Huyu ndiye binti wa Mwl Mwakasege ambaye ni mmoja wa marubani aliyerusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli

Hii nchi ina watu viazi balaa na ndio mtaji mkubwa wa maccm
 
Hakika huyu dada historia itambeba.

Ameendesha ndege iliyo mbeba Jpm kutoka dsm to Dodoma, Dodoma to Zanzibar, Zanzibar to Mwanza.

Sasa kitu gani kina mpa huo upekee??kwani (gender?)haya mambo ndio yanamfanya mwanamke wa kiafrika kuonekana ni kiumbe dhaifu!!hao walio ubeba mwili wake kwenye gari nao mbona hamuwaongelei?!!!au kwa kuwa ni wanaume??hadi wengine wanapendekeza ndio awe anamuendesha rais!!kuanzia sasa, wanafikiria ndege ni kama gari mtu anakupa tu ufunguo hebu kani amushie gari langu kesho!!huko sio mambo hayo, mtu anaendesha dude, lakini akipewa ndege aina nyingine lazima apigwe kwanza brush!!HONGERA YAKE KAMA PILOT.
 
Mwisho umekubali
 
Ha ha na SA hawajawahi kuwa na B777,na wameachana na 747 muda mrefu tu....humu JF kila mtu anajua..
 
Katika Thread kama hizi ndo namkumbuka mzee wangu barafu muda mrefu sijaona michango yake humu jukwaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…