MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Tupo ibadani wakuu tuvute mda kidogo
Kwahiyo sasa unafanya booking ya Bombardier kila wiki?Ndoto yangu kabla sijaujua ukweli wa mambo..nilipokuja kutajiwa kuwa angalau niwe na M150 nikaona si baht yangu acha tu niwe abiria wa kawaida[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
She-MaleWewe ni Mwanaume au Mwanamke? Tuanzie hapa Kwanza tafadhali.
Hakujui vizuri huyoAsante Sana kwa kutambua hilo katikati ya masihara yangu mengi
Lol, You seem really insecure about something, is everything okay?Pamoja na Samia ndiyo Rais na ni Mwenzenu Kijinsia, ila mkiwa na Sisi Wanaume mkizingua au mkituzingua tu Vibao mtawambwa ( mtapigwa ) na hata Kuachika mtaachika vile vile hadi Mkome.
Imeisha hiyo!!!
Umemuita hapa huyu ili aje afanye nini?
teh..maombi ya kuziombea ndoto ChiefSadaka zenyu
HakikaHuo ndio uzuri wa wwzazi kuombea ndoto za watoto.
Wengi hatujatimiza ndoto zetu sababu shetani na majeshi yake wamezinyakuwa, hatukuwa na wa kutuombea
Ok.. nitausakaAmeolewa?malizia basis wasifu wake.
HakikaRaha Sana kuishi ndani ya ndoto zako
mkuu hapo la ajabu lipi? mbona wanawake wengi tuu wanarusha mpaka ndege za kivita. Mwanamke ni binaadam ka binaadam wengine.Wakuu Habarini
Kuna post zimekuwa zikisambaa mitandaoni zikimuonyesha mmoja wa marubani ambaye ni mtoto wa Mwl Mwakasege, na kila mtu akizumzungumzia lake + kumpongeza kwa ndoto zake.
Huyu ni mmoja wa marubani wawili waliorusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli. Anaitwa Anna Tusajigwe Mwakasege. Ni binti wa pili wa Mwalimu Christopher na mama Diana Mwakasege.
Anna alipata maono ya kuwa rubani akiwa darasa la 3 tu. Baba yake akampeleka uwanja wa ndege angalau kuona ndege "live" badala tu ya kuziona angani tu. Alipofika darasa la 5 baba yake alitembeza uwanja mdogo wa ndege Arusha ambapo alipata nafasi ya kuongea na marubani kuhusu ndoto yake, nao wakampa ushauri masomo ya kusoma ili aweze kuifikia ndoto hiyo.
Alijifunza urubani Afrika kusini, na siku anarusha ndege kwa mara ya kwanza baba yake hakulala usiku huo (hii ni story ya wakati mwingine).
Lakini kwa sasa Anna ni miongoni mwa marubani wa shirika la ndege ATCL. Kabla ya kujiunga na ATCL alifanya kazi mashirika mengine makubwa ya ndwge kama SAA na kupata uzoefu wa kuendesha ndege kubwa kama Boeing 747, Boeing 777 na Airbus A340.
Hongera Anna kwa kuaminiwa kuendesha ndege iliyobeba mwili wa Rais. Umeweka alama kubwa kwa taifa hili, ambayo haitafutika kirahisi. Mara zote tutakapokumbuka kifo cha JPM tutakumbuka kuwa wewe kama Senior First officer na rubani mwenzio (kiongozi) ndio mlipata neema ya kubeba mwili wake.
Najua si kazi rahisi kuendesha ndege ukiwa na majonzi ya kumpoteza Rais wako lakini umeaminiwa na umeweza. Tunawaombea kwa safari ya Zanzibar, Mwanza na Chato. Wewe pamoja na cabin crew yote. Hakika wanawake mnaweza. View attachment 1732239
Hakika...Ahsante kwa ufafanuzi zaidi + mzuri pia.Siyo kweli kwamba Anna ameajiriwa na ATCL, isipokuwa ameajiriwa na Wakala wa Ndege za serikali TGFA yenye dhamana ya kusafirisha viongozi kwa anga lkn pia yenye dhamana ya kusimamia mikataba ya ukodishaji ndege kwa ATCL kwa niaba ya Serikali.
ATCL na TGFA nadhani waliingia mikataba kadhaa ikiwa ni pamoja na ushirikiano kwenye suala la manpower hasa aviation engeering na Operations kwa maana ya Pilots na Cabin crew.
Ukiacha kusukuma hiyo Dash8-Q400 (De haviland) ambayo ni kama zile Bombardier, ni senior officer anayesukuma Fokker 50 na Gulf stream yaani Ndege ya Mh. Rais.
Kwa pilots wa kike pia yupo Joanitha Boman ambaye nae anasukuma ngoma kama hizo.
"Wanawake tunaweza"
Hahaha Ili ugundue nini boss..Nilikua naangalia vidoleni.