Huyu ndio surprise au bonus artist anaewakilisha bongo

Mmepanic [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na bado, ila bado hamjajibu swali kwann meneja wenu aweke caption hizo?

Iyo anayoisema festival inatofauti gani na ya juzi ilo kua ya siasa ?![emoji23] maana zote ni bureeeee watu walikuja
 
Awwwww ndio maana nawapenda masuper bebez u know
[emoji23][emoji23][emoji23]
Na bado.
Kapanic bana watu walijua kiba anaenda kwenye coke studio kuperfom [emoji28][emoji28]
 
endelea kupiga umbeya huku umaskini ukikwandama fanya kazi
 
Walijua diamond hawezi kutokea ndo maana wakafanya surprise ila kiba alijua kwahiyo hapo ushajua nan anamuogopa mwenzie.. Diamond pamoja na makeke yake yote lakini anamuogopa kiba huo ndo ukweli
Dada tumeona video kiba watu walipoza sana mond alifanya kitu Mpaka watu wakawasha mafatak
 
Mie niko huku, mtu anatambuliwa kwa uwezo wako na sio kwa kumwacha Wema.
 

Attachments

  • 1473669820930.jpg
    4.6 KB · Views: 18
  • 1473669830803.jpg
    4.8 KB · Views: 16
  • 1473669866285.jpg
    3.9 KB · Views: 18
Shule Jamani, Dada meneja ameenda shule vya kutosha, ila hawa wa Tandale na Manzese ni full Mipasho. Kiukweli Amepanic alijifanya hajui kuwa Kiba ata perform au kujitoa ufahamu? Basi na hiyo show ya Joberg MTVMama na yenyewe ni Suprise??
Achana na dada Seven bwana [emoji7][emoji7][emoji7]
Super woman mwenye akili kubwa.
Upande wa pili wote shule/exposure 0 ndio tunayoyashuhudia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Walijua diamond hawezi kutokea ndo maana wakafanya surprise ila kiba alijua kwahiyo hapo ushajua nan anamuogopa mwenzie.. Diamond pamoja na makeke yake yote lakini anamuogopa kiba huo ndo ukweli
Ni kweli hawezi kutokea kwavile hilo battle lake na Alikiba halimnufaishi, sanasana linamnufaisha Alikiba. Na Alikiba anapenda sana hili bifu na Diamond liendelee milele maana limemsogeza sana, tokea amerudi 'kibifubifu' na Diamond mambo yake yanaenda vizuri, anatumia mgongo wa mwenzake kuwawin mashabiki
 
KIBA ANAKUJA NA REMIX YA AJE THEN INAFUATIA INTERNATIONAL COLLABO
Uwiiiiiii Kiba anataka kurudisha ule moto wa team uliopoa JF siku hizi.
Siwezi kusubiri [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…