Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Kikubwa nilichokiona kwenye bandiko lako hapo juu ni kwamba una tamani sana kuishi maisha ya ndoto zako, siku zote kumbuka kwamba siyo kila ndoto ina uhalisia, wanaume unaoishi nao huko mtaani, kazini au popote pale ktk maisha halisi ndio sawa sawa na sisi wa huku mitandaoni (ndio sisi sisi) hakuna tofauti kikubwa tu ni kwamba hujafanikiwa kukutana nasi sote ktk maisha yako halisi na kuzifaham sifa na tabia zetu. Ushauri wangu kwako ni huu 'jiweke huru kupendwa na kupendeka ktk mazingira uliyopo, kila mwanaume ni mume ila mwanamke bora ndiye mwenye uwezo wa kumfanya mume huyo kuwa Mume bora kwake, ukiendelea na mawazo yako hayo utasubiri sana mama hku mitandaoni hakutoshi kuweka uhalisia wote wa maisha yetu, tuna nafasi ndogo tu inayo tufanya tufahamike na kufahamiana kidogo tu kulingana na nafasi, kumbuka hakuna aliye mkamilifu,kujihesabia ukamilifu sana pia ni tatizo, all the best lady.
Bora hata wewe umeongea la maana wengine wanaishia kunitukana as if ndo wataishi nae.
 
MOYO WAKO HAUNA THAMANI KWASABABU NIKIKUPIGA NGUMI MOJA YA KIFUA AU TITI...UTAAMKA? UKIPELEKWA HOSPITALI UKATIBIWE MOYO HIYO HELA UNAYO...? KWAHIYO WEWE HUNA THAMANA...TOA TU HIYO **** TUOTOMBE BASI.
 
MOYO WAKO HAUNA THAMANI KWASABABU NIKIKUPIGA NGUMI MOJA YA KIFUA AU TITI...UTAAMKA? UKIPELEKWA HOSPITALI UKATIBIWE MOYO HIYO HELA UNAYO...? KWAHIYO WEWE HUNA THAMANA...TOA TU HIYO **** TUOTOMBE BASI.
Kijana unamaneno makali, alishagawa moyo kifuatacho anataka kuolewa tu na usikute kaishawavulia wanaume hata 5 au zaidi hafu wote wanakula mzigo na kutoweka. Namshauri ajichunguze yeye kwanza.
 
MOYO WAKO HAUNA THAMANI KWASABABU NIKIKUPIGA NGUMI MOJA YA KIFUA AU TITI...UTAAMKA? UKIPELEKWA HOSPITALI UKATIBIWE MOYO HIYO HELA UNAYO...? KWAHIYO WEWE HUNA THAMANA...TOA TU HIYO **** TUOTOMBE BASI.
Kuzuia mdomo kutoa harufu mbaya tumia Colgate, whitedent sio salama.
 
Nimecheka kishenzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa Wewe pua ndefu na kucha za miguuni za nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukitaka mwanaune mwenye sifa hizo mzae wewe , unataka mwanaume ambaye ameshafanikiwa kimaisha akutafute wewe , wanaume siku hizi wamefunguka kimawazo hawataki wanawake tegemezi , kumbuka msemo wa ukiona mwanaume amefanikiwa jua kuna mwanamke jasiri yuko nyuma yake , wew unapenda wanaume wenye mafanikio utaishia kupenda wanaume wa watu , mtu mwenye sifa zote hizo umkute amekaa tu anakusubiri wewe , labda huyu mwanaume mgonjwa , usipende mtelemko , tafuta mwanaume wa kujenga nae sio wakwenda kula baada ya muda atakufukuza nani anataka maisha kunyonyana damu , wew unanyota ya kuwa nyumba ndogo aka mke wa pili , na utambue mwanaume hata aende kuoa wake kumi kama hajamuacha mkewe jua mapenzi yapo kwake huko kote anahangaika tu sikumoja macho yatafunguka
 
Labda umuumbe mwenyewe, vipi ww ni bikra? pia hao ambao hujawah kuwasaliti ilikuwaje mkaachana?
 
Back
Top Bottom