Huyu ndio surprise au bonus artist anaewakilisha bongo

Huyu ndio surprise au bonus artist anaewakilisha bongo

Watu wanaomponda Diamond kwenye hii game ya Bongo Fleva ni vipofu au tuseme hawana shukrani. Huyu mjomba kaichukua hii Bongo Fleva to another level sasa imepata thamani mnampika majungu. Hawa wakina Ali Kiba na wengine wote walikuwa wanaimba kupata milupo na kuganga njaa kwa wahindi. Kaja jamaa kuonyesha njia ya kupiga hela watu wanampika majungu, watanzania sijui tupoje!!!
Hakuna anayemponda Diamond,
Watu wameshangaa tu jinsi meneja wa diamond amepanic na kutokwa povu baada kiba kupanda hilo jukwaa.
 
Kwan umeambiwa diamond hatoperform mtv mama tatizo nyie tema kibakuli mnaona ajabu kuperform mtv wakati mond huu n mwaka wake wa3 hatakuwa ana perform
Alicho maindi meneja n kutumika kwa jina la diamond kuvuta watu halafu kikaja kisanii kingine nacho ku perform
kwani kwenye hiyo show kulikuwa na Diamond peke yake mpaka useme Diamond alitumika kuvuta mashabiki?!
 
kwani kwenye hiyo show kulikuwa na Diamond peke yake mpaka useme Diamond alitumika kuvuta mashabiki?!
Ndio hata na huyo Raila Odinga kupitia f.b alisema hatakuwepo Diamond hakutaja wasanii wengine
 
Anatumia Jina LA mondi kivipi mbona unalalamika tu, kwani aliyetangaza ni kiba au wenye event yao
Naona umepagawa n mtv hadi umeweka avatar habari mbaya Diamond hata perform pia na kule hamna kupewa viroba ili mzomee
 
Naona umepagawa n mtv hadi umeweka avatar habari mbaya Diamond hata perform pia na kule hamna kupewa viroba ili mzomee
[HASHTAG]#Aje[/HASHTAG] tu, habari mbaya upande wako nadhani, au hukumbuki fiesta na kiboko yao, Halafu hujajibu pale juu aliyetangaza ni nani
 
sina mahaba na yeyote ila kimahesabu king alitakiwa apewe2.5mil kwakuwa daimond ana team ya watu 20 king ya watu 10 kimahesabu hapo king yuko juu ki mkwanja

Sasa ujinga ni kwamba pamoja na watu hao 20 wa mond ila bado anapiga playback wakati kiba ana watu 10 na anapiga live band. Meneja mswahili akajipange... Ajue anadili na meneja msomi anayeijua industry ya mziki wa ndani na wa nje viZuri.
 
Ni sawa na mkeo ukasema una msurprise halafu unampa matambara wakikuchukulia wajanja usilie..kuna haja watu wakatambua hili neno "surprise"linamaanisha nini
Mkuu hilo neno surprise watu wanali underestimate kwa kuwa tu limetumika kwa Ally ila wote wanatambua lina maana gani... huwez ukam surprise mtu na jambo la kawaida
 
Kwan umeambiwa diamond hatoperform mtv mama tatizo nyie tema kibakuli mnaona ajabu kuperform mtv wakati mond huu n mwaka wake wa3 hatakuwa ana perform
Alicho maindi meneja n kutumika kwa jina la diamond kuvuta watu halafu kikaja kisanii kingine nacho ku perform
Sasa huko kutumika alitumia kiba???kwani kiba ndo alikuwa mwenye hiyo show au mualikwa tu
 
Ni sawa kwenye show ya Fiesta watangazwe wasanii wote halafu siku ya show apande BEST NASO ghafla halafu waseme eti hiyo ni suprise.... surprise gani hiyo? Surprise inabidi msanii anayepanda awe mkali kuliko wale wote kama ilivyotokea kwa kiba kule kwenye fiesta, that was a real surprise. Hata Kenya waandaji waliamua kuwapa burudani ya ukweli kwa kumpandisha kiba kwa surprise maana ndio aliyekuwa anakubalika kuliko wote.... Surprise sio kitu kidogo
Wanajifanya kujitoa akili...[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom