Huyu ndiye binti wa Mwl Mwakasege ambaye ni mmoja wa marubani aliyerusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli

Huyu ndiye binti wa Mwl Mwakasege ambaye ni mmoja wa marubani aliyerusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli

kula kimasihara sana kuna athiri sana mambo ya ndoto, haswa katika ulimwengu wa roho
Hii kitu nataka nianze kupitia website mbalimbali + vitabu ...

Kupitia nyuzi nyingi nilizopitia humu..wengi wamedai kuwa huo mchezo unamaliza mtu kinguvu sana!..haswa kiroho

Mkuu naomba unifafanulie kdg inakuwaje hapo..hii transmition inakuwa vipi?
 
Ndugu kuna Mwanamke nimemtongoza Jana na alichonijibu najua Mwenyewe ila mwishoni akaonyesha Jeuri na Kiburi fulani hivi kwa Kutumia Urais wa sasa wa Mwanamke mwenzao Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan. Alinikera mno tu yaani Kumtongoza Kwangu kumehusiana nini na Urais wa Mama Samia? Wanaume tuwe Makini sana tu.
Nahis hiyo incidence ndo imekufanya uanzishe thread mkuu[emoji16]
 
Mimi ni Mwanamke, nimekubaliana na hayo uloandika EXCEPT SUALA LA KUPIGA WANAWAKE! Sikubaliani na ww kutumia Mabavu! Una tofauti gani na hao wanawake wanaojigamba?
Nina Hasira sana na Majibu niliyopewa na Mwanamke niliyemtongoza Jana tu. Jeuri yenu kwakuwa Rais ni Mama Samia Suluhu Hassan itawaponza. Muwe makini nasi.
 
Safi sana kajitahidi na yy kabebeka vizuri..rafiki yangu mmoja akiona hii kitu ya mambo ya urubani huwa anaumia sana hakufanikiwa kwa sababu ya pesa..
Hakika Mkuu...watu wengi wameshindwa kwa sabbu ya pesa
 
mkuu hapo la ajabu lipi? mbona wanawake wengi tuu wanarusha mpaka ndege za kivita. Mwanamke ni binaadam ka binaadam wengine.
Hakika Boss...ila kilichotrend zaidi ni kupewa dhamana ya kuirusha hiyo ndege ikiwa na mwili wa hayati Raisi Magufuli akiwa na mwenzake...kwa sabbu ilienda Dom..Zanzibar..Mwanza + kutimiza ndoto alizokuwa nazo tangu akiwa mtoto
 
Back
Top Bottom