Complex Minder
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 534
- 160
Na mimi nimesikia jamani nikweliInasemekeana haka katoto kanatumiwa na wazee wa mujini kusafirisha poda kwa soko la ndani yaani mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine....bado hawajakatuma kufanya upunda kwa soko la nje.
kiufupi haka katoto ni ka drug mule.by the way nimesikia yule mwingine anayejiita amber lulu amedakwa huko arusha,alikuwa anasafirisha poda kwenda Kenya.
sio kweliNa mimi nimesikia jamani nikweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , aiseeejitunda lenyewe bayaaaaa
kazi na dawa hiyo inaitwaKwanza msosi, then toilet...brilliant.
nani huyo anaua ?Braza braza unaua sana.
HahahhhhHivi vitoto vya siku hizi tabu tupu,hapo kinatafuta tu kupata picture za kupost Insta na Fbok kanagusa gusa kanaacha huku kana njaa hatari.kama mimi kwa menu hiyo angejilipia hawezi'kunitia hasara za kibwege bwege mimi.
kuna mdau kashaanzisha uzi teyali au haujauona?Kumekucha na tunda lete ubuyu wa amber lulu kukamatwa na madawa ya kulevya nairobi wakiwa wanataka kwenda china na don wa china wa unga
alikua anapeleka sana south nowdays ameacha amber lulu bado yupo selo toka jmosInasemekeana haka katoto kanatumiwa na wazee wa mujini kusafirisha poda kwa soko la ndani yaani mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine....bado hawajakatuma kufanya upunda kwa soko la nje.
kiufupi haka katoto ni ka drug mule.by the way nimesikia yule mwingine anayejiita amber lulu amedakwa huko arusha,alikuwa anasafirisha poda kwenda Kenya.
Nilikua nausubili ngoja nichekikuna mdau kashaanzisha uzi teyali au haujauona?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hakuna mwanamke anakula chips kama Gigy Money.
Anakulaga hadi nusu sado.
poa poaNilikua nausubili ngoja nicheki
Umejuaje....? wazuri wote ni wachaga tu...! Mtasema hata Wema ni mchaga sasakumbe Tunda ni chagga gal....