FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Je, ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine?
Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi.
Je, si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake?
Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki?
View attachment 3223435
View attachment 3223446
Ngoma ikivuma sana...
