Hahahaaaa umenichekeshaAliyelipwa 5m ana timu ya watu 20...mwenxie amelipwa 3m ana timu ya mtu 10.....aliyofanya biashara mwenye watu 10....malipo per person ni laki 3 huyu mwingine malipo per person ni laki 2.5
NAANZA KUELEWA CHANZO CHA POVU NI ZAIDI YA WINGI WA OMO KWENYE MAJI
Umeonaee watu wanahis hiyo hela yote anakula yeye peke yake kumbe Ana rundo la watu nyumaSasa ujinga ni kwamba pamoja na watu hao 20 wa mond ila bado anapiga playback wakati kiba ana watu 10 na anapiga live band. Meneja mswahili akajipange... Ajue anadili na meneja msomi anayeijua industry ya mziki wa ndani na wa nje viZuri.
Ally Hana makuu mkaka wa watu wanamtafuta wao wenyewe ..Jana kajipostia picha za IDD Mombasa Hana hata wasiwasiMeneja uchwara huyo,hata yule mwingine anaitwa sjui Almas mzambele nimeona kaweka mimaneno yake ya kike kule fb,sasa swali ni kwamba kwani walikuwa kwenye competition huko mombasa???mpaka waanze kumparura ally wakati yye wala hawajibu kitu???
Kiba alipewa hela akapiga show ila watu na roho mbaya zao mapovu yanawatokaSasa huko kutumika alitumia kiba???kwani kiba ndo alikuwa mwenye hiyo show au mualikwa tu
Basi tumekusikia kalale sasaAlly Hana makuu mkaka wa watu wanamtafuta wao wenyewe ..Jana kajipostia picha za IDD Mombasa Hana hata wasiwasi
Kwani sisi mashabiki ndo waandaaji na kwanini meneja wenu apanic? Kama anajiamini kwann asingepotezea [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ivi nani asiyejua ushindani ni lazm uwepo kila nyanja. Diamond na kiba ni washindani so wanapokuwa kwa stag moja lazm washndane tu. Kibaya alichokifanya promota ni kumleta mshndani wa mondi (kiba) pasipo kumtaarifu vp kama angepiga shoo Kali zaidi kumzidi mondi, shabiki wa kiba mngekesha mnatukana ila bahat nzur hamkufua dafu mmetafuta chakuzungumzia. Yaaan nyi hamuwezag kumuinua msanii wenu kivyake vyake mpk mtumie mgongo wa mondi tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeuaaaa na ndo chanzo cha mapovuuu yoteee yaani surprise is always good than promise.. Sasa naanza kuelewa kwann meneja kapanic, [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] asante kwa kunifumbuaMi nachojua katika shows zote the main man anapiga mwisho ni kama kwenye ndondi the main fight is always the last, wale wa kutanguliza shoo ndio huwa wanaanza. Sasa huko Mambasa nani alianza na nani alimaliza jiulizeni wenyewe
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]Haiwezekani utake ya peponi na jehanam...lazma UCHAGUE UPANDE....TUWEKE MCHANGA UPUTE TULIANZISHEEE...hayaaaa chagua bega. ...
Kumbe kuna wanaume wanadandia nyota yake siyo, [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Umeonaee watu wanahis hiyo hela yote anakula yeye peke yake kumbe Ana rundo la watu nyuma
Sio panic ila n fact hasa pale mtu anapo kula jasho lako afu no appreciationkapanic menejaa
Kiba has respect n discipline to his music and artistsAcheni Uchochezi Nani aliona Mikataba yao mpaka Useme Kiwa huyu alilipwa hivi na huyu alilipwa vile? Huyo Sallam ndo anayepanic bure, na Alikiba ni Msanii asiye na Makuu kabisa anafanya Muziki wake.
Alikiba anatafutia umaarufu kuupitia jina la mondi. He was all gone ila kupitia vibeef ndio karudi. Na ukitaka jua kiba anapenda kick angalia interview za kiba. Thn angalia interview za mond wanspoulizwa kuhusu wao..Kwan umeambiwa diamond hatoperform mtv mama tatizo nyie tema kibakuli mnaona ajabu kuperform mtv wakati mond huu n mwaka wake wa3 hatakuwa ana perform
Alicho maindi meneja n kutumika kwa jina la diamond kuvuta watu halafu kikaja kisanii kingine nacho ku perform
Amekula jasho la nan, ukitaka kuongea ongea point yenye maana sio unabwabwaja ionekane na ww umeongea, kwani ule mkataba hukuuona ,Sio panic ila n fact hasa pale mtu anapo kula jasho lako afu no appreciation
Hahaaa yaani mnanishangaza mnapomlaumu kiba wakati naye kaombwa aparform na hela kapewa sasa hapo nyie badal ya kumlaumu muandaaji na akili zenu fupi mnamlaumu king wetu, em tupishe sie [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Alikiba anatafutia umaarufu kuupitia jina la mondi. He was all gone ila kupitia vibeef ndio karudi. Na ukitaka jua kiba anapenda kick angalia interview za kiba. Thn angalia interview za mond wanspoulizwa kuhusu wao..
Yaani nyie mashabiki mandazi ndo mnatia aibu hadi meneja wenu, et njia za panya hahahaaa na usijifanye hujaona mkataba mwenye watu 10 kapewa 3ml ksh na mwenye watu 20 kapewa 5ml ksh, Na bado kapewa heshima ya kumaliza mchezoo[emoji3] [emoji3] [emoji3] Surprise ni heshima Kama hujuiMbn sioni cha ajabu hapo? Yes, lazima ushangae, jitihada za mwingine haziwezi kulisha familia ya mwingine. Kama kiba ni mzuri angetumika kwenye matangazo, sasa msanii anapitia njia za panya kupanda jukwaani huko ni kujipeleka karibu na mwingine kilazima wakati unajua siyo level zako.
Hili si jambo jema kibiashara, halafu mashabiki wake nanyi mmeshakuwa kama yeye, eti mnaona ndo sawa. Kweli kazi ipo