Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Status
Not open for further replies.
Je hujawahi kutana na watu wanaoishi pamoja moja postive na mwingine negative na hawatumiagi cha kinga wala nn
 
Mimi nilishtuka huu ugonjwa ni usanii baada ya kusikia kuna dawa ya kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto. Wakati damu anayo tumia mtoto ni ya mama
mpaka leo nakosa jibu hapa inawezekana vipi
 
Hii kitu ni pasua kichwa yaani ukifatilia kila upande unapoint cha muhimu usijikite kwenye kupinga au kukubali hakika utatamani uingie ufanye research mwenyewe maana ni ngumu kumeza, tatizo watu wengi washajichagulia upande
 
Mimi mkuu nimeshashituka sipimi ukimwi hata kwa greda...lengo la wazungu kukuathiri kisaikolojia ili ufe....maana mwili wa binadamu uhai wake ni saikolojia ikiiua tu hiyo Hana maisha...
Kumbe mzima anajifia bure...
Tatzo mkuu mkeo akipata mimba tuu huna pa kukwepea lazma muende mkapime!!
 
Ukimwi upo wakuu. Acheni kupotoshana. Ni ugonjwa ambao upo ila pia psychology ina mchango mkubwa ktk kummaliza muathirika.
 
Na hapa ndipo unapokosa upande upi upo sahihi ukienda kwa huyu unakuta hivi ukienda kule unakuta vingine,
 
Tatzo mkuu mkeo akipata mimba tuu huna pa kukwepea lazma muende mkapime!!
Hujajipanga mkuu, unaenda kumpanga mwenyekiti wako wa mtaa anampa barua anaenda nayo hospital kwamba umesafiri kikazi, anahudumiwa Kama kawaida, watoto wangu wote nafanya hivyo....
 
duuhhh hatareee!!!!
Hujajipanga mkuu, unaenda kumpanga mwenyekiti wako wa mtaa anampa barua anaenda nayo hospital kwamba umesafiri kikazi, anahudumiwa Kama kawaida, watoto wangu wote nafanya hivyo....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…