Huyu ndio surprise au bonus artist anaewakilisha bongo

Huyu ndio surprise au bonus artist anaewakilisha bongo

Walijua diamond hawezi kutokea ndo maana wakafanya surprise ila kiba alijua kwahiyo hapo ushajua nan anamuogopa mwenzie.. Diamond pamoja na makeke yake yote lakini anamuogopa kiba huo ndo ukweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alipo Kiba Diamond hasogei
Mnafikiri kasahau Fiesta 2014 Leaders?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Doa gani?Yani wewe ndo unajidai unaona mbali kuliko hata Kiba mwenye muziki wake?
Umbea tu.
Pole pole(sio humphery) dada!!!

Yeye anaweka maslahi yake ya kifedha akiona yamekaa tu sawa.

Ila akumbuke ana maslahi mengine kuliko hizo fedha ,na yeye anashusha hii maslahi yake sababu kakubali kua msanii ambae watu hawajakuja kumwona yeye show.
 
Pole pole(sio humphery) dada!!!

Yeye anaweka maslahi yake ya kifedha akiona yamekaa tu sawa.

Ila akumbuke ana maslahi mengine kuliko hizo fedha ,na yeye anashusha hii maslahi yake sababu kakubali kua msanii ambae watu hawajakuja kumwona yeye show.
Hivi kama kapewa pesa zake kuna tatizo gani?
 
Kila habar inawahuzunisha

Kuna msani wa fiesta yaan bongo freva na kuna msann wa afrimama
Mama award
Mtvbase
Chanel o
Huyo ni international sio local
 
Zeroooooo [emoji108][emoji108][emoji108]

ImageUploadedByJamiiForums1473671368.464874.jpg
leo iyo swala Ya eid Mombasa shuti kualikwa na gavana wa Mombasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uwiiiiiii Kiba anataka kurudisha ule moto wa team uliopoa JF siku hizi.
Siwezi kusubiri [emoji39][emoji39][emoji39]
NI REMIX YENYE MAHADHI TOFAUTI AKIWA NA M.I ITATOKA VIDEO NA AUDIO NA THEN ATAACHIA MZIGO WA INTERNATIONAL AMBAO UTAKUWA SURPRISE KWA MASHABIKI WAKE
 
AJE MPAKA SASA IKO CHAT ZA JUU KABISAA IMEPOTEZA NYIMBO ZA DOMO NA PAPA WEMBA NA SASA KIDOGO NAYO HAIFUI DAFU KABISAAAAAAAAAAA BIG UP KING KIBA UNATISHA KWA SAUTI NA COLLABO ZAKO HAZIKAMATIKI AISEEEEEEE
 
Back
Top Bottom