Ngoma ikilia sana jua ikaribu kupasuka. Ajitahidi sana awe na mwisho mwemaJe ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine? Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi. Je si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake? Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki? View attachment 3223435
Kama hana uwezo si wampige?Je ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine? Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi. Je si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake? Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki? View attachment 3223435
Define uzalendo maanaAcheni kumuonea wivu huyu jamaa, ameprove kua inawezekana kua mzalendo kwa nchi yako.
Sina hakika kama alimtukana, alimwambia ukweli tu.
HakikaKabla ya kulalamika ntu kutukanwa jiulize kama kilichosemwa ni tusi au ukweli mchungu tu.
Kama kigezo ni umaskini hakuna nchi Haina masikini.Define uzalendo maana
1. Anaongoza Nchi kwa mkono wa Chuma yoyote anaongea Chochote anapotezwa
2. Wananchi wake ni masikini wa kutupwa.
Huo uzalendo kwa Nchi yake ni upi ikiwa Raia hawana furaha ama Mali. Chochote jeshi lake inachopambania ni mdomo wake na si wa wananchi wake.
Mi naona kama Kagame yupo sahihi. Kwanini wamuhusishe na ugonvi wa nchi ya Congo. Amesema na ni kweli wale M23 sio Wanyarwanda. Wale ni Watutsi na Wahutu wa huko Congo. Uwepo wa jeshi la Rwanda maeneo ya mipakani ni kwa ajili ya ULINZI.Je ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine? Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi. Je si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake? Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki? View attachment 3223435
View attachment 3223446
Kwanini TZ tusianzishe kakikosi ketu ka wahuni kawe kanatuletea madini adhimu duniani?Mi naona kama Kagame yupo sahihi. Kwanini wamuhusishe na ugonvi wa nchi ya Congo. Amesema na ni kweli wale M23 sio Wanyarwanda. Wale ni Watutsi na Wahutu wa huko Congo. Uwepo wa jeshi la Rwanda maeneo ya mipakani ni kwa ajili ya ULINZI.
DRC iimarishe ulinzi wa nchi yake ktk mashariki ya Congo. Inaonekana mashariki ya Congo hakuna serikali ni vikundi vya wababe tu ambao ni vibaraka wa mataifa mbalimbali.
Kwamba Mataifa yote yanamsingizia Kagame kwa faida ya nani? Kwamba wale wanajeshi wa Rwanda wanaofia Congo ni M23?Mi naona kama Kagame yupo sahihi. Kwanini wamuhusishe na ugonvi wa nchi ya Congo. Amesema na ni kweli wale M23 sio Wanyarwanda. Wale ni Watutsi na Wahutu wa huko Congo. Uwepo wa jeshi la Rwanda maeneo ya mipakani ni kwa ajili ya ULINZI.
DRC iimarishe ulinzi wa nchi yake ktk mashariki ya Congo. Inaonekana mashariki ya Congo hakuna serikali ni vikundi vya wababe tu ambao ni vibaraka wa mataifa mbalimbali.
Tupe tofauti ya anachofanya kagame rwanda na inachofanya ccm Tz.Define uzalendo maana
1. Anaongoza Nchi kwa mkono wa Chuma yoyote anaongea Chochote anapotezwa
2. Wananchi wake ni masikini wa kutupwa.
Huo uzalendo kwa Nchi yake ni upi ikiwa Raia hawana furaha ama Mali. Chochote jeshi lake inachopambania ni mdomo wake na si wa wananchi wake.
Jakaya Anaongea vizuri sanaMwenyewe anathibitisha kutukanwa!View attachment 3223450
Na kama Jakaya ange-react kama alivyofanya Kagame lazima zingepigwa!Jakaya Anaongea vizuri sana
Haswa ila Rwanda tungewapoteza ni wachumba tuNa kama Jakaya ange-react kama alivyofanya Kagame lazima zingepigwa!
Keyboard warriors na nyie watoto wa 2000 mnapenda vita sana. Siku mkiipata mtakua mabalozi wa kutoa elimuJe, ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine?
Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi.
Je, si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake?
Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki?
View attachment 3223435
View attachment 3223446
Umemuelewa lakini?Kama kigezo ni umaskini hakuna nchi Haina masikini.