Huyu ndiye Dr. Ngozi wa West Africa (Nigeria), anayepambana na Amina Mohammed toka Afrika Mashariki (Kenya)

Huyu ndiye Dr. Ngozi wa West Africa (Nigeria), anayepambana na Amina Mohammed toka Afrika Mashariki (Kenya)

WTO ni kwa wenye akili si kwa Wapumbavu kama nyie mnasaini MOU ya upimaji wa madereva kwa nchi husika halafu ghafla mnajeuka. Forget about support from Tanzania n the EAC in general.
Nyie ni wasaliti kutoka kitambo. Hamna jipya.
 
Hahahaha, Hahahaha. Tujipe moyo lakini sidhani kama Amina anamfikia Ngozi hata kwa 20%
Ukiapply kazi, una advantage kubwa kama umewahi kufanya kazi katika sector husika hata kama una degree tu. Mtu mwingine akija na Phd lakini katika area tofauti atafukuzwa kwa sababu hana uzoefu unaohitajika. Experience ni muhimu kushinda certificate
 
I see Amina is qualified zaidi kwa sababu mbili. Moja experience yake na WTO na UNEP at a global level. Pili she is a diplomat a skill you will always need kwenye top world organisations.

Kama ingekuwa ni Mimi nachagua ningemchagua Amina. Na for now position ya US over Nigerians is constrained na Uhusiano hafifu kati ya Treasury Secretary na AfDB President.

Naona Amina akichukua kiti kilaini.
 
Amina Mohammed alikuwa boss huko WTO. Anajuana na kila mtu huko. Makanyamba ni huyu mama mwizi wa Nigeria. Ana scandal kubwa huko Nigeria
Amina hana ubavu kwa Ngozi, kuwalinganisha ni kosa kama kupambanisha heavy weight na feather weight.
 
I see Amina is qualified zaidi kwa sababu mbili. Moja experience yake na WTO na UNEP at a global level. Pili she is a diplomat a skill you will always need kwenye top world organisations.

Kama ingekuwa ni Mimi nachagua ningemchagua Amina. Na for now position ya US over Nigerians is constrained na Uhusiano hafifu kati ya Treasury Secretary na AfDB President.

Naona Amina akichukua kiti kilaini.
Kwa hio unataka Amina apewe kwa upendeleo bila merits...?
 
Asante kwa kuwa mkweli. Geza Ulole wivu haitakusaidia. Amina alikuwa tayari mkubwa sana huko WTO. Hebu kasome CV yake.

Mtani wako Geza Ashakuja hapa hahahaaa

Ila I wish huyu mama Amina angekua anagombea wakati wa Jakaya😀😀. Haya ndo mambo mkwere alikua anaweza kusimamia mwanzo mwisho. Tunammiss sana

Kwasasahivi hata hio leverage ya kuweza kuswing haya mambo ya nani awe nani hata kutoa msaada na kupepelea moto sio ishu zetu.

Tuko bize na “Mambo ya ndani” kwanza
 
Amina Mohammed alikuwa boss huko WTO. Anajuana na kila mtu huko. Makanyamba ni huyu mama mwizi wa Nigeria. Ana scandal kubwa huko Nigeria
Sasa kwa Kenya ukiwa mwizi ndiyo unatambuliwa rasmi kuwa ni "muheshimiwa" ni CV kuu kuliko zote nchini Kenya inayo pewa heshima iliyo tukuka
CV ya wizi
 
Mwenzako ameshakuelezea Amina ana more merits kushinda Ngozi wa Nigeria. Ama pengine hujui neno merit ina maana gani.
Kwahiyo kufanya kazi Ikulu ni sifa moja wapo ya kuwa rais?
 
Back
Top Bottom