Huyu ndio surprise au bonus artist anaewakilisha bongo

Hakuna anayemponda Diamond,
Watu wameshangaa tu jinsi meneja wa diamond amepanic na kutokwa povu baada kiba kupanda hilo jukwaa.
 
kwani kwenye hiyo show kulikuwa na Diamond peke yake mpaka useme Diamond alitumika kuvuta mashabiki?!
 
kwani kwenye hiyo show kulikuwa na Diamond peke yake mpaka useme Diamond alitumika kuvuta mashabiki?!
Ndio hata na huyo Raila Odinga kupitia f.b alisema hatakuwepo Diamond hakutaja wasanii wengine
 
Anatumia Jina LA mondi kivipi mbona unalalamika tu, kwani aliyetangaza ni kiba au wenye event yao
Naona umepagawa n mtv hadi umeweka avatar habari mbaya Diamond hata perform pia na kule hamna kupewa viroba ili mzomee
 
Naona umepagawa n mtv hadi umeweka avatar habari mbaya Diamond hata perform pia na kule hamna kupewa viroba ili mzomee
[HASHTAG]#Aje[/HASHTAG] tu, habari mbaya upande wako nadhani, au hukumbuki fiesta na kiboko yao, Halafu hujajibu pale juu aliyetangaza ni nani
 
sina mahaba na yeyote ila kimahesabu king alitakiwa apewe2.5mil kwakuwa daimond ana team ya watu 20 king ya watu 10 kimahesabu hapo king yuko juu ki mkwanja

Sasa ujinga ni kwamba pamoja na watu hao 20 wa mond ila bado anapiga playback wakati kiba ana watu 10 na anapiga live band. Meneja mswahili akajipange... Ajue anadili na meneja msomi anayeijua industry ya mziki wa ndani na wa nje viZuri.
 
Ni sawa na mkeo ukasema una msurprise halafu unampa matambara wakikuchukulia wajanja usilie..kuna haja watu wakatambua hili neno "surprise"linamaanisha nini
Mkuu hilo neno surprise watu wanali underestimate kwa kuwa tu limetumika kwa Ally ila wote wanatambua lina maana gani... huwez ukam surprise mtu na jambo la kawaida
 
Sasa huko kutumika alitumia kiba???kwani kiba ndo alikuwa mwenye hiyo show au mualikwa tu
 
Wanajifanya kujitoa akili...[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…