Huyu ndio surprise au bonus artist anaewakilisha bongo

Kiba ananyima watu usingizi hivi dah huyu sallam kumbe nae ni zero hivi yy Ndio anampa chati Kiba kwa mambo haya anayopost
 
Meneja kaguswa sehemu sio itakua haiwezekani kashtuka kwa kiwango hiki.
 
Hahaaa kiungo reserve yani baada ya first eleven haha dharau mbayaa mzee wa bench ikitokea majeruh unawekwa kiraka diamonds are forever lazima mjue kutofautisha katiyaaaaa chibuuuuuuuu!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Roho mbaya zenu mithili ya korosho tutazinyoosha, Tumezaliwa na kukulia kariakoo wewe wa tandale ndio ujifanye upo juu? What the hell, Mwaka jana tuliwambia hivi kufikia October mwaka huu, wote mtafyata mikia, sasa yametimia, Tunawachemsha kwa pasi ya mkaa yani hata umeme uzimike mtanyooka tu.
 
Meneja kaguswa sehemu sio itakua haiwezekani kashtuka kwa kiwango hiki.

Haamini anachokiona, Alaf eti yanasema yanataka kuupeleka mziki wetu mbali na kuleta heshima nyumban!!! Hii mijitu mbona minafiki sana, chuki roho mbaya tu, inaona gere inataka yenyeww ndiwe iwe juu siku zote.


Kiba jeshi la mtu mmoja, Anatumbua kavu kavu bila collabo.
 

Ukitaka kujua wanapenda fitna leo usiku wako radhi mmoja wao hata atembee uchi ilimradi kesho awe habari kisa kesho kuna 'Nisamehe' duh kuna time hua naachwa hoi na hawa mameneja
 
kijana,usitudanganye kuwa ndomo ndo msanii nambari uno east Africa. leta takwimu
To be honesty, nimejaribu kuwahoji vijana wengi wakike na wakiume walio stable,kuhusu nasseb na ali,nilichogundua majority of'em wanamkubali huyo ali.kuna two classes hapa,wale ambaokwamba wanamkubali Ali na wale wa cocobeach kama mm tunamkubali Nasseb.
 
Hahaaa mnanifurahisha kweli kwahiyo kiba katoka huko et anaenda kumshusha domo , waandaaji watakuwa walifanya siri maana walijua diamond anaweza asiperform akijua kiba yupo, jibu ni kwann?

Ooh sad thing, get a life.
 
Mpira na hasa wa miguu huwezi linganisha na huu ungese wa muziki mbovu huu.....kuwa makini.
 
Kwahiyo mond akipanda jukwaani wengine hawaruhusiwi kupanda? Acheni uoga wa kitoto huo....mastaa wa dunia wanashea majukwaa seuse hao wa tandale na ilala.
kama ingekuwa ni zari I waiti pareee hapo sawa ....
 
Hahahaaaa halafu kiba ye hajali sasa watu washaanza Mara huyu kalipw mil 5 huyu mil 3 hiyo yote mapovuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aliyelipwa 5m ana timu ya watu 20...mwenxie amelipwa 3m ana timu ya mtu 10.....aliyofanya biashara mwenye watu 10....malipo per person ni laki 3 huyu mwingine malipo per person ni laki 2.5
NAANZA KUELEWA CHANZO CHA POVU NI ZAIDI YA WINGI WA OMO KWENYE MAJI
 
sina mahaba na yeyote ila kimahesabu king alitakiwa apewe2.5mil kwakuwa daimond ana team ya watu 20 king ya watu 10 kimahesabu hapo king yuko juu ki mkwanja
Wewe itakuwa unesomea hesabu na hasa zile za profit and loss accounts....kuanzia Leo naomba nikubatize utakuwa swit mangiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…