Huyu ndiye aliyemtukana Rais Kikwete na sasa anatukana Marais wenzake

Huyu ndiye aliyemtukana Rais Kikwete na sasa anatukana Marais wenzake

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Je, ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine?

Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi.

Je, si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake?

Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki?


View attachment 3223446
 
Je ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine? Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi. Je si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake? Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki? View attachment 3223435
Ngoma ikilia sana jua ikaribu kupasuka. Ajitahidi sana awe na mwisho mwema
 
Je ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine? Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi. Je si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake? Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki? View attachment 3223435
Kama hana uwezo si wampige?
Uwezo anao ndio maana anawapiga mrwara wanatulia
 
Acheni kumuonea wivu huyu jamaa, ameprove kua inawezekana kua mzalendo kwa nchi yako.
Sina hakika kama alimtukana, alimwambia ukweli tu.
Define uzalendo maana
1. Anaongoza Nchi kwa mkono wa Chuma yoyote anaongea Chochote anapotezwa

2. Wananchi wake ni masikini wa kutupwa.

Huo uzalendo kwa Nchi yake ni upi ikiwa Raia hawana furaha ama Mali. Chochote jeshi lake inachopambania ni mdomo wake na si wa wananchi wake.
 
Define uzalendo maana
1. Anaongoza Nchi kwa mkono wa Chuma yoyote anaongea Chochote anapotezwa

2. Wananchi wake ni masikini wa kutupwa.

Huo uzalendo kwa Nchi yake ni upi ikiwa Raia hawana furaha ama Mali. Chochote jeshi lake inachopambania ni mdomo wake na si wa wananchi wake.
Kama kigezo ni umaskini hakuna nchi Haina masikini.
 
Je ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine? Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi. Je si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake? Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki? View attachment 3223435
View attachment 3223446
Mi naona kama Kagame yupo sahihi. Kwanini wamuhusishe na ugonvi wa nchi ya Congo. Amesema na ni kweli wale M23 sio Wanyarwanda. Wale ni Watutsi na Wahutu wa huko Congo. Uwepo wa jeshi la Rwanda maeneo ya mipakani ni kwa ajili ya ULINZI.
DRC iimarishe ulinzi wa nchi yake ktk mashariki ya Congo. Inaonekana mashariki ya Congo hakuna serikali ni vikundi vya wababe tu ambao ni vibaraka wa mataifa mbalimbali.
 
Mi naona kama Kagame yupo sahihi. Kwanini wamuhusishe na ugonvi wa nchi ya Congo. Amesema na ni kweli wale M23 sio Wanyarwanda. Wale ni Watutsi na Wahutu wa huko Congo. Uwepo wa jeshi la Rwanda maeneo ya mipakani ni kwa ajili ya ULINZI.
DRC iimarishe ulinzi wa nchi yake ktk mashariki ya Congo. Inaonekana mashariki ya Congo hakuna serikali ni vikundi vya wababe tu ambao ni vibaraka wa mataifa mbalimbali.
Kwanini TZ tusianzishe kakikosi ketu ka wahuni kawe kanatuletea madini adhimu duniani?
 
Mi naona kama Kagame yupo sahihi. Kwanini wamuhusishe na ugonvi wa nchi ya Congo. Amesema na ni kweli wale M23 sio Wanyarwanda. Wale ni Watutsi na Wahutu wa huko Congo. Uwepo wa jeshi la Rwanda maeneo ya mipakani ni kwa ajili ya ULINZI.
DRC iimarishe ulinzi wa nchi yake ktk mashariki ya Congo. Inaonekana mashariki ya Congo hakuna serikali ni vikundi vya wababe tu ambao ni vibaraka wa mataifa mbalimbali.
Kwamba Mataifa yote yanamsingizia Kagame kwa faida ya nani? Kwamba wale wanajeshi wa Rwanda wanaofia Congo ni M23?
 
Define uzalendo maana
1. Anaongoza Nchi kwa mkono wa Chuma yoyote anaongea Chochote anapotezwa

2. Wananchi wake ni masikini wa kutupwa.

Huo uzalendo kwa Nchi yake ni upi ikiwa Raia hawana furaha ama Mali. Chochote jeshi lake inachopambania ni mdomo wake na si wa wananchi wake.
Tupe tofauti ya anachofanya kagame rwanda na inachofanya ccm Tz.
 
Je, ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine?

Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi.

Je, si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake?

Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki?

View attachment 3223435
View attachment 3223446
Keyboard warriors na nyie watoto wa 2000 mnapenda vita sana. Siku mkiipata mtakua mabalozi wa kutoa elimu
 
Back
Top Bottom