Huyu ndiye aliyemtukana Rais Kikwete na sasa anatukana Marais wenzake

Huyu ndiye aliyemtukana Rais Kikwete na sasa anatukana Marais wenzake

Nchi karibia zote ndogo Africa zina utajiri kuliko Nchi kubwa, ukiwa na Nchi ndogo ni rahisi kukuza Gdp per capita, Tanzania sisi ni Takriban mara 5 ya Rwanda kwa Idadi ya watu, sisi kuwapita wao Gdp per. Capita ni feat kubwa.

Na unlike watu wanavyofikiria Uchumi wa Tanzania hautegemei sana Natural resources kama Madini, Tunategema vitu kama Utalii, Viwanda, Biashara etc ambavyo havitofautiani sana na Rwanda, Na sisi hatuibi.
Kwa nini Tanzania haina shirika bora la ndege kama RwandaAir?

Kwa nini Tanzania haina jiji safi kama Kigali?

Kwa nini Tanzania ina kiwango kikubwa cha Rushwa kuliko Rwanda?

Kwa nini Rwanda inazipita nchi zote za Africa Mashariki katika kipengele cha urahisi wa kufanya biashara?
 
Kwa nini Tanzania haina shirika bora la ndege kama RwandaAir?

Kwa nini Tanzania haina jiji safi kama Kigali?

Kwa nini Tanzania ina kiwango kikubwa cha Rushwa kuliko Rwanda?

Kwa nini Rwanda inazipita nchi zote za Africa Mashariki katika kipengele cha urahisi wa kufanya biashara?
Yes hizo ni sababu nzuri atleast wewe unaleta hoja.

1. Tanzania tuna majiji/Miji masafi ila sio Dar, Sehemu kama Tanga, Moshi, Arusha, Iringa etc ni kusafi. Hili linatokana sana na Exposure ya hizo sehemu na watu waliostaarabika.

2. Ndio tuna Rushwa kubwa compare na Rwanda ila hili linachangiwa zaidi na Sera ya Udikteta, mfano wakati wa Magufuli Tanzania pia rate ya Rushwa na Discipline vili improve.

3. Ease of doing business kwa Investors wa nje ni kweli, imeshuka Sana Tanzania hasa wakati wa Magufuli, ila still Urahisi wa kutoboa kwetu hapa hapa nchini ni mkubwa, na siku zote Sheria zetu zinatulinda sisi. Mfano kwa Rwanda Mgeni anaweza nunua Ardhi, Tanzania huwezi bila kupitia Msururu wa urasimu, na Eneo Usipoliendeleza muda wowote Serikali inalichukua, ndio maana kwetu hatuna matatizo ya Nchi nyingi za Africa kwa wachache kuhodhi Ardhi kubwa. Pia matajiri wakubwa wakubwa Tanzania ni wazawa wa hapa hapa, Rwanda kampuni zao nyingi ni vidogo mno, nine google hapa Benki za Taifa, na Kampuni kubwa kubwa Turn over zao unakuta ni 25-30M that's it, Kama bank ya Rwanda 27M, for comparison Nmb peke yake ilipost faida 420B ambayo ni kama usd 150M, so faida tu ya NMB mwaka Mzima ni pato mara 5 ya benki Kubwa Rwanda. Tanzania kampuni zote kubwa ni local Owned, tumepita Nchi zote za Africa ya Mashariki kwa uwekezaji mkubwa wa wazawa. So Wawekezaji wa nje wanapata Ugumu Tanzania ila Wawekezaji wa Ndani wanafaidika.

4. Shirika la ndege sidhani kama ni hoja ya maana, Hapo Rwanda linatia hasara kila mwaka na Hapa Tanzania pia linatia hasara kila mwaka,


Angalia hapo toka lianzishwe hilo shirika ni hasara tu na Serikali inatoa ruzuku, Mamia ya Mabilioni Serikali inapoteza kila mwaka ili kuhakikisha hawafilisiki, for what? Tofauti ya Kagame na Magu/Samia ni ipi hapo? Wote wananunua Ndege zinazojiendesha kihasara?
 
Itakuwa huelewi jinsi binadamu wengine wanavyofanya maisha yao. Wahindi, Waarabu na Wachina kuwa wengi Tanzania sio kwamba Tanzania ni kuzuri sana kuliko India, China na Uarabuni.
Wabongo acheni mawazo ya kwenye chungu.
Wafanyabiashara wakubwa Tanzania wa Kihindi na Kiarabu ni Wazawa, Tanzania kuna watu wa Burundi na Rwanda kibao wamekimbia maisha magumu kwao kuja Tanzania kutafuta maisha, Same kwa Wacongo, Kenya, Malawi na wengineo. Ila vice versa sio kweli, Watanzania wengi hawapendi kwenda Nchi za Nje, Ukienda sehemu kama Marekani, Ulaya, Nchi za Kiarabu etc utakuta Watanzania wachache sana compare na nchi nyengine.

Mfano mzuri angalia list ya Trump watu wanaorudishwa
-Tanzania 301
-Uganda 393
-Rwanda 338
-Burundi 462
-Congo 795
-Kenya 1282

Ukitoa Congo Nchi zote hizo tumezipita population sisi tupo wengi zaidi ila unaona Sisi tuna watu wachache zaidi? Sababu Watanzania wengi wameridhika na maisha yao, umasikini wa kutupwa ni mdogo compare na wengine na opportunities ni Kubwa.
 
Link umeleta mwenyewe alafu hujui kilichomo humo. Wapi Tanzania Ina 40 Kama ulivyosema?
Comment yako hii uliyoweka link Ni wapi Tanzania Ina 40?
Utaipata Hapa Gini coefficient toka World bank

 
Wafanyabiashara wakubwa Tanzania wa Kihindi na Kiarabu ni Wazawa, Tanzania kuna watu wa Burundi na Rwanda kibao wamekimbia maisha magumu kwao kuja Tanzania kutafuta maisha, Same kwa Wacongo, Kenya, Malawi na wengineo. Ila vice versa sio kweli, Watanzania wengi hawapendi kwenda Nchi za Nje, Ukienda sehemu kama Marekani, Ulaya, Nchi za Kiarabu etc utakuta Watanzania wachache sana compare na nchi nyengine.

Mfano mzuri angalia list ya Trump watu wanaorudishwa
-Tanzania 301
-Uganda 393
-Rwanda 338
-Burundi 462
-Congo 795
-Kenya 1282

Ukitoa Congo Nchi zote hizo tumezipita population sisi tupo wengi zaidi ila unaona Sisi tuna watu wachache zaidi? Sababu Watanzania wengi wameridhika na maisha yao, umasikini wa kutupwa ni mdogo compare na wengine na opportunities ni Kubwa.
Sio kwamba Watanzania hawapendi kwenda nchi nyingine. Tatizo lugha ni changamoto, kupata passport ni shughuli pevu, hakuna uraia pacha, raia wengi hawana adventurous spirit ukilinganisha na nchi nyingine, kuna vikwazo vingi vya interactions kati ya diaspora na watu wa nyumbani(sijui kama mpaka leo hata PayPal Tanzania kama imeshaanza kufanya kazi sawa na nchi nyingine)
 
Utaipata Hapa Gini coefficient toka World bank

Link uliyoweka mara ya kwanza ilikua 48% tofauti na ulivyosema.

Link hii ya sasa hivi data ni za 2018 inaonyesha ni 40%, Alafu hapo imewekwa kwenye percentage wakati umetoka kusema gini coeff haipimwi kwa percentage.
 
Uongo, Dar es Salaam ina slums nyingi kuliko Kigali.
Pia Kigali ni mji safi na salama zaidi barani Africa.
Unaweza nitajia hizo Slums za dar za nyumba za Udongo? Sijafika Kigali ila madereva wangu wote niliowahi supervise wanaoenda Kigali kwa pamoja wanakubali Kigali ina slums na Nyumba za udongo nyingi, Dar ukitoa Jangwani ambayo kwa sasa haipo wapi Kuna nyumba za Udongo?

images (2).jpeg


images (3).jpeg
 
Link uliyoweka mara ya kwanza ilikua 48% tofauti na ulivyosema.

Link hii ya sasa hivi data ni za 2018 inaonyesha ni 40%, Alafu hapo imewekwa kwenye percentage wakati umetoka kusema gini coeff haipimwi kwa percentage.
We jamaa una matatizo sana Imeandikwa 40.5 gini index sio 40.5% unanisumbua kweli, narudia mara mbili mbili kuangalia vitu ambavyo unakosea mwenyewe kusoma. Hio ni scale baina ya Walio nacho na wasio nacho sio asilimia.
 
Sio kwamba Watanzania hawapendi kwenda nchi nyingine. Tatizo lugha ni changamoto, kupata passport ni shughuli pevu, hakuna uraia pacha, raia wengi hawana adventurous spirit ukilinganisha na nchi nyingine, kuna vikwazo vingi vya interactions kati ya diaspora na watu wa nyumbani(sijui kama mpaka leo hata PayPal Tanzania kama imeshaanza kufanya kazi sawa na nchi nyingine)
Unahisi Burundi wanajua Lugha (Kingereza kwenda Usa) kuliko Tanzania na wana Exposure, visa na facilities nyengine bora?
 
We jamaa una matatizo sana Imeandikwa 40.5 gini index sio 40.5% unanisumbua kweli, narudia mara mbili mbili kuangalia vitu ambavyo unakosea mwenyewe kusoma. Hio ni scale baina ya Walio nacho na wasio nacho sio asilimia.
Nimetoka kukuambia huenda hujui kusoma au hujui unachokileta
Juu ya hizo namba umewekewa heading kabisa kuwa hizo namba ni rate(%), rate in percentage. Huoni au hujui lolote?
Nimescreenshot taarifa za hiyo link yako hapa na kuzoom uweze kuona kilichoandikwa huenda hujui kusoma na kuona huoni, hiyo juu hapo heading umeandikiwa kabisa Rate(%)
Screenshot_20250203-180127_1.jpg

Screenshot_20250203-180041_1.jpg

Screenshot_20250203-180041_2.jpg
 
Hii ni slum gani ya Kigali?? Ni mtaa gani?
Hapa

According to hio article asilimia 70 ya watu wa Kigali wanaishi kwenye slums.
 
Keyboard warriors na nyie watoto wa 2000 mnapenda vita sana. Siku mkiipata mtakua mabalozi wa kutoa elimu
Natamani ungesema kwa sauti sana wasikie maana wangelijuwa thamani ya US $ kabla ya vita vya tz na ug 1978 na mpaka tumeyumba mazima
Na kama Jakaya ange-react kama alivyofanya Kagame lazima zingepigwa!
JK ni mtoto.wa mjini na ni mjeshi pia so ana balance mambo
 
Hapa

According to hio article asilimia 70 ya watu wa Kigali wanaishi kwenye slums.
Either you're joker au tafsiri ya slums unayoitumia na ya kipeke yako.
 
Nimetoka kukuambia huenda hujui kusoma au hujui unachokileta
Juu ya hizo namba umewekewa heading kabisa kuwa hizo namba ni rate(%), rate in percentage. Huoni au hujui lolote?
Nimescreenshot taarifa za hiyo link yako hapa na kuzoom uweze kuona kilichoandikwa huenda hujui kusoma na kuona huoni, hiyo juu hapo heading umeandikiwa kabisa Rate(%)
View attachment 3223691
View attachment 3223692
View attachment 3223693
Hio inahusu Poverty ila GNI sio asilimia, unaweza ukai convert kwenda Asilimia ila yenyewe sio ni no tu index.
 
Hapa

According to hio article asilimia 70 ya watu wa Kigali wanaishi kwenye slums.
Article uliyoweka ni ya 2013 haisemi Kigali tu inasema urban residents in rwanda kwa ujumla 70% wanaishi slums

Lakini hata hivyo kwenye articles hizo hizo zinasema Tanzania wanaoishi kwenye slums in urban areas ni 70% Kama ilivyo Rwanda
Screenshot_20250203-182813_1.jpg
 
Back
Top Bottom