Huyu ndiye binti wa Mwl Mwakasege ambaye ni mmoja wa marubani aliyerusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli

Huyu ndiye binti wa Mwl Mwakasege ambaye ni mmoja wa marubani aliyerusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli

Yaani umeongea kweli mkuu yaani tuache kwanza msiba uishee nitakutafuta
Natambua sana Umahiri na Uweledi wa Mwanadada Ana T. Mwakasege (Mtoto wa Mwalimu wa Kiroho Mwakasege ) hasa katika Suala zima la Kurusha Ndege (kuwa Rubani) tena sasa akiwa ni wa Shirika letu la ATCL.

Kinachonishangaza sasa tu ni kuona katika Mitandao mbalimbali Picha inayotamalaki (trend) sasa ni ya Kumuonyesha huyu Dada Ana Mwakasege ambaye bado ni Co - Pilot ( Rubani Msaidizi ambaye katika Cockpit hukaa upande wa Kulia) akisifiwa kuwa ndiyo amerusha Ndege iliyobeba Mwili wa Hayati Rais Dkt. Magufuli kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma huku Rubani Mwandamizi (Mkuu) ambaye Kicheo ndiyo huwa Captain (ambaye katika Ndege huwa anakaa upande wa Kushoto) kule katika Cockpit yao.

Tokea Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan ameapa nimeanza kuona Kirusi fulani kama cha Kijeuri au Cha Kushindana au cha Kututambia Sisi Wanaume kwamba kwakuwa Mpini wa Ikulu umeshikwa na Mwanamke basi Wanaume tutawakoma na tujiandae Kisaikolojia.

Mheshimiwa Rais wangu Mama Samia Suluhu Hassan na Wewe ukijiroga tu ukaingia katika Mfumo huu wa Kijeuri ambao Wanawake Wenzako wanataka Kukuingiza watakuponza na huenda hata ukakosa Ushirikiano wa kutosha kutoka Kwao (Kwetu) Wanaume ma hatimaye Uongozi ukakushinda na ukapigwa Zengwe la maana na ukapakimbia Mwenyewe hapo Ikulu.

Wewe ni Rais wa Tanzania na siyo Rais wa Wanawake wote nchini Tanzania. Ni Kakirusi ka Kipuuzi kama siyo ka Kipumbavu naona kanaanza tu Kujizolea Umaarufu na kuwavimbisha Vichwa Wanawake. Pamoja na Samia ndiyo Rais na ni Mwenzenu Kijinsia, ila mkiwa na Sisi Wanaume mkizingua au mkituzingua tu hata Kuachika mtaachika vile vile.

Imeisha hiyo!
 
Nampongeza Binti Mwakasege haijalishi Ni Co Pilot or what so long anaungurumisha Air bus
 
Natambua sana Umahiri na Uweledi wa Mwanadada Ana T. Mwakasege (Mtoto wa Mwalimu wa Kiroho Mwakasege ) hasa katika Suala zima la Kurusha Ndege (kuwa Rubani) tena sasa akiwa ni wa Shirika letu la ATCL.

Kinachonishangaza sasa tu ni kuona katika Mitandao mbalimbali Picha inayotamalaki (trend) sasa ni ya Kumuonyesha huyu Dada Ana Mwakasege ambaye bado ni Co - Pilot ( Rubani Msaidizi ambaye katika Cockpit hukaa upande wa Kulia) akisifiwa kuwa ndiyo amerusha Ndege iliyobeba Mwili wa Hayati Rais Dkt. Magufuli kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma huku Rubani Mwandamizi (Mkuu) ambaye Kicheo ndiyo huwa Captain (ambaye katika Ndege huwa anakaa upande wa Kushoto) kule katika Cockpit yao.

Tokea Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan ameapa nimeanza kuona Kirusi fulani kama cha Kijeuri au Cha Kushindana au cha Kututambia Sisi Wanaume kwamba kwakuwa Mpini wa Ikulu umeshikwa na Mwanamke basi Wanaume tutawakoma na tujiandae Kisaikolojia.

Mheshimiwa Rais wangu Mama Samia Suluhu Hassan na Wewe ukijiroga tu ukaingia katika Mfumo huu wa Kijeuri ambao Wanawake Wenzako wanataka Kukuingiza watakuponza na huenda hata ukakosa Ushirikiano wa kutosha kutoka Kwao (Kwetu) Wanaume ma hatimaye Uongozi ukakushinda na ukapigwa Zengwe la maana na ukapakimbia Mwenyewe hapo Ikulu.

Wewe ni Rais wa Tanzania na siyo Rais wa Wanawake wote nchini Tanzania. Ni Kakirusi ka Kipuuzi kama siyo ka Kipumbavu naona kanaanza tu Kujizolea Umaarufu na kuwavimbisha Vichwa Wanawake. Pamoja na Samia ndiyo Rais na ni Mwenzenu Kijinsia, ila mkiwa na Sisi Wanaume mkizingua au mkituzingua tu hata Kuachika mtaachika vile vile.

Imeisha hiyo!

Jama jama, yaani saa hii tuna kazi ya kuwaelimisha wanawake. Rais wanasema ni wao wanawake, na si rais wa jamhuri.
 
Hii ni inferiority complex ya hali ya juu, kuona raisi amekuwa was kike basi povu linawatoka yeyote mwenye uwezo anaweza kuongoza taifa, Ni ukosefu wa akili kuchukulia sehemu ya mwili Kama privilege ya kujiona Bora kuliko mwingine, Piga kaz mama Wala usibabaishwe
 
Ebu walokole mkuke hapa!
Kipindi kile Mlituambia mwalimu mwakasege alikuwa na mtoto mmoja tuu wa ndani ya ndoa yule dogo aliye fariki kwa ‘kuchanganywa’ na pisi kali, sasa ina maana huyu ‘ruban’ alimzaa ujanani au umataifani?? namheshim sana Mwl Mwakasega ila namba ufafanuzi??
Hana mtoto mmoja anao watano mmoja pekee alikuwa wa kiume na wote amezaa ktk ndoa takatifu na mkewe Diana
 
Naamini maswali yameisha.
910f52541f6a40bc82e86724ced5edff.jpg
 
Mmmh! hapana si lazima...

Isipokuwa maana yangu ilikuwa kuna nafasi kubwa kwa baba anayejua umuhimu wa shule na pia msomi kuambukiza "DNA" ya usomi kwa wanawe...

Mwl. Mwakasege pamoja ya kuwa ni Mwl wa Biblia/Neno la Mungu lakini pia ni Mchumi kitaaluma...

Thanks daddy ake....
 
B 747 Ni ngumu yey kuja kuendesha sababu Ni ndege ambayo makampuni mengi yameshazistaafisha kupunguza gharama za uendeshaji Mana Ni jumbo jet hizi injini nne. Zilizobaki nying Ni za mizigo sio abiria. Na hata kiwandani hazizalishwi tena sawa na A380.
B777 ndio imekuja kuua soko la hizo mbili.
A 380 imestaafishwa mkuu?
 
yap. refer case za samson na delila,
baraka huwa zinapungua au kuongezeka inategemea na unayekutana naye.
haya mambo kama sumaku, mwenye nguvu ndo anamvuta mwenzake
Kwa hiyo delila alimpa nuksi Samson?au Samson alimpa power delila?
 
Natambua sana Umahiri na Uweledi wa Mwanadada Ana T. Mwakasege (Mtoto wa Mwalimu wa Kiroho Mwakasege ) hasa katika Suala zima la Kurusha Ndege (kuwa Rubani) tena sasa akiwa ni wa Shirika letu la ATCL.

Kinachonishangaza sasa tu ni kuona katika Mitandao mbalimbali Picha inayotamalaki (trend) sasa ni ya Kumuonyesha huyu Dada Ana Mwakasege ambaye bado ni Co - Pilot ( Rubani Msaidizi ambaye katika Cockpit hukaa upande wa Kulia) akisifiwa kuwa ndiyo amerusha Ndege iliyobeba Mwili wa Hayati Rais Dkt. Magufuli kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma huku Rubani Mwandamizi (Mkuu) ambaye Kicheo ndiyo huwa Captain (ambaye katika Ndege huwa anakaa upande wa Kushoto) kule katika Cockpit yao.

Tokea Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan ameapa nimeanza kuona Kirusi fulani kama cha Kijeuri au Cha Kushindana au cha Kututambia Sisi Wanaume kwamba kwakuwa Mpini wa Ikulu umeshikwa na Mwanamke basi Wanaume tutawakoma na tujiandae Kisaikolojia.

Mheshimiwa Rais wangu Mama Samia Suluhu Hassan na Wewe ukijiroga tu ukaingia katika Mfumo huu wa Kijeuri ambao Wanawake Wenzako wanataka Kukuingiza watakuponza na huenda hata ukakosa Ushirikiano wa kutosha kutoka Kwao (Kwetu) Wanaume ma hatimaye Uongozi ukakushinda na ukapigwa Zengwe la maana na ukapakimbia Mwenyewe hapo Ikulu.

Wewe ni Rais wa Tanzania na siyo Rais wa Wanawake wote nchini Tanzania. Ni Kakirusi ka Kipuuzi kama siyo ka Kipumbavu naona kanaanza tu Kujizolea Umaarufu na kuwavimbisha Vichwa Wanawake. Pamoja na Samia ndiyo Rais na ni Mwenzenu Kijinsia, ila mkiwa na Sisi Wanaume mkizingua au mkituzingua tu hata Kuachika mtaachika vile vile.

Imeisha hiyo!
Umenifurahisha mkuu...wanawake wengne hawataueelewa uandishi huu.ila mimi nassema wewe ni "Mwanaume unaejitambua. Hongera sana!!
 
Back
Top Bottom