Huyu ndiye aliyemtukana Rais Kikwete na sasa anatukana Marais wenzake

Huyu ndiye aliyemtukana Rais Kikwete na sasa anatukana Marais wenzake

Tupe tofauti ya anachofanya kagame rwanda na inachofanya ccm Tz.
CCM wana matatizo yao ila hawajafikia level ya Kagame, mfano Kigali hapo wapo tu 1.7M na dar ni kama mara 5 ya Kigali population ila Kigali ina slums nyingi zaidi kuliko dar, vinyumba vya udongo kibao, kifupi Rwanda Utajiri wao wanao watu wachache na Nchi nzima wapo kwenye Umasikini mkubwa.

Sisi tumewapita Rwanda Pato la mtu mmoja mmoja japo tupo wengi zaidi na hatumuibii mtu Rasilimali zake, kama ni ufisadi ni hela za humu humu ndani.
 
Keyboard warriors na nyie watoto wa 2000 mnapenda vita sana. Siku mkiipata mtakua mabalozi wa kutoa elimu
Kwa taarifa yako nimepigana vita vya Idd Amin nikiwa Operation Kagera kwa hiyo nina uzoefu wa kutosha! Wewe kunguru mwoga utachukuliwa hadi mke!
 
Je, ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine?

Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi.

Je, si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake?

Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki?

View attachment 3223435
View attachment 3223446
dalili inaonesha hivyo kwa sasa,kwamba watampiga very soon
 
Je, ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine?

Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi.

Je, si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake?

Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki?

View attachment 3223435
View attachment 3223446

video uliyopost haioneshi hayo maneno ya kikwete.
 
CCM wana matatizo yao ila hawajafikia level ya Kagame, mfano Kigali hapo wapo tu 1.7M na dar ni kama mara 5 ya Kigali population ila Kigali ina slums nyingi zaidi kuliko dar, vinyumba vya udongo kibao, kifupi Rwanda Utajiri wao wanao watu wachache na Nchi nzima wapo kwenye Umasikini mkubwa.

Sisi tumewapita Rwanda Pato la mtu mmoja mmoja japo tupo wengi zaidi na hatumuibii mtu Rasilimali zake, kama ni ufisadi ni hela za humu humu ndani.
Hakuna walicho tofauti wala hatuwezi kuwa proud kuwapita Rwanda ni kichaa pekee atawaona CCM wana afadhali kwa kuwapita kinchi kama Rwanda au Burundi.
 
Kagame ni mzalendo wa kweli Rwanda ina maendeleo makubwa kuliko nchi zenu zenye Resources mbalimbali hadi zinamwagika ila hospital zenu hazina paracetamol, sahivi mnajipeleka Congo kupigana na M23 mnachapwa lawama mnampa Kagame
 
Mi naona kama Kagame yupo sahihi. Kwanini wamuhusishe na ugonvi wa nchi ya Congo. Amesema na ni kweli wale M23 sio Wanyarwanda. Wale ni Watutsi na Wahutu wa huko Congo. Uwepo wa jeshi la Rwanda maeneo ya mipakani ni kwa ajili ya ULINZI.
DRC iimarishe ulinzi wa nchi yake ktk mashariki ya Congo. Inaonekana mashariki ya Congo hakuna serikali ni vikundi vya wababe tu ambao ni vibaraka wa mataifa mbalimbali.
Banyamulenge walishajitenga na M23 siku nyingi tu, so ni jeshi la Rwanda, mpaka umoja wa Mataifa umethibitisha ni jeshi la Rwanda

 
Kagame ni mzalendo wa kweli Rwanda ina maendeleo makubwa kuliko nchi zenu zenye Resources mbalimbali hadi zinamwagika ila hospital zenu hazina paracetamol, sahivi mnajipeleka Congo kupigana na M23 mnachapwa lawama mnampa Kagame
Tuoneshe hayo maendeleo usihadaike na media, Rwanda ni masikini wa kutupwa.
 
Kwa taarifa yako nimepigana vita vya Idd Amin nikiwa Operation Kagera kwa hiyo nina uzoefu wa kutosha! Wewe kunguru mwoga utachukuliwa hadi mke!

Hii umemezeshwa kitabu gani cha historia, unavyoandika tu, inaonyesha upeo wako ulivyo mdogo
 
Afadhali gani ? Wewe bwana sijui hata unajaribu kutetea nini
Huwa sipendi kuongea maneno ya mipasho, natetea sisi tuna afadhali sababu
1. Tuna gdp per capita kubwa kuliko Rwanda, hivyo pato la mtu mmoja mmoja Mtanzania ni kubwa

2. Gini coefficient yetu ni ndogo income inequality baina ya waliyo nacho na ambao hawana ni ndogo, wakati income inequality Rwanda ni kubwa

3. Literacy rate kwa Tanzania ni zaidi ya ya asilimia 85 wakati Rwanda inacheza 70-75



Sasa nchi kubwa kama Tanzania ambayo ni ngumu kupeleka Shule kila sehemu watu wake wamesoma zaidi kuliko ka Nchi kadogo ambacho ni rahisi kujenga miundombinu na kusomesha watu wake we huoni walivyo ovyo?

Inshort wengi humu mpo brainwashed na Media mkiona sijui Rwanda kila shule ina Computer mnajua wapo mbali kumbe ni vishule vichache vya matajiri vinapigwa picha na wengi wana hali mbaya kuliko huku.

Kama mimi nilivyotoa ushahidi na wewe unaweza kuleta data kwanini Sisi ni kama Rwanda ama Wametuzidi?
 
Huwa sipendi kuongea maneno ya mipasho, natetea sisi tuna afadhali sababu
1. Tuna gdp per capita kubwa kuliko Rwanda, hivyo pato la mtu mmoja mmoja Mtanzania ni kubwa

2. Gini coefficient yetu ni ndogo income inequality baina ya waliyo nacho na ambao hawana ni ndogo, wakati income inequality Rwanda ni kubwa

3. Literacy rate kwa Tanzania ni zaidi ya ya asilimia 85 wakati Rwanda inacheza 70-75



Sasa nchi kubwa kama Tanzania ambayo ni ngumu kupeleka Shule kila sehemu watu wake wamesoma zaidi kuliko ka Nchi kadogo ambacho ni rahisi kujenga miundombinu na kusomesha watu wake we huoni walivyo ovyo?

Inshort wengi humu mpo brainwashed na Media mkiona sijui Rwanda kila shule ina Computer mnajua wapo mbali kumbe ni vishule vichache vya matajiri vinapigwa picha na wengi wana hali mbaya kuliko huku.

Kama mimi nilivyotoa ushahidi na wewe unaweza kuleta data kwanini Sisi ni kama Rwanda ama Wametuzidi?
Hujatoa ushahidi umeandika maneno matupu. Ushahidi ulipaswa kumuwekea na data kutoka credible source ili kuipa uzito ulichoandika.

Ukweli ni kuwa Tanzania Ina afadhali kuliko Rwanda, lakini Hali zao hazipishani sana kiwango Cha umaskini kinakaribiana. Duniani Rwanda ni nchi ya 26 kwa umaskini, Tanzania ni ya 31. Karibu 50% ya watu Rwanda ni maskini, but hata Tanzania karibu 50% pia ni maskini

Tumewazidi japo sio kihivyo
 
Ila zinatofautiana huo umasikini, we unafikiri kwanini nchi jirani kama Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo etc wengi wapo Tanzania wa natafuta maisha? Tanzania tuna u afadhali sana huu ukanda wetu,
Hapa umeteleza, Kama wao jirani walivyo huku kutafuta maisha,basi hata watanzania wapo wengi sana hizo nchi kutafuta maisha, Tena sasa hivi Nairobi kumejaa wale ombaomba kutoka huku

Tanzania tuna afadhali ukanda huu lakini sio Kama unavyozungumza, pia hiyo afadhali sio kwa majirani wote. Kenya bado wamepita japo sio sana. Inshort hizo nchi majirani tumepishana kidogo sana,
 
Huwa sipendi kuongea maneno ya mipasho, natetea sisi tuna afadhali sababu
1. Tuna gdp per capita kubwa kuliko Rwanda, hivyo pato la mtu mmoja mmoja Mtanzania ni kubwa

2. Gini coefficient yetu ni ndogo income inequality baina ya waliyo nacho na ambao hawana ni ndogo, wakati income inequality Rwanda ni kubwa

3. Literacy rate kwa Tanzania ni zaidi ya ya asilimia 85 wakati Rwanda inacheza 70-75



Sasa nchi kubwa kama Tanzania ambayo ni ngumu kupeleka Shule kila sehemu watu wake wamesoma zaidi kuliko ka Nchi kadogo ambacho ni rahisi kujenga miundombinu na kusomesha watu wake we huoni walivyo ovyo?

Inshort wengi humu mpo brainwashed na Media mkiona sijui Rwanda kila shule ina Computer mnajua wapo mbali kumbe ni vishule vichache vya matajiri vinapigwa picha na wengi wana hali mbaya kuliko huku.

Kama mimi nilivyotoa ushahidi na wewe unaweza kuleta data kwanini Sisi ni kama Rwanda ama Wametuzidi?
Achana na habari za social media propaganda za PK sicho kinacho jadiliwa hapa.

Mmepishana nini hiyo GDP per capita na kanchi ka hovyo kama Rwanda wakati wote mnarank huko huko kwenye 1000

Hiyo income inequality unayosema ni ndogo kwa hapa Tanzania umeipima kwa vipimo gani ?

Sasa hiyo 78 na 83 literacy rate ni nini mlicho tofautiana sana usiitizame tu kwa ukubwa wa eneo bali na resources za kuwawezesha watu wenu je, Tanzania inafanana na Rwanda ?
 
Back
Top Bottom