Huyu ndiye binti wa Mwl Mwakasege ambaye ni mmoja wa marubani aliyerusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli

Nakubaliana naww wanawake hawajui sis wanaume bado ni vichwa pia hawaelew kua hata huyu rais ana mume na watoto hivyo bado anatimiza majukumu yake kama mke.akina Joyce kilia wameachika kwenye ndoa zao saiz anawafunza jeuli wenzie waliokwenye ndoa
 
Relax mzee unataka kuwekena ligi na wanawake, Wewe ni mwanaume Wanajua uwezo wetu hakuna sababu ya kujisifia apa
 
Ndo nawashangaa hawa Majuha. Urubani hata kama form four hujapata cheti kuna baadhi ya vyuo wanakuchukua baada ya katest kadogo
Kurusha ndege sio kazi,kazi ni kupata leseni yake tu ndicho kinachotushinda hapa bongo,lakini kwa mbele kusomea urushaji na kupata leseni yake ni ize sana,
 
Mleta mada kichwa kibovu kwani Co pilot huwa hana uwezo wa kuendesha hiyo ndege? unaelewa maana ya Co Pilot wote marubani wenye leseni moja ya Kurusha ndege za abiria za injini mbili na zaidi
Sheria haziruhusu ndege ya injini mbili kuwa na rubani mmoja Lazima wawe wawili
 
Nadhani watu wanajiuliza inakuaje binti wa kitanznia anaweza kufanya mambo makubwa kiasi hicho
 
Aaah! Kwa dozi za safari hii ya vyuma kukaza wanawake Hawa wezi kuthubutu maana naona single mother wengi ndoa Chache na waliendelea wataisoma vizuri hata hao watoto watajizalisha wenyewe.
 
Na wanawake muache kutuomba na ya kutolea mmeshashika dola sasa
 
Halafu huu Uzi mods wataufuta soon maana likija jeshi LA wokozi hatotoka mtu
 
Hawa wanaotuonyesha sehemu zao za Siri 💋💃🧜🤔hadhalani ndio tuwaogope?
 
Ebu walokole mkuke hapa!
Kipindi kile Mlituambia mwalimu mwakasege alikuwa na mtoto mmoja tuu wa ndani ya ndoa yule dogo aliye fariki kwa ‘kuchanganywa’ na pisi kali, sasa ina maana huyu ‘ruban’ alimzaa ujanani au umataifani?? namheshim sana Mwl Mwakasega ila namba ufafanuzi??
 
Yaani ushamba wa kitanzania Kenya kuna wanawake 150 full pilots. 22 wapo na international flights. Kweli tuko nyuma sana.
 
Nini chakushangaza!
Yaani kila kitu ni MSHANGAO Tu, uko dunia gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…