Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Status
Not open for further replies.
Hope alifanyiwa kama dr. Sebi
Wazungu syo watu wazur
Nilisikitika sana Sebi alivodead, na aliplan kuvisit Tanzania katika interview yake ya mwisho alimtaja sana jk mpaka nikahisi Matibabu yake ya tezi dume possibly aliyafanya kwa Dr Sebi....
Anyway legacy yake bado ipo.
Nimewahi jaribu one of his therapies, it works effectively.
 
Mkuu hii mada ya VVU ni pana kuliko baadhi ya members wanavyoichukulia. Inataka utulivu wa akili na tafakuri ya kina ili mtu aruhusu jambo jipya liingie kwenye ufahamu wake tofauti na alivyoaminishwa miaka na miaka.

Iko mada ilipandishwa toka mwaka 2013 moja ya wachangiaji maridadi kabisa ni bwana deception. Kwenye mada hiyo kuna mengi ya kujifunza kuhusu VVU, endapo mtu atapata muda apitie link hapo chini. Apate mambo mapya.

Inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Huyu deception alinifungua mambo mengi sana
 
Kumbuka ARV zimekuja majuzi tu, zaman hapo tulipoteza watu weng na walikufa kwa mateso meng ikiwa ni pamoja na kukonda sana

Tuambie nn kilikuwa kinawaua haraka vile
ARV hazijaja juzi.Fuatilia kwa makini.Kuna link imetumwa juu hapo kuna mengi unaweza jifunza
 
Naona hapa ujitafakari maana ingekuwa ni rahis kama unavosema basi watu wasingekufa..
Ni hv, lazima kuna kitu kimejificha, juu ya ukimwi ila labda hatukijui. Ila kusema utibu ukimwi kwa kutibu magonjwa mengine yanayoambatana.. Sizan kama ni sawa maana kama, ni hvyo bas watu wasingekufa.
Tambua wapo na walikuwepo matajir wenye uwezo wa kutibiwa, na, kula vzur ila, mda, ulipofika walikufa
Mkuu. Hakuna MTU aliiyekufa kwa UKIMWI, hata wao wenyewe wanaoneza propaganda za HIV/AIDS wanasema kabisa haiui ila mtu anakufa kwa magonjwa nyemelezi. Kwa hiyo kila mgonjwa wa hi wanayosema HIV/AIDS anakufa kwa ugonjwa Fulani ambao unajulikana. Inawezekana ikawa malaria, TB au mengineyo.
 
Halafu PEP ni uongo mwingine. Ingekuwa ni kweli inazuia watu wasipate HIV basi kila MTU anayejihisi ameambukizwa ukimwi angeenda kuoewa PEP ili apone. Waliona madaktari wengi wanajivhoma na hizo sindano halafu hawapati hizo HIV Sasa ili kuficha hayo wakaamua kuanzisha PEP ili ioneka wamejichoma lakini hawakupata maambukizi kwa sababu wametumia PEP
 
1.Ukimwi hauambukizwi
2.Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono
3.HIV hawezi kusababisha ukimwi na hasababishi ukimwi kwa kuwa hana sifa ya kusababisha ukimwi.Nashauri tujitahidi kwenda nje ya mainstream kutafuta habari,mambo mengi tunayoyafahamu kwenye dunia hii hayapo kama tunavyoyaona au kuyasikia,na mambo yamewekwa hivyo kwa sababu maalum kabisa.Anayesikia haya kwa mara ya kwanza atadharau au kufunga milango yake ya fahamu,kufunga milango ya fahamu hakubadilishi ukweli kuwa uongo,ukweli utabaki palepale.
Ukielewa ukweli kuhusu jambo hili utakubaliana na mimi kwamba mtu yeyote anayeogopa HIV ni sawa na kuogopa kivuli chake mwenyewe.Kama una swali lolote ambalo unadhani lina utata kuwa huru kuuliza.Nimetimiza wajibu wangu kutoa dokezo,kama mtu ana dukuduku/swali awe huru kuniuliza.

Hebu gusa link hapo chini kwa kuanzia;

Mdau..nifafanulie...kilichokuwa kinawamaliza wahaya miaka ile ya 88 hadi 95 ilikuwaga ni nn vile?!
 
Mwaka 2002/3....ulimwengu mzima uliambiwa na kuamini kwamba Marehem Sadam alikuwa na silaha za maangamizi na kwamba ni hatari kwa dunia. Miaka kadhaa baadae baada ya kuivuruga Iraq tukaja kuambiwa samah Sadam hakuwa WMD.

Moral of the story....dunia ya leo uwongo unanguvu kubwa sana...na ukijaribu kusema ukweli unaonekana mwendawazimu.

Binafsi naamini ukimwi/HIV ni nyoka mwenye makengeza. Someone is making alot of money out of it....
 
Halafu PEP ni uongo mwingine. Ingekuwa ni kweli inazuia watu wasipate HIV basi kila MTU anayejihisi ameambukizwa ukimwi angeenda kuoewa PEP ili apone. Waliona madaktari wengi wanajivhoma na hizo sindano halafu hawapati hizo HIV Sasa ili kuficha hayo wakaamua kuanzisha PEP ili ioneka wamejichoma lakini hawakupata maambukizi kwa sababu wametumia PEP
Na kama ndio hivo,waseme tu ukitumia PEP bas hupat ukimwi
 
HIV/AIDS au VVU/UKIMWI hauambukizwi kwa njia ya ngono/sex na HIV hasababishi ukimwi.Jitahidini kidogo ku stretch uwezo wenu,elimu ipo lakini mnairuka kwa makusudi.

HIV/AIDS is a mindset disease.Sijui kama nitaeleweka kwa kusema hivi.Yaani ugonjwa huu haupo kiuhalisia,kinachoua si HIV bali kinachoua ni ARVs kwa wale wanaozitumia.Hata kama mtu hatumii ARVs na amedhoofika wewe mpime tu utagundua kwamba lazima awe na ugonjwa fulani unaofahamika,aidha TB,Pneumonia,Cancer nk.

Watu wanadhani mimi nimekurupuka kwa siku moja tu na kuja kuandika yote haya,la hasha nimefuatilia na kufanya tafiti ya mambo haya kwa zaidi ya miaka 5.Watu wanachukulia kirahisi sana,hawagundui hata kwa nini mimi ninawaeleza haya,hawagundui hata kidogo upendo huu ninaouonesha kwao.
Nimekuelewa sanaa mkuu bigup kwako[emoji109]
 
Hivyo kwa lugha nyepesi ni VVU hakuna.!

Ila UKIMWI upo.! Yaani unaweza patikana kwa mtu mwenye matatizo ya kiafya ikiwemo magonjwa na lishe.!

Ngumu kumeza_ ila kwenye asilimia hii hoja kwangu imechukua 75% na zilizobaki ni kwenye ile ya kumezeshwa.

Na nikienda kuhakiki kwa mtu mmoja ninayemfahamu kwa karibu akinihakikishia kuwa wanachowapima watu ni antbody na kirusi hakipo

Izo 25% nafuta kabisa.Na nakuwa balozi wa kutangaza HIV hakuna chini chini
Hahahahh we ninja umeniacha hoi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom