ANDREW JOSEPH
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 422
- 405
Mume hatafutwi mama tabia yako ndio itamtafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu atakuwa malaika kaamua kuja kuwajaribu watanzania
Umetoa povu. Buree mm sio tegemezi kuwa na adabu, ndo maana staki tegemezi, wivu tu umekujaaa huna lolote.tafuta pesa wacha kuangaikaUkitaka mwanaune mwenye sifa hizo mzae wewe , unataka mwanaume ambaye ameshafanikiwa kimaisha akutafute wewe , wanaume siku hizi wamefunguka kimawazo hawataki wanawake tegemezi , kumbuka msemo wa ukiona mwanaume amefanikiwa jua kuna mwanamke jasiri yuko nyuma yake , wew unapenda wanaume wenye mafanikio utaishia kupenda wanaume wa watu , mtu mwenye sifa zote hizo umkute amekaa tu anakusubiri wewe , labda huyu mwanaume mgonjwa , usipende mtelemko , tafuta mwanaume wa kujenga nae sio wakwenda kula baada ya muda atakufukuza nani anataka maisha kunyonyana damu , wew unanyota ya kuwa nyumba ndogo aka mke wa pili , na utambue mwanaume hata aende kuoa wake kumi kama hajamuacha mkewe jua mapenzi yapo kwake huko kote anahangaika tu sikumoja macho yatafunguka
Division 5 MNA matatizo sana.unaoneka huna akili hata kidogo...
Ukiona hivyo maneno imeingia unatafuta wanaume za watu wenye sifa kama hizo tayari wanafamiliaUmetoa povu. Buree mm sio tegemezi kuwa na adabu, ndo maana staki tegemezi, wivu tu umekujaaa huna lolote.tafuta pesa wacha kuangaika
Ukishafeli darasa la NNE ni shida, bure kabisa, mwandiko kama kuku.Ur rubbixh unauelewa mdg xana binti
Xema huwezi kuxoma bint,Ukishafeli darasa la NNE ni shida, bure kabisa, mwandiko kama kuku.
Ur permit minor mind to guide megamind datx are reaxon to uXema huwezi kuxoma bint,
JF raha sana. Halafu huyo huyo akija PM kwa ID nyingine anajibebea mzigo.Umetoa povu. Buree mm sio tegemezi kuwa na adabu, ndo maana staki tegemezi, wivu tu umekujaaa huna lolote.tafuta pesa wacha kuangaika
JF raha sana. Halafu huyo huyo akija PM kwa ID nyingine anajibebea mzigo.