajuwa tayari na kama hautojali nicheki no 0782505565 ukiwa na nyia ya kuolewa kwer nitafta vigezo vingine ninavyo stumii aina yoyote ya kilev ulev wangu napenda sana mziki lakn sio kwenda kwenye makasino maana sipend kelele mm msafiki kuvaa nitajitaidi lakn siku ya kuonana na Mimi utanipenda kama hautojali nichek can mtoto na sijawqhi kuoa haya nifikilie

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo Mimi sijawahi kula Tigo na wala sitokujakula tigo.
 
Wewe ndiye hukuwa makini hadi uka-quote reply yangu....ulitakiwa u-quote original thread.umenielewa?
OK powa maana mm napenda amani na ninajua sote tuliyoko humu so wqtoto na tunaakili timamu ulitakiwa kunijbu kistarabu na majibu yako hayaendani kabsa brother mm so vile ulivyo nifikili na usimzarau mtu maana humu mtandaon kuna watu tofaut tofaut sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
OK powa maana mm napenda amani na ninajua sote tuliyoko humu so wqtoto na tunaakili timamu ulitakiwa kunijbu kistarabu na majibu yako hayaendani kabsa brother mm so vile ulivyo nifikili na usimzarau mtu maana humu mtandaon kuna watu tofaut tofaut sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena ishia hapohapo usipandishe maruhani yangu sasa hivi.
 
NIMEKIDHI VIGEZO VYOTE KASORO VIWILI TU,NI VIMIAKA VYANGU VICHACHE NAA AJIRA YANGU YA KWANZA SIJAJIAJIRI BADO.I repeat ,vigezo viwili tu...Daamn nakosa mke hivi hivi....
 
Mama hujaeleza hadi mwisho, mkia unao?

Kabla sijafikiria kwenda pm nijue kabisa unavuta trela au ni kama vits nyuma imekatwa?

Hata mimi nlitaka kumuuliza vipi anakishundu kidogo au kapigwa pasi manake raha ya mwanamke mwene kistobe mkitembea pamoja atangulie mbele kidogo we uwe nyuma hatua moja unakiangalia na unaangalia kama waroho wanakitolea macho, sasa unapita na mwanamke wako toka tabata bima mpaka magengeni hakuna hata mtu alomwangalia, hizo habari me sitaki


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mimi ninazo sifa nyingi kati ya hizo tajwa except miaka 34+ na kingine nilichogundua wewe una kaushamba fulan( according to your writtings ) sasa mimi nina alergy na wanawake washamba au wale wanajifanya wanajua sana ilhali hawajui kitu wanaweza wakakwaibisha mbele za watu unknowingly sasa hapo ni pagumu kwangu, i never date Mshamba+Mjuaji....


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom