Kuna member humu JF alileta uzi kuhusu walivyoingia Congo kuusaka utajili wa hayo madini. So watu wenye roho ngumu zao wako front huko anayepata anapata anayekufa anakufaKwanini TZ tusianzishe kakikosi ketu ka wahuni kawe kanatuletea madini adhimu duniani?