uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,085
Je hujawahi kutana na watu wanaoishi pamoja moja postive na mwingine negative na hawatumiagi cha kinga wala nnnashukuru unavomuuliza maswali ambayo ndio hata mimi ninahitaji kujua lakini inavoonekana amekariri kwa kusoma sehemu,
mbona mwanandoa akitoka nje ya ndoa na kutembea na mwenye ukimwi akirudi ndani ya ndoa humwambukiza mwenzake? na baada ya muda hufa wote hadi yule aliechepuka na mmoja wa wanandoa hao?
asitake kudanganya uma hapa
mpaka leo nakosa jibu hapa inawezekana vipiMimi nilishtuka huu ugonjwa ni usanii baada ya kusikia kuna dawa ya kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto. Wakati damu anayo tumia mtoto ni ya mama
Wakati mwingine kipimo unakicheki mwenyeweKuna mtu alinambia wakikuona una wenge sana wanakwambia huna hata kama unao
Hii kitu ni pasua kichwa yaani ukifatilia kila upande unapoint cha muhimu usijikite kwenye kupinga au kukubali hakika utatamani uingie ufanye research mwenyewe maana ni ngumu kumeza, tatizo watu wengi washajichagulia upandeHaya mambo yanafikirisha sana na inawezekana kuna tatizo mahali ambalo wataalamu wetu wa afya hawajui au kufanya kitu kwa kukariri au mazoea. Nilisoma sana mada kama hii kipindi kile cha Deception sikutilia maanani sana na wala sikupuuza sana sababu anahoja zenye mashiko za kufanya umkubali,sasa siku moja kuna mdada mjamzito alinipa kesi kama hii baada ya kupimwa akaambiwa ameathirika so akawa anaomba ushauri kwangu nikafikiria sana nini nimuambie ikabidi niyachukue mawazo ya bwana Deception kumshauri maana kuna sehemu aligusia moja ya vitu vinavyofanya kipimo cha HIV ki detect p+ ni hali ya ujauzito. Hivyo mimi nikamshauri atulie tu mpaka ajifungue akae kama miezi 6 akapime mradi tu asitumie hizo dawa zao wala sikumpa hoja hasa za kisayansi kwamba kwanini afanye vile sababu shule yake ndogo kuelewa hoja kama hizi ila baada ya muda alinipigia na kuniambia amepima amekutwa mzima na akawaeleza madaktari situation mzima ilivyokua wakamuambia inatokeaga kesi kama izo ila arudi tena baada ya mda,Hivyo hivi vitu vinafikirisha sana.
Tatzo mkuu mkeo akipata mimba tuu huna pa kukwepea lazma muende mkapime!!Mimi mkuu nimeshashituka sipimi ukimwi hata kwa greda...lengo la wazungu kukuathiri kisaikolojia ili ufe....maana mwili wa binadamu uhai wake ni saikolojia ikiiua tu hiyo Hana maisha...
Kumbe mzima anajifia bure...
Na hapa ndipo unapokosa upande upi upo sahihi ukienda kwa huyu unakuta hivi ukienda kule unakuta vingine,Kwa kiasi fulani nakubaliana na wewe japo mimi najihusisha na sekta ya afya ipo hivi mwaka 2011 nilienda na kaka yangu temeke alikua na hali mbaya sana kupima aligundulika na TB na HIV hatukuamink tukapima hospital kadhaa majibu yakwa vilevile.sasa wakasema wataanza kutibu TB then ndo waje HIV kuzuia asilete madhara zaidi.
Kweli alitumia dawa za TB baada ya mda fulani akaanza kuwa sawa mpaka kupona..baada ya kupona akatakiwa kupewa ARVs bro alikataa kata kata na hakawa hatumii,,Mwaka 2013 mkewe akapata ujauzito na akajifungua mtoto nilifatilia kadi yake ya clinic alikua salama na mtoto hadi leo yuko salama na yeye mwenyewe ana afya na mkewe pia na hadi leo nikimuuliza anakwambia yeye ana amini ukimwi ni stori na atakufa kwa kingine sio ukimwi.Baba yangu mara kadhaa alikua ana mwita kumlazimisha mwisho wa siku ameona na yeye stori tu.
2014 Shangazi yangu na yeye alipata TB na kuambiwa ana HIV sasa wakati yupo hospital kuna dada mmoja akamwambia kama ataambiwa ana HIV asitumie zile dawa maana hata yeye aliaambiwa hivyo na hakutumia dawa na yuko fresh.akarudi home akasema na Mzee akamwambia afuatishe mfano wa kaka,mpaka leo yupo mzima wa afya na hatumii.
2005 Baba yangu mdogo aligundulika na HIV yeye na wake zake wawili.wakaanza kutumia dawa ilipofika 2006 aliaanza kuugua kuaharisha nk 23 august 2006 akafariki.
Mwaka unaofuata akafuatia mwanawe wa mwisho.
2008 mkewe mkubwa na yeye akaanza kuugua hatimaye akafariki.lakini mke mdogo yupo mpaka leo na anatumia dawa na mzima wa afya.
Nb:nimetoa ushuhuda wangu ili kuangalia huu ugonjwa unavyochanganya lakini kila mmoja kwa nafasi yake inapaswa asipuuze aweke 50/50 kisha afanye uchunguzi ajiridhishe japo kwa upande wangu naamini ukimwi upo ila kuhusu HIV bado kuna mkanganyiko kwangu..maana wanasema kuna mtu mwingime ana kaa hadi miaka 10 ndo anauaguani kitu ambacho hakiingii akilini maana tunaambiwa HIV anaua kinga za mwili na ni hatari sana,sasa kipindi chote hicho mtu awe salama wakati Malaria tu ndani ya wiki unapata habari
Je huu ni ugonjwa mpya? Au ulikwepo ila uligundulika mwaka huo? ,Kabla ya hizo ARVs unakumbuka ukimwi ulimaliza watu wangapi kagera wakati unaingia??Na kama haukua ukimwi ulikua ni ugonjwa gani?
Hujajipanga mkuu, unaenda kumpanga mwenyekiti wako wa mtaa anampa barua anaenda nayo hospital kwamba umesafiri kikazi, anahudumiwa Kama kawaida, watoto wangu wote nafanya hivyo....Tatzo mkuu mkeo akipata mimba tuu huna pa kukwepea lazma muende mkapime!!
Tatizo maprofessor wetu hawasapotiwi mkuu badala yake wanahamia kwenye siasaSijajua hadi sasa watu weusi tunakwama wapi hakyanani
Hujajipanga mkuu, unaenda kumpanga mwenyekiti wako wa mtaa anampa barua anaenda nayo hospital kwamba umesafiri kikazi, anahudumiwa Kama kawaida, watoto wangu wote nafanya hivyo....
mkuu nmepata kitu hapa!!Hujajipanga mkuu, unaenda kumpanga mwenyekiti wako wa mtaa anampa barua anaenda nayo hospital kwamba umesafiri kikazi, anahudumiwa Kama kawaida, watoto wangu wote nafanya hivyo....