Huyu ndio Tunda bhana, msichana anayejua nini maana ya balanced diet

Chakula chote hicho anamaliza peke yake?
Aisee!!!
Ila sawa maana naona amalizapo kula ni kwenda kushusha....... na kumaliza kilichobaki.
 
Mbona hamna kitu hapo? Unga ushakobolewa anakula makapi


Anakula samaki na matunda hapo
 
Yaani picha ya chakula na hapohapo choo,
 
Unajua hance mtanashati zamani nilidhani wewe ni mtu mzima mwenzetu lakini unavyokafagilia haka kasichana hatimae ndipo nikafahamu kumbe nawe utakuwa ni kavulana! Manake mimi na utu uzima wangu huu hako kasura ka kitoto ka Tunda hakanipi stimu kabisa na hata kuka-do, labda iwe usiku wa giza vinginevyo na hako kasura teketeke nitajihisi kama nakaonea!
 
kwan hapo nimeandika lipi baya? Nilichoandika ni kama kuonesha mwanga fulani kwa hawa mabinti zetu waone mfano wa mwenzao anayejali mlo kamili na sio kushindia chipsi kuku na juice kama wanavyofanya


Alafu hilo kuduu hilo lako sijalitaja kwenye post kama ipo onesha,kama hamna tengua kauli
 
Kwani nimesema umeongea mabaya ndugu?! Au kufagilia ni jambo baya?! Halafu kwanini nitengue suala la ku-do wakati nimelihusisha na mimi na sio wewe?!
 
Huyu jamaa ni mtu mzima kabsa
Soma profile yake hapo ndo itakua karamba HAPPY BIRTH DAY NGAPI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…