Huyu ndiye aliyemtukana Rais Kikwete na sasa anatukana Marais wenzake

Huyu ndiye aliyemtukana Rais Kikwete na sasa anatukana Marais wenzake

Achana na habari za social media propaganda za PK sicho kinacho jadiliwa hapa.

Mmepishana nini hiyo GDP per capita na kanchi ka hovyo kama Rwanda wakati wote mnarank huko huko kwenye 1000

Hiyo income inequality unayosema ni ndogo kwa hapa Tanzania umeipima kwa vipimo gani ?

Sasa hiyo 78 na 83 literacy rate ni nini mlicho tofautiana sana usiitizame tu kwa ukubwa wa eneo bali na resources za kuwawezesha watu wenu je, Tanzania inafanana na Rwanda ?
Anavyoandika unaweza hisi Tanzania tupo vizuri kwerikweriiii. Tumeipita Rwanda lakini sio kivile, umaskini unakaribiana sana
 
Achana na habari za social media propaganda za PK sicho kinacho jadiliwa hapa.

Mmepishana nini hiyo GDP per capita na kanchi ka hovyo kama Rwanda wakati wote mnarank huko huko kwenye 1000
Tanzania ni middle lower income kwa maana Gdp per capita yetu ni zaidi ya $1200

Rwanda Gdp per capita ni chini ya $1000

Kwa Lugha rahisi ya madafu unayoielewa wewe kila Mtanzania anatengeneza zaidi ya 500,000 kushinda Rwanda kwa mwaka, ina include hadi watoto wa Changa,
Hiyo income inequality unayosema ni ndogo kwa hapa Tanzania umeipima kwa vipimo gani ?
Hata hujui Gini coefficient ni nini bado unabwabwaja tu, Gini inapima Pato la watu wenye Nacho kama kina Bakhresa, MO, mawaziri, maraisi etc na pato la wasio nacho kama Vile Walimu, Ma house girl, vibarua wa Viwanda etc kutengeneza hio coefficient na kuonesha gape la walio nacho na wasio nacho.

Nitakupa mfano Rwanda Mwalimu wa Shule ya Msingi analipwa kama 200,000 ya Tanzania

For comparison Tanzania ni zaidi ya laki 3 mwalimu msingi anapata, so sisi tunalalamika laki 3 ni ndogo ila wenzetu wanaimezea mate

Kutokana na masikini kuwa masikini zaidi inafanya Income inequality ya Rwanda kuwa kubwa zaidi.
Sasa hiyo 78 na 83 literacy rate ni nini mlicho tofautiana sana usiitizame tu kwa ukubwa wa eneo bali na resources za kuwawezesha watu wenu je, Tanzania inafanana na Rwanda ?

Ni kubwa mno,

Chukua idadi ya watu milioni 60 Asilimia moja tu ni watu laki 6, mtu akikuambia tumewapita Asilimia 5 ama 10 anamaanisha watu milioni 3 ama 6, unajua gharama ya kusomesha watu milioni 3? Ama uwe na watu milioni 6 kwenye nchi yako ambao hawajui kusoma na kuandika?
 
CCM wana matatizo yao ila hawajafikia level ya Kagame, mfano Kigali hapo wapo tu 1.7M na dar ni kama mara 5 ya Kigali population ila Kigali ina slums nyingi zaidi kuliko dar, vinyumba vya udongo kibao, kifupi Rwanda Utajiri wao wanao watu wachache na Nchi nzima wapo kwenye Umasikini mkubwa.

Sisi tumewapita Rwanda Pato la mtu mmoja mmoja japo tupo wengi zaidi na hatumuibii mtu Rasilimali zake, kama ni ufisadi ni hela za humu humu ndani.
Toa tofauti ya kagame na nyie manyang'au acha porojo
 
Hujatoa ushahidi umeandika maneno matupu. Ushahidi ulipaswa kumuwekea na data kutoka credible source ili kuipa uzito ulichoandika.

Ukweli ni kuwa Tanzania Ina afadhali kuliko Rwanda, lakini Hali zao hazipishani sana kiwango Cha umaskini kinakaribiana. Duniani Rwanda ni nchi ya 26 kwa umaskini, Tanzania ni ya 31. Karibu 50% ya watu Rwanda ni maskini, but hata Tanzania karibu 50% pia ni maskini

Tumewazidi japo sio kihivyo
Tanzania ni 42.9% source world bank
Na Rwanda ni 52% source hio hio world bank


So kila watu 100 kwa Rwanda 52 ni masikini na Tanzania 43 ni masikini gape sio dogo hilo.
 
Tanzania ni middle lower income kwa maana Gdp per capita yetu ni zaidi ya $1200

Rwanda Gdp per capita ni chini ya $1000

Kwa Lugha rahisi ya madafu unayoielewa wewe kila Mtanzania anatengeneza zaidi ya 500,000 kushinda Rwanda kwa mwaka, ina include hadi watoto wa Changa,

Hata hujui Gini coefficient ni nini bado unabwabwaja tu, Gini inapima Pato la watu wenye Nacho kama kina Bakhresa, MO, mawaziri, maraisi etc na pato la wasio nacho kama Vile Walimu, Ma house girl, vibarua wa Viwanda etc kutengeneza hio coefficient na kuonesha gape la walio nacho na wasio nacho.

Nitakupa mfano Rwanda Mwalimu wa Shule ya Msingi analipwa kama 200,000 ya Tanzania

For comparison Tanzania ni zaidi ya laki 3 mwalimu msingi anapata, so sisi tunalalamika laki 3 ni ndogo ila wenzetu wanaimezea mate

Kutokana na masikini kuwa masikini zaidi inafanya Income inequality ya Rwanda kuwa kubwa zaidi.


Ni kubwa mno,

Chukua idadi ya watu milioni 60 Asilimia moja tu ni watu laki 6, mtu akikuambia tumewapita Asilimia 5 ama 10 anamaanisha watu milioni 3 ama 6, unajua gharama ya kusomesha watu milioni 3? Ama uwe na watu milioni 6 kwenye nchi yako ambao hawajui kusoma na kuandika?
Rwanda pia ni middle lower income,

Rwanda gdp per capita inacheza kwenye $990, Tanzania inacheza kwenye $1200. Hili gap si kubwa acha uwongo

Kuhusu gini coefficient , Rwanda ni 43%, Tanzania Ni 40%. Hilo gap si kubwa acha kueneza uongo wako
 
Rwanda pia ni middle lower income,

Rwanda gdp per capita inacheza kwenye $990, Tanzania inacheza kwenye $1200. Hili gap si kubwa acha uwongo

Kuhusu gini coefficient , Rwanda ni 43%, Tanzania Ni 40%. Hilo gap si kubwa acha kueneza uongo wako

Sio kosa langu kwa ujinga wako, unajua vigezo vya lower income na lower middle income?

World Bank LMI classification

  • Low-income: GNI per capita of $1,145 or less
  • Lower middle-income: GNI per capita between $1,146 and $4,515
  • Upper middle-income: GNI per capita between $4,516 and $14,005
  • High-income: GNI per capita of more than $14,005
So nikuulize wewe mwenye $990 na $1200 nani ni low income na nani ni lower middle income? Kama Rwanda ni lower middle Lete ushahidi.

Pia gape la $990 na 1200 ni kubwa mno tunaongelea Gdp per capita hapo.

Assume tena Familia ina watu 5 ina maana unachukua $210 x 5 unapata $1100 ambayo ni Takriban milioni 3.

So familia ya Kitanzania inapata milioni 3 zaidi kuliko Familia ya Kinyarwanda, huoni utofauti hapo?

Na tena huku maisha ni bei rahisi zaidi, uki take consideration cost ya maisha gape ni kubwa zaidi.

Assume data zako za Gini Coefficient zipo sawa still asilimia 3 ni kubwa kwa Nchi zenye watu kwa mamilioni,
 
Tanzania ni middle lower income kwa maana Gdp per capita yetu ni zaidi ya $1200

Rwanda Gdp per capita ni chini ya $1000

Kwa Lugha rahisi ya madafu unayoielewa wewe kila Mtanzania anatengeneza zaidi ya 500,000 kushinda Rwanda kwa mwaka, ina include hadi watoto wa Changa,

Hata hujui Gini coefficient ni nini bado unabwabwaja tu, Gini inapima Pato la watu wenye Nacho kama kina Bakhresa, MO, mawaziri, maraisi etc na pato la wasio nacho kama Vile Walimu, Ma house girl, vibarua wa Viwanda etc kutengeneza hio coefficient na kuonesha gape la walio nacho na wasio nacho.

Nitakupa mfano Rwanda Mwalimu wa Shule ya Msingi analipwa kama 200,000 ya Tanzania

For comparison Tanzania ni zaidi ya laki 3 mwalimu msingi anapata, so sisi tunalalamika laki 3 ni ndogo ila wenzetu wanaimezea mate

Kutokana na masikini kuwa masikini zaidi inafanya Income inequality ya Rwanda kuwa kubwa zaidi.


Ni kubwa mno,

Chukua idadi ya watu milioni 60 Asilimia moja tu ni watu laki 6, mtu akikuambia tumewapita Asilimia 5 ama 10 anamaanisha watu milioni 3 ama 6, unajua gharama ya kusomesha watu milioni 3? Ama uwe na watu milioni 6 kwenye nchi yako ambao hawajui kusoma na kuandika?
Kwanza GDP per capita ya Rwanda sio chini ya 1000 na hiyo ni data ya mika takribani miwili iliyopita hivyo sisi na wao wala hatujatofautiana sana wote tupo kwenye group moja kuwa LMI haitufanyi ionekane sisi na Rwanda ni mbingu na ardhi 1200 na 1000 wote mpo kwenye uzani ule ule usio na upishano mkubwa angalau uzani ungekuwa unasoma 1000 kwa 15000,20,000 ni haki kusema hawa hatunao uzani sawa.


Pili tuje kwenye hiyo Gini coefficient unayojaribu kuelezea hapa as if ni mwalimu unanifundisha 0.41 na 0.43 aliyonayo Rwanda inatofauti gani mpaka wewe hujuione huna masikini, umasikini wa kutisha na gape kubwa kati la walionao na wasio nao ? tena wewe ukicompare na resources ulizonazo ambazo nauhakika Rwanda hajakufikia ni sawa kuwa na hiyo Gini coefficient ? Rwanda kuwa na inequality kubwa haifanyi Tanzania kutokuwa na inequality kubwa kati ya walionao na wasio nacho ni mataifa machache yasiyo na hilo gape kubwa hapa duniani.

Unapopima gharama za kusomesha watu miln 3 unapima na resources zilizopo za kuwezesha hilo au unaipima Tanzania kama Rwanda isie na chochote cha kutisha kuwezesha hilo ?
 
Tanzania ni 42.9% source world bank
Na Rwanda ni 52% source hio hio world bank


So kila watu 100 kwa Rwanda 52 ni masikini na Tanzania 43 ni masikini gape sio dogo hilo.
Muongo wewe, Rwanda hiyo 52% umeitoa wapi kutoka world bank? Kwa data za world bank hiyo Rwanda poverty ni 48%
Kutoka 2020 ilikua 51%, na ikashuka hadi 2024 kuwa 48%. We hiyo 52% umeitoa wapi?
Gap la 43% kwa 48% sio kubwa acha porojo
Screenshot_20250203-135608_1.jpg
 
Tanzania ni 42.9% source world bank
Na Rwanda ni 52% source hio hio world bank


So kila watu 100 kwa Rwanda 52 ni masikini na Tanzania 43 ni masikini gape sio dogo hilo.
Nachoweza sema Rwanda ina haki ya kuwa masikini kwa jinsi ilivyo na ilipo na sio kinyume chake kwa Tanzania na jitihada zake za kujikwamua lazima nizipongeze

Kwa Tanzania hiyo ni hadithi nyingine labda uwe uichukulia Tanzania kama Rwanda ili kuficha failures hauwezi kujisifu kuwa 43 na 48 umemuacha Rwanda mchovu mbali hauwezi kuwa serious unaleta michezo
 
Je, ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine?

Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi.

Je, si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake?

Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki?

View attachment 3223435
View attachment 3223446
Huyu hapa alikuwa anamtukana Magufuli na yupo sahihi.
 
Mwenyewe anathibitisha kutukanwa!View attachment 3223450
Kikwete ana mapungufu yake mengi lakini katika hotuba hii huyo si Kikwete tu, huo ni msimamo wa miaka mingi wa sera ya mambo ya nje wa Tanzania.

Kagame alikuwa mnafiki kukaa kimya kwenye kikao na kuanza vinenoneno pembeni kama muimba taarab.

Kama alikuwa hataki kukaa na wapinzani wake alitakiw akusema palepale kwenye kikao.

Kagame ni Head of State, kwa nini ana act kama muimba taarab za mipasho?
 
Muongo wewe, Rwanda hiyo 52% umeitoa wapi kutoka world bank? Kwa data za world bank hiyo Rwanda poverty ni 48%
Kutoka 2020 ilikua 51%, na ikashuka hadi 2024 kuwa 48%. We hiyo 52% umeitoa wapi?
Gap la 43% kwa 48% sio kubwa acha porojo
View attachment 3223520
1. Umekuja mwenyewe na data zako Rwanda umasikini ni 50%
2. Data za 52% nimetoa world bank na link nimekuwekea comment uliyo iquote usijifanye kipofu
3. Weka link ya screenshot yako, we ukiangalia hio screenshot hata inajieleza yenyewe?

Vp Gdp per capita haina issue Tena sio? Sababu Umedakwa uongo wako?
 
Hao wote walikua Monduli kule kamandi wanaijua.
M7,pk, JK alikua mkubwa wao.
So alipoleta ujinga Pk huko Congo na matusi walipelekewa moto mpaka wakabaki hoi.
Kwasasa sijui huyu bi chura anaenda Zimbabwe na Dreamliner ndege ya abiria 500 kujadili amani ya wacongo wakati vita iko hapo Goma.😏
 
Sio kosa langu kwa ujinga wako, unajua vigezo vya lower income na lower middle income?

World Bank LMI classification

  • Low-income: GNI per capita of $1,145 or less
  • Lower middle-income: GNI per capita between $1,146 and $4,515
  • Upper middle-income: GNI per capita between $4,516 and $14,005
  • High-income: GNI per capita of more than $14,005
So nikuulize wewe mwenye $990 na $1200 nani ni low income na nani ni lower middle income? Kama Rwanda ni lower middle Lete ushahidi.

Pia gape la $990 na 1200 ni kubwa mno tunaongelea Gdp per capita hapo.

Assume tena Familia ina watu 5 ina maana unachukua $210 x 5 unapata $1100 ambayo ni Takriban milioni 3.

So familia ya Kitanzania inapata milioni 3 zaidi kuliko Familia ya Kinyarwanda, huoni utofauti hapo?

Na tena huku maisha ni bei rahisi zaidi, uki take consideration cost ya maisha gape ni kubwa zaidi.

Assume data zako za Gini Coefficient zipo sawa still asilimia 3 ni kubwa kwa Nchi zenye watu kwa mamilioni,
Nimenukuu like wewe umekiwakilisha, pia m sihusiki na kuziweka nchi category zipi za uchumi. mm ni mlaji wa taarifa

Hiyo cost ya maisha umeipimaje? Unazungumza maneno matupu

Kuhusu gini coefficient kwani ww data ulizonazo zinasemaje? Kwa nini una aasume zangu nilizoweka? Kwa nini wewe usilete data sahihi ili upime? Pia gap la 3% lina ukubwa gani? Acha longolongo
 
1. Umekuja mwenyewe na data zako Rwanda umasikini ni 50%
2. Data za 52% nimetoa world bank na link nimekuwekea comment uliyo iquote usijifanye kipofu
3. Weka link ya screenshot yako, we ukiangalia hio screenshot hata inajieleza yenyewe?

Vp Gdp per capita haina issue Tena sio? Sababu Umedakwa uongo wako?
Nimeweka roughly, ndio maana nikasema inakaribia 50%
Data za 52% umetoa world bank gani? Hizo ulizoweka link ni kwa Tanzania tu, haikuonyesha Rwanda. World bank kuhusu Rwanda hiyo hapo kwenye pdf, onyesha wapi Kuna 52%
 

Attachments

Nachoweza sema Rwanda ina haki ya kuwa masikini kwa jinsi ilivyo na ilipo na sio kinyume chake kwa Tanzania na jitihada zake za kujikwamua lazima nizipongeze

Kwa Tanzania hiyo ni hadithi nyingine labda uwe uichukulia Tanzania kama Rwanda ili kuficha failures hauwezi kujisifu kuwa 43 na 48 umemuacha Rwanda mchovu mbali hauwezi kuwa serious unaleta michezo
Nchi karibia zote ndogo Africa zina utajiri kuliko Nchi kubwa, ukiwa na Nchi ndogo ni rahisi kukuza Gdp per capita, Tanzania sisi ni Takriban mara 5 ya Rwanda kwa Idadi ya watu, sisi kuwapita wao Gdp per. Capita ni feat kubwa.

Na unlike watu wanavyofikiria Uchumi wa Tanzania hautegemei sana Natural resources kama Madini, Tunategema vitu kama Utalii, Viwanda, Biashara etc ambavyo havitofautiani sana na Rwanda, Na sisi hatuibi.
 
Nimeweka roughly, ndio maana nikasema inakaribia 50%
Data za 52% umetoa world bank gani? Hizo ulizoweka link ni kwa Tanzania tu, haikuonyesha Rwanda. World bank kuhusu Rwanda hiyo hapo kwenye pdf, onyesha wapi Kuna 52%
Niwekee link hilo pdf hata halina source halijulikani linapotokA, kama mimi nilivyoweka source za world bank na wewe weka source ulipotoa hio pdf.
 
Back
Top Bottom