Huyu ndiye binti wa Mwl Mwakasege ambaye ni mmoja wa marubani aliyerusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli

Huyu ndiye binti wa Mwl Mwakasege ambaye ni mmoja wa marubani aliyerusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli

Wakuu Habarini

Kuna post zimekuwa zikisambaa mitandaoni zikimuonyesha mmoja wa marubani ambaye ni mtoto wa Mwl Mwakasege, na kila mtu akizumzungumzia lake + kumpongeza kwa ndoto zake.

Huyu ni mmoja wa marubani wawili waliorusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli. Anaitwa Anna Tusajigwe Mwakasege. Ni binti wa pili wa Mwalimu Christopher na mama Diana Mwakasege.

Anna alipata maono ya kuwa rubani akiwa darasa la 3 tu. Baba yake akampeleka uwanja wa ndege angalau kuona ndege "live" badala tu ya kuziona angani tu. Alipofika darasa la 5 baba yake alitembeza uwanja mdogo wa ndege Arusha ambapo alipata nafasi ya kuongea na marubani kuhusu ndoto yake, nao wakampa ushauri masomo ya kusoma ili aweze kuifikia ndoto hiyo.

Alijifunza urubani Afrika kusini, na siku anarusha ndege kwa mara ya kwanza baba yake hakulala usiku huo (hii ni story ya wakati mwingine).

Lakini kwa sasa Anna ni miongoni mwa marubani wa shirika la ndege ATCL. Kabla ya kujiunga na ATCL alifanya kazi mashirika mengine makubwa ya ndwge kama SAA na kupata uzoefu wa kuendesha ndege kubwa kama Boeing 747, Boeing 777 na Airbus A340.

Hongera Anna kwa kuaminiwa kuendesha ndege iliyobeba mwili wa Rais. Umeweka alama kubwa kwa taifa hili, ambayo haitafutika kirahisi. Mara zote tutakapokumbuka kifo cha JPM tutakumbuka kuwa wewe kama Senior First officer na rubani mwenzio (kiongozi) ndio mlipata neema ya kubeba mwili wake.

Najua si kazi rahisi kuendesha ndege ukiwa na majonzi ya kumpoteza Rais wako lakini umeaminiwa na umeweza. Tunawaombea kwa safari ya Zanzibar, Mwanza na Chato. Wewe pamoja na cabin crew yote. Hakika wanawake mnaweza. View attachment 1732239
Kuendesha gari ukiwa na majonzi ni kazi rahisi! Mimi hats kula ugali huwa si kazi rahisi.
TUNAIKALIAGA POLITIKI.
 
Wabongo jamani kwa uongo

Anna hajawahi fanya kazi SAA na kupata uzoefu wa kuendesha ndege kubwa kama Boeing 747, Boeing 777 na Airbus A340. Anna hajawahi fanya rating ya B747 au B777 au Airbus 340.. Jet yake ya kwanza kurusha ndio hiyo Airbus A220-300 ya Air Tanzania.. South Africa alienda kusomea CPL pekee na kurudi Tanzania. Msiandike vitu hamvijui vizuri. Na kumrusha kiongozi ni jambo la kawaida sana, sio kwamba yeye Anna ndio kaaminiwa kuliko marubani wengine, isitoshe hapo yeye ni First Officer tu, Capt ndio anaruka kwenye shughuli kama hiyo, hapo yeye anabaki kwenye radio.. Sijui mnaelewa? Labda sbb ya gender ndio mnampa publicity, but she is not special ni sawa na marubani wengine wanaoruka hiyo A220-300

Mkiandika mjue vema unaandika nini, yaani unaandika uongo eti ana rusha B747, B777 & A340, hana hizo rating, na SAA hajawahi fanya kazi hata kidogo, na flight school alifanyia South Africa na kupata CPL tu na hadi leo ana Commercial Licence.. So msindike hovyo vitu kama hujui vema
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Hii kitu nataka nianze kupitia website mbalimbali + vitabu ...

Kupitia nyuzi nyingi nilizopitia humu..wengi wamedai kuwa huo mchezo unamaliza mtu kinguvu sana!..haswa kiroho

Mkuu naomba unifafanulie kdg inakuwaje hapo..hii transmition inakuwa vipi?
kwa uwelewa wangu mfupi.
sex inakutanisha vikojoleo vyenu hivyo mwili unakuwa mmoja, hata katika ulimwengu wa roho mnakuwa wamoja mmeshirikishana.
endapo mwenzako ana balaa, nuksi, laana, baraka, kismati au gundu unakuwa mmeshirikishana, mara nyingi hivi tunaviita nguvu au mvutano ( huwa mtu anakuwa navyo, hurithiwa au huyapata kutokana na mizunguko ya dunia)
sasa kama nguvu au vitu nilivyovitaja ( spiritual power ambazo kila mtu anakuwa nazo toka uumbwaji wake ambao hupewa na Mungu) kubwa kuliko la kwake unaweza kuovercome but utaondoka nalo hata chembe chembe chache just imagine umegawa na umepata nguvu ngapi kutokana na kuunganisha miili yako na kula kimasihara, ndo maana mwisho wa siku unakosa dira ya kufikia maono yako

kama hujaelewa tutamwomba kaka Mshana Jr aelezee zaidi
 
kwa uwelewa wangu mfupi.
sex inakutanisha vikojoleo vyenu hivyo mwili unakuwa mmoja, hata katika ulimwengu wa roho mnakuwa wamoja mmeshirikishana.
endapo mwenzako ana balaa, nuksi, laana, baraka, kismati au gundu unakuwa mmeshirikishana, mara nyingi hivi tunaviita nguvu au mvutano ( huwa mtu anakuwa navyo, hurithiwa au huyapata kutokana na mizunguko ya dunia)
sasa kama nguvu au vitu nilivyovitaja ( spiritual power ambazo kila mtu anakuwa nazo toka uumbwaji wake ambao hupewa na Mungu) kubwa kuliko la kwake unaweza kuovercome but utaondoka nalo hata chembe chembe chache just imagine umegawa na umepata nguvu ngapi kutokana na kuunganisha miili yako na kula kimasihara, ndo maana mwisho wa siku unakosa dira ya kufikia maono yako

kama hujaelewa tutamwomba kaka Mshana Jr aelezee zaidi

Ahsante Chief..kumbe mchezo wenyewe unakuwa hivyo

Kwa hiyo ile hali ya sex kumbe ndo transmition ya kiroho inafanyika..

Na jee? Kama mwanaume anakismati/baraka zitaenda kwa mwanamke atakayekutana nae?
 
Ahsante Chief..kumbe mchezo wenyewe unakuwa hivyo

Kwa hiyo ile hali ya sex kumbe ndo transmition ya kiroho inafanyika..

Na jee? Kama mwanaume anakismati/baraka zitaenda kwa mwanamke atakayekutana nae?
yap. refer case za samson na delila,
baraka huwa zinapungua au kuongezeka inategemea na unayekutana naye.
haya mambo kama sumaku, mwenye nguvu ndo anamvuta mwenzake
 
Tuliza mshono.....nishauri nin sasa....hapo kuna hitaji ushauri.......acheni kupamba mambo ya kijinga ohhoo maono hayo maono angefanikiwa bila baba yao kuwa na hela ya maana kuwasomesha......
Na wewe uache ujuaji + wivu wa Kike...kumbuka wewe ni wa Kiume Hujaolewa

Punguza hizo utaolewa mdogo wangu
 
Wabongo jamani kwa uongo

Anna hajawahi fanya kazi SAA na kupata uzoefu wa kuendesha ndege kubwa kama Boeing 747, Boeing 777 na Airbus A340. Anna hajawahi fanya rating ya B747 au B777 au Airbus 340.. Jet yake ya kwanza kurusha ndio hiyo Airbus A220-300 ya Air Tanzania.. South Africa alienda kusomea CPL pekee na kurudi Tanzania. Msiandike vitu hamvijui vizuri. Na kumrusha kiongozi ni jambo la kawaida sana, sio kwamba yeye Anna ndio kaaminiwa kuliko marubani wengine, isitoshe hapo yeye ni First Officer tu, Capt ndio anaruka kwenye shughuli kama hiyo, hapo yeye anabaki kwenye radio.. Sijui mnaelewa? Labda sbb ya gender ndio mnampa publicity, but she is not special ni sawa na marubani wengine wanaoruka hiyo A220-300

Mkiandika mjue vema unaandika nini, yaani unaandika uongo eti ana rusha B747, B777 & A340, hana hizo rating, na SAA hajawahi fanya kazi hata kidogo, na flight school alifanyia South Africa na kupata CPL tu na hadi leo ana Commercial Licence.. So msindike hovyo vitu kama hujui vema
Wivu ni kidonda, ukishiliki utakonda
 
Hivi kwann mnaamini jay one ana wivu....na kwann tusihofu kwamba mleta mada huenda ameandika vitu ambavyo huenda vingine sio ukweli.
 
Wakuu Habarini

Kuna post zimekuwa zikisambaa mitandaoni zikimuonyesha mmoja wa marubani ambaye ni mtoto wa Mwl Mwakasege, na kila mtu akizumzungumzia lake + kumpongeza kwa ndoto zake.

Huyu ni mmoja wa marubani wawili waliorusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli. Anaitwa Anna Tusajigwe Mwakasege. Ni binti wa pili wa Mwalimu Christopher na mama Diana Mwakasege.

Anna alipata maono ya kuwa rubani akiwa darasa la 3 tu. Baba yake akampeleka uwanja wa ndege angalau kuona ndege "live" badala tu ya kuziona angani tu. Alipofika darasa la 5 baba yake alitembeza uwanja mdogo wa ndege Arusha ambapo alipata nafasi ya kuongea na marubani kuhusu ndoto yake, nao wakampa ushauri masomo ya kusoma ili aweze kuifikia ndoto hiyo.

Alijifunza urubani Afrika kusini, na siku anarusha ndege kwa mara ya kwanza baba yake hakulala usiku huo (hii ni story ya wakati mwingine).

Lakini kwa sasa Anna ni miongoni mwa marubani wa shirika la ndege ATCL. Kabla ya kujiunga na ATCL alifanya kazi mashirika mengine makubwa ya ndwge kama SAA na kupata uzoefu wa kuendesha ndege kubwa kama Boeing 747, Boeing 777 na Airbus A340.

Hongera Anna kwa kuaminiwa kuendesha ndege iliyobeba mwili wa Rais. Umeweka alama kubwa kwa taifa hili, ambayo haitafutika kirahisi. Mara zote tutakapokumbuka kifo cha JPM tutakumbuka kuwa wewe kama Senior First officer na rubani mwenzio (kiongozi) ndio mlipata neema ya kubeba mwili wake.

Najua si kazi rahisi kuendesha ndege ukiwa na majonzi ya kumpoteza Rais wako lakini umeaminiwa na umeweza. Tunawaombea kwa safari ya Zanzibar, Mwanza na Chato. Wewe pamoja na cabin crew yote. Hakika wanawake mnaweza. View attachment 1732239
Hongera sana Dada Mpambanaji.
 
Wabongo jamani kwa uongo

Anna hajawahi fanya kazi SAA na kupata uzoefu wa kuendesha ndege kubwa kama Boeing 747, Boeing 777 na Airbus A340. Anna hajawahi fanya rating ya B747 au B777 au Airbus 340.. Jet yake ya kwanza kurusha ndio hiyo Airbus A220-300 ya Air Tanzania.. South Africa alienda kusomea CPL pekee na kurudi Tanzania. Msiandike vitu hamvijui vizuri. Na kumrusha kiongozi ni jambo la kawaida sana, sio kwamba yeye Anna ndio kaaminiwa kuliko marubani wengine, isitoshe hapo yeye ni First Officer tu, Capt ndio anaruka kwenye shughuli kama hiyo, hapo yeye anabaki kwenye radio.. Sijui mnaelewa? Labda sbb ya gender ndio mnampa publicity, but she is not special ni sawa na marubani wengine wanaoruka hiyo A220-300

Mkiandika mjue vema unaandika nini, yaani unaandika uongo eti ana rusha B747, B777 & A340, hana hizo rating, na SAA hajawahi fanya kazi hata kidogo, na flight school alifanyia South Africa na kupata CPL tu na hadi leo ana Commercial Licence.. So msindike hovyo vitu kama hujui vema
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi!

Hongera sana Anna!
 
Wakuu Habarini

Kuna post zimekuwa zikisambaa mitandaoni zikimuonyesha mmoja wa marubani ambaye ni mtoto wa Mwl Mwakasege, na kila mtu akizumzungumzia lake + kumpongeza kwa ndoto zake.

Huyu ni mmoja wa marubani wawili waliorusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli. Anaitwa Anna Tusajigwe Mwakasege. Ni binti wa pili wa Mwalimu Christopher na mama Diana Mwakasege.

Anna alipata maono ya kuwa rubani akiwa darasa la 3 tu. Baba yake akampeleka uwanja wa ndege angalau kuona ndege "live" badala tu ya kuziona angani tu. Alipofika darasa la 5 baba yake alitembeza uwanja mdogo wa ndege Arusha ambapo alipata nafasi ya kuongea na marubani kuhusu ndoto yake, nao wakampa ushauri masomo ya kusoma ili aweze kuifikia ndoto hiyo.

Alijifunza urubani Afrika kusini, na siku anarusha ndege kwa mara ya kwanza baba yake hakulala usiku huo (hii ni story ya wakati mwingine).

Lakini kwa sasa Anna ni miongoni mwa marubani wa shirika la ndege ATCL. Kabla ya kujiunga na ATCL alifanya kazi mashirika mengine makubwa ya ndwge kama SAA na kupata uzoefu wa kuendesha ndege kubwa kama Boeing 747, Boeing 777 na Airbus A340.

Hongera Anna kwa kuaminiwa kuendesha ndege iliyobeba mwili wa Rais. Umeweka alama kubwa kwa taifa hili, ambayo haitafutika kirahisi. Mara zote tutakapokumbuka kifo cha JPM tutakumbuka kuwa wewe kama Senior First officer na rubani mwenzio (kiongozi) ndio mlipata neema ya kubeba mwili wake.

Najua si kazi rahisi kuendesha ndege ukiwa na majonzi ya kumpoteza Rais wako lakini umeaminiwa na umeweza. Tunawaombea kwa safari ya Zanzibar, Mwanza na Chato. Wewe pamoja na cabin crew yote. Hakika wanawake mnaweza. View attachment 1732239
Watoto wengi wanapoteza ndoto zao kwasababu ya wazazi wao kupuuza hobby za watoto zao
 
Wabongo jamani kwa uongo

Anna hajawahi fanya kazi SAA na kupata uzoefu wa kuendesha ndege kubwa kama Boeing 747, Boeing 777 na Airbus A340. Anna hajawahi fanya rating ya B747 au B777 au Airbus 340.. Jet yake ya kwanza kurusha ndio hiyo Airbus A220-300 ya Air Tanzania.. South Africa alienda kusomea CPL pekee na kurudi Tanzania. Msiandike vitu hamvijui vizuri. Na kumrusha kiongozi ni jambo la kawaida sana, sio kwamba yeye Anna ndio kaaminiwa kuliko marubani wengine, isitoshe hapo yeye ni First Officer tu, Capt ndio anaruka kwenye shughuli kama hiyo, hapo yeye anabaki kwenye radio.. Sijui mnaelewa? Labda sbb ya gender ndio mnampa publicity, but she is not special ni sawa na marubani wengine wanaoruka hiyo A220-300

Mkiandika mjue vema unaandika nini, yaani unaandika uongo eti ana rusha B747, B777 & A340, hana hizo rating, na SAA hajawahi fanya kazi hata kidogo, na flight school alifanyia South Africa na kupata CPL tu na hadi leo ana Commercial Licence.. So msindike hovyo vitu kama hujui vema
B 747 Ni ngumu yey kuja kuendesha sababu Ni ndege ambayo makampuni mengi yameshazistaafisha kupunguza gharama za uendeshaji Mana Ni jumbo jet hizi injini nne. Zilizobaki nying Ni za mizigo sio abiria. Na hata kiwandani hazizalishwi tena sawa na A380.
B777 ndio imekuja kuua soko la hizo mbili.
 
Achaneni na mambo ya maombi sijuii Pesa,Masomo mpaka ufikie hiyo ndoto yako si muchezo jamani,wengine tumezaliwa nyumba unapewa noti za elfu kumi kumi uchezee ndio unywe uji ila darasani pamoja na ndoto zetu Tulisema Inafu is Inafu,sio kwa F zile si kwa Sapu zile jamani eeeeh Pesa si kitu Ubongo Ubongo nasema kitu Bureini Bureini oooh hoooooo.....

Utaombewa hata na Na nabiii musa kama una bureini kama langu hifiki popote,hongera mudada ila wakukuwowa ajipange haswaaa maana....
 
Back
Top Bottom