Huyu ndiye FIRAUNI/FARAO na maajabu ya maiti yake kutokuoza

Hivi hawa waandishi hizi habari huwa mnashindwa kuwahoji ? Hapa nakuuliza wewe swali, mnao ushahidi ya kuwa mwili huo ni wa huyo mnaemzungumzia ?
 
Mbona hamtupi ushahidi ya kuwa huyo ndiyo Remesses II mwenyewe, kinyume chake mnatupigia stori tu.
 
Hadithi za abunuwasi tu
 
Wewe leta uthibitisho Firauni hakuwa muislamu?
 
Kwanini Timu ya Misri wanajiita Mafirauni?
 
Hiyo picha siyo ya Pharao Rameses.. linganisha na hii hapa.. hiyo uliyoweka ni ya albino. Rejea jinsi maalbino walivyokuwa na hila kutaka wao ndo wafahamike kama mafarao.. wakati walikuwa tu vikaragosi enzi za Khemet..

View attachment 1170990
Historia yako ya uongo wakati wa zama za kale watu waliishi miaka mingi sana we unatuambia alikufa na miaka themanini Yan mzee sana acha uongo wakat huo ni kijana tu
 
Historia yako ya uongo wakati wa zama za kale watu waliishi miaka mingi sana we unatuambia alikufa na miaka themanini Yan mzee sana acha uongo wakat huo ni kijana tu
Soma vizuri uelewe dogo.. acha kukurupuka
 
Kuna kitabu kimeandikwa kushoto kulia mwanzo hakijulikani wala katikati story haijulikani imeanzia wapi wala mwisho, kitabu kinamlaani farao kwa kutesa Taifa la Mungu israel lakini kitabu hichohicho wafuasi wake wanawaona waisrael kama mahetani. Hata hivyo huyo mumiani hakuwa hivyo kwa ajili ya laana bali wa misri walikuwa na madawa ya asili ya kuhifadhi miili wa watawala wao.ushahidi kila siku unapatikana kwenye makaburi ya wafalme wa kale
 
Jama jama warumi hadi huku umoo ?

Tumesha zoea zile mada kama family ya drama Bi sandra na wanawe
 

Chief naomba nielimishe zaidi; Kwahiyo kwa mujibu wa hiyo aya ni kwamba hakufa bali aliokolewa? Na kama ndivyo then possibility ya yeye kuishi mpaka utu uzima ipo? Lakini swali kuu ni; mwili halisi (the original body) yake ni ipi na iko wapi?
 
Aliye simulia Apo si Allah mwenyewe,hakuna kinachojificha kwa Allah,kiwe Cha Siri Wala dhahili

Sent from my Infinix X5516B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…