Huyu ndiye FIRAUNI/FARAO na maajabu ya maiti yake kutokuoza

Huyu ndiye FIRAUNI/FARAO na maajabu ya maiti yake kutokuoza

Prof Maurice Bucaille ambaye umemtaja hapo aliuona ukuu wa Mungu na akathibitisha ule ni mwili wa Firauni aliyetajwa katika vitabu vitakatifu. Prof. huyo baadaye alisilimu na kuwa Muislamu safi.
 
Alikuwa akijiita Mungu. Logic ipo simple tu.Allah aliuokoa mwili wake ili watu waje kuuona na kusadikisha kuwa hakuwa Mungu kwani amekufa. Kumbuka kuna watu walikuwa wakimuabudu.
Huu upupu hua mnafundishwa Wapi nyie watu?
Hiyo ni Mumification ya accient civilization Hiyo ni Moja ya Teknolojia kati ya Teknolojia za Hali ya juu hapo kale kumbuka Wamisri walipewa ustaarabu wa high advanced technology na Sirians wa kale waliopata kutembelea Dunia

Sirian au Star child ni Moja ya Aliens walioanzisha ustaarabu Misri na Meso America pia Hawa walikua ni time traveler Toka kale wakiutembelea Ulimwengu wote na kueneza ustaarabu wa Orion's

Au utaweza waita child from Sirius Planets,child of true love,time traveler to Galactic civilizations!

Someni mpate maarifa!
 
NIMEFANYA uamuzi wa kuandika makala hii baada ya hivi karibuni kuwa na mada juu ya Mfalme wa Misri ya kale (Pharaoh), aliyefahamika kwa jina la Ramesses II. Katika mada hiyo iliyojipambanua katika mfumo wa maswali na majibu, nilikutana na maswali mengi yenye utata hasa katika dhana za kidini katika imani za Kiislamu, Ukristo na Kiyahudi.

Mivutano ilikuwa ni mipana sana juu ya mada hiyo nikaona ni vyema kueleza hilo kwa upana hasa katika mitazamo ya kihistoria.

Hivyo nimeona angalau kwa uchache wake tufahamu nadharia hii ya wanakale (anthologist), juu ya dhana yao ambayo kimsingi hupishana na mafundisho ya kiimani. Ni vyema tukajifunza pia.
Mnayemuita Firauni yani yule kiongozi wa Misri ya kale aliyeishi zama moja na Mussa anayetajwa katika Bibilia na Quran, alikuwa mtu wa asili ya Afrika.

Alikuwa ni mweusi tii! Jina lake aliitwa Mkuu Ramesses wa II (Great Ramesses) au Sese. Nimekuwa nikiona habari kutoka kwa watu kuwa mwili wa Ramesses ll huwa ukizikwa unarudi juu kesho yake, jambo hili limekuwa likipingwa vikali na wanasayansi na wanahistoria wa mambo ya kale ya Misri.
Kimsingi wanakale wamekuwa wakidai kuwa jambo hilo ni propaganda na uvumi tu usio na ukweli wowote mmoja wa wasomi ni Prof Maurice, amekuwa akieleza mara kadhaa juu ya upembuzi wa usanifu juu ya maisha ya mapharaoh hao wa Misri juu ya historia zao na jinsi walivyohifadhiwa kwa teknolojia za kale.

Labda sasa turudi kwenye mada yetu ya leo juu ya Great Ramesses ll kuwa alizikwaje? Kimsingi huyu Pharaoh mwanzo alizikwa kwenye kaburi lilopewa jina la KV7 katika Bonde la Wafalme, lakini kwa sababu ya uporaji wa vitu vya thamani alivyokuwa amevishwa, makuhani walihamisha mwili kutoka eneo hilo na kuupeleka ndani ya kaburi la malkia Inhapy.

Miaka mingi baadaye waliuhamishia tena mwili kwenye kaburi la kuhani mkuu Pinudjem II. Yote hii ni sababu ya kumbukumbu katika Hieroglyphics. Kutokana na matetemeko yaliyoikumba Jiji la Giza miaka kati ya miaka 1000 AD hadi 1500 AD, vitu vingi vilipotea huku baadhi ya masanamu mengi yakiharibiwa vibaya na matetemeko hayo na baadhi ya makaburi, majumba na makumbusho mengine kupotea kabisa. Huku mwili wa Great Ramesses ll nao ukipotea katika matetemeko hayo. Hapa sasa ndio mkanganyiko unapoanza sasa.

Mwanzoni mwa miaka ya 1800, mwili huu ulipatikana tena pembezoni kidogo mwa bahari ya Red sea. Hapa sasa Prof Maurice anadai kuwa Ramesses ll, hakufa kwenye Gharika la Mussa kama watu wanavyodai, mwili wake hadi sasa unathibitisha kuwa alikufa akiwa mzee, zaidi ya miaka 80 kwa maradhi ya kawaida. Pia si mwili wa Ramesses ll tu uliopo kwenye makumbusho ya Misri pale mjini Cairo, ni miili mingi ya Mapharao tofauti na baadhi ya watu walioishi kwenye Egypt ya kale.

Historia yake kwa ufupi
Ramesses II, au kwa jina jingine Sese alikuwa ni mfalme wa pili wa uzao wa 19 wa familia ya kifalme (19TH dynasty). Alikuja kuwa miongoni mwa mapharao wenye nguvu kuwahi kuwepo Misri, ndio yeye aliyeifanya Misri kuwa dola kuu na Serikali kuu yenye nguvu (the world Super- Omnipotence) katika dunia ya zama hizo katika miaka ya 1269 BC. Ramesses II alipewa kiti cha ufalme mapema kwenye umri wa miaka 20 na akaongoza (kati ya mwaka 1279 BC) hadi alipofariki miaka 67 baadaye (1213 BC) kwa maradhi ya mishipa na ini. Aliongoza Misri kwa miaka 67 akiwa ni wa pili kuongoza kwa kipindi kirefu zaidi katika historia ya mapharao.

Mbali na vita, Ramses II anakumbukwa katika juhudi za utunzaji wa historia ya Misri katika mahekalu ya Ramesseum pamoja na Abu Simbel.

Kwa kumbukumbu nyingi muhimu zilizomo katika mahekalu haya kama sanamu, zana za kale, michoro na maandishi zinamfanya Ramsess kuwa mmoja wa mapharao muhimu wa Misri ya kale. Jeshi la Rammeses lilisaidia kulinda mipaka ya Misri kutoka kwa wavamizi na majambazi katika Meditrenian na Libya pia kutoka Hittites na Nubians. Pia alifanya kampeni za kurudisha ardhi iliyokuwa imeporwa na wavamizi kwa kusaini mikataba ya amani kabla ya kutumia nguvu kuwapiga.

Katika historia Ramesses alishindwa vita moja tu. Vita inayokumbukwa sana ni ile iliyofanyika Kadesh (Syria) ambayo ilifanyika mwaka 1274 BC dhidi Wahiti. Ilikuwa ni vita kubwa iliyotumia zana za kisasa zaidi wakati huo katika historia ya vita za kale. Rameses alifanya makosa kwa kugawa vibaya vikosi vyake kitu kilichofanya moja ya kikosi kufyekwa chote! Hatimaye mpinzani akajitangazia ushindi na Ramesses ikampasa arudi nyuma sababu ya kujiandaa kubaya na matatizo ya vifaa.

Dhana iliyozushwa juu ya kifo chake (kwa mujibu wa Prof Maurice), vitabu kadhaa vya dini kama vile Biblia na Quran vimekuwa vikizungumzia kifo chake katika hali ya kushangaza. Wao hudai kuwa Ramesses au Sese alifia kwenye maji wakati akiwafukuza Waisrael.

Wamisri wa kale wakipinga kabisa madai hayo na kudai Sese alifariki akiwa na miaka zaidi ya 87 kutokana na maradhi ya kibinadamu. Moja ya ushahidi ni wa mwili wake ambao unaonekana wazi kuwa mtu huyo alifariki akiwa mzee kabisa kwa mujibu wa utafiti wa wanasayansi wa mambo ya kale ulioongozwa na Prof Maurice.

Pia jambo jingine la kujiuliza ni kuwa kina Musa wakati wakimkimbia Ramesses II na kuwa wameshafanikiwa kuvuka bahari huku nyuma waliwezaje kumuona Ramesses katikati ya kikosi cha askari wa Misri akifa maji? Hayo ni mambo yanayowatatiza wengi huku wengine wakienda mbali zaidi kuwa Ramesses mwili wake huwa hautaki kuzikwa.
Huyu ndio Great Ramesses II au Sese mmoja wa mapharao muhimu zaidi Eghypt ya kale na leo katika historia.View attachment 1170766
Kutokuoza kwa maiti ya huyo hayati ni kwa kuwa misri ya wakati huo walikuwa akifanya mummyfication
NIMEFANYA uamuzi wa kuandika makala hii baada ya hivi karibuni kuwa na mada juu ya Mfalme wa Misri ya kale (Pharaoh), aliyefahamika kwa jina la Ramesses II. Katika mada hiyo iliyojipambanua katika mfumo wa maswali na majibu, nilikutana na maswali mengi yenye utata hasa katika dhana za kidini katika imani za Kiislamu, Ukristo na Kiyahudi.

Mivutano ilikuwa ni mipana sana juu ya mada hiyo nikaona ni vyema kueleza hilo kwa upana hasa katika mitazamo ya kihistoria.

Hivyo nimeona angalau kwa uchache wake tufahamu nadharia hii ya wanakale (anthologist), juu ya dhana yao ambayo kimsingi hupishana na mafundisho ya kiimani. Ni vyema tukajifunza pia.
Mnayemuita Firauni yani yule kiongozi wa Misri ya kale aliyeishi zama moja na Mussa anayetajwa katika Bibilia na Quran, alikuwa mtu wa asili ya Afrika.

Alikuwa ni mweusi tii! Jina lake aliitwa Mkuu Ramesses wa II (Great Ramesses) au Sese. Nimekuwa nikiona habari kutoka kwa watu kuwa mwili wa Ramesses ll huwa ukizikwa unarudi juu kesho yake, jambo hili limekuwa likipingwa vikali na wanasayansi na wanahistoria wa mambo ya kale ya Misri.
Kimsingi wanakale wamekuwa wakidai kuwa jambo hilo ni propaganda na uvumi tu usio na ukweli wowote mmoja wa wasomi ni Prof Maurice, amekuwa akieleza mara kadhaa juu ya upembuzi wa usanifu juu ya maisha ya mapharaoh hao wa Misri juu ya historia zao na jinsi walivyohifadhiwa kwa teknolojia za kale.

Labda sasa turudi kwenye mada yetu ya leo juu ya Great Ramesses ll kuwa alizikwaje? Kimsingi huyu Pharaoh mwanzo alizikwa kwenye kaburi lilopewa jina la KV7 katika Bonde la Wafalme, lakini kwa sababu ya uporaji wa vitu vya thamani alivyokuwa amevishwa, makuhani walihamisha mwili kutoka eneo hilo na kuupeleka ndani ya kaburi la malkia Inhapy.

Miaka mingi baadaye waliuhamishia tena mwili kwenye kaburi la kuhani mkuu Pinudjem II. Yote hii ni sababu ya kumbukumbu katika Hieroglyphics. Kutokana na matetemeko yaliyoikumba Jiji la Giza miaka kati ya miaka 1000 AD hadi 1500 AD, vitu vingi vilipotea huku baadhi ya masanamu mengi yakiharibiwa vibaya na matetemeko hayo na baadhi ya makaburi, majumba na makumbusho mengine kupotea kabisa. Huku mwili wa Great Ramesses ll nao ukipotea katika matetemeko hayo. Hapa sasa ndio mkanganyiko unapoanza sasa.

Mwanzoni mwa miaka ya 1800, mwili huu ulipatikana tena pembezoni kidogo mwa bahari ya Red sea. Hapa sasa Prof Maurice anadai kuwa Ramesses ll, hakufa kwenye Gharika la Mussa kama watu wanavyodai, mwili wake hadi sasa unathibitisha kuwa alikufa akiwa mzee, zaidi ya miaka 80 kwa maradhi ya kawaida. Pia si mwili wa Ramesses ll tu uliopo kwenye makumbusho ya Misri pale mjini Cairo, ni miili mingi ya Mapharao tofauti na baadhi ya watu walioishi kwenye Egypt ya kale.

Historia yake kwa ufupi
Ramesses II, au kwa jina jingine Sese alikuwa ni mfalme wa pili wa uzao wa 19 wa familia ya kifalme (19TH dynasty). Alikuja kuwa miongoni mwa mapharao wenye nguvu kuwahi kuwepo Misri, ndio yeye aliyeifanya Misri kuwa dola kuu na Serikali kuu yenye nguvu (the world Super- Omnipotence) katika dunia ya zama hizo katika miaka ya 1269 BC. Ramesses II alipewa kiti cha ufalme mapema kwenye umri wa miaka 20 na akaongoza (kati ya mwaka 1279 BC) hadi alipofariki miaka 67 baadaye (1213 BC) kwa maradhi ya mishipa na ini. Aliongoza Misri kwa miaka 67 akiwa ni wa pili kuongoza kwa kipindi kirefu zaidi katika historia ya mapharao.

Mbali na vita, Ramses II anakumbukwa katika juhudi za utunzaji wa historia ya Misri katika mahekalu ya Ramesseum pamoja na Abu Simbel.

Kwa kumbukumbu nyingi muhimu zilizomo katika mahekalu haya kama sanamu, zana za kale, michoro na maandishi zinamfanya Ramsess kuwa mmoja wa mapharao muhimu wa Misri ya kale. Jeshi la Rammeses lilisaidia kulinda mipaka ya Misri kutoka kwa wavamizi na majambazi katika Meditrenian na Libya pia kutoka Hittites na Nubians. Pia alifanya kampeni za kurudisha ardhi iliyokuwa imeporwa na wavamizi kwa kusaini mikataba ya amani kabla ya kutumia nguvu kuwapiga.

Katika historia Ramesses alishindwa vita moja tu. Vita inayokumbukwa sana ni ile iliyofanyika Kadesh (Syria) ambayo ilifanyika mwaka 1274 BC dhidi Wahiti. Ilikuwa ni vita kubwa iliyotumia zana za kisasa zaidi wakati huo katika historia ya vita za kale. Rameses alifanya makosa kwa kugawa vibaya vikosi vyake kitu kilichofanya moja ya kikosi kufyekwa chote! Hatimaye mpinzani akajitangazia ushindi na Ramesses ikampasa arudi nyuma sababu ya kujiandaa kubaya na matatizo ya vifaa.

Dhana iliyozushwa juu ya kifo chake (kwa mujibu wa Prof Maurice), vitabu kadhaa vya dini kama vile Biblia na Quran vimekuwa vikizungumzia kifo chake katika hali ya kushangaza. Wao hudai kuwa Ramesses au Sese alifia kwenye maji wakati akiwafukuza Waisrael.

Wamisri wa kale wakipinga kabisa madai hayo na kudai Sese alifariki akiwa na miaka zaidi ya 87 kutokana na maradhi ya kibinadamu. Moja ya ushahidi ni wa mwili wake ambao unaonekana wazi kuwa mtu huyo alifariki akiwa mzee kabisa kwa mujibu wa utafiti wa wanasayansi wa mambo ya kale ulioongozwa na Prof Maurice.

Pia jambo jingine la kujiuliza ni kuwa kina Musa wakati wakimkimbia Ramesses II na kuwa wameshafanikiwa kuvuka bahari huku nyuma waliwezaje kumuona Ramesses katikati ya kikosi cha askari wa Misri akifa maji? Hayo ni mambo yanayowatatiza wengi huku wengine wakienda mbali zaidi kuwa Ramesses mwili wake huwa hautaki kuzikwa.
Huyu ndio Great Ramesses II au Sese mmoja wa mapharao muhimu zaidi Eghypt ya kale na leo katika historia.View attachment 1170766
Hayati Ramsesse II hawezi kuoza sababu alifanyiwa mummyfication kwa taratibu za misri ya wakati huo. Hivyo hivyo kwa waliomfuatia kama akina Tuttkahmoon na wengine wengi. Issue ya kuzikwa na kuibuka uliisikia kwenye kijiwe gani cha wacheza draft?
 
Ha
Huu upupu hua mnafundishwa Wapi nyie watu?
Hiyo ni Mumification ya accient civilization Hiyo ni Moja ya Teknolojia kati ya Teknolojia za Hali ya juu hapo kale kumbuka Wamisri walipewa ustaarabu wa high advanced technology na Sirians wa kale waliopata kutembelea Dunia

Sirian au Star child ni Moja ya Aliens walioanzisha ustaarabu Misri na Meso America pia Hawa walikua ni time traveler Toka kale wakiutembelea Ulimwengu wote na kueneza ustaarabu wa Orion's

Au utaweza waita child from Sirius Planets,child of true love,time traveler to Galactic civilizations!

Someni mpate maarifa!
Haya maarifa tunayapata kitabu mkuu nataka nikasome?
 
Ha

Haya maarifa tunayapata kitabu mkuu nataka nikasome?
Hakuna kitabu utakuja kupata maarifa Haya,hakuna scholars wala maprofessor waliosomea ancient civilizations code maana hakuna chuo kinasomesha historia ya high advanced civilizations ya kale na uwepo wa race tofauti na humanoid waliowahi kuishi Duniani hapo kale na kuacha Maajabu makubwa,

Only secret Societies ndio wana maarifa haya na baadhi ya Watu wachache wanaofanya utafiti binafsi,
Vile vile kuna makabila bado yanatuanza kumbukumbu za Haya maarifa kama Dogon,Wahindu wekundu,waperu,Amazonian,Wahindi, Mexican!

Kama unataka maarifa ya mwanzo anza kufuatilia Dogon tribe Wana hints kadhaa!
 
Ha

Haya maarifa tunayapata kitabu mkuu nataka nikasome?

Hakuna kitabu utakuja kupata maarifa Haya,hakuna scholars wala maprofessor waliosomea ancient civilizations code maana hakuna chuo kinasomesha historia ya high advanced civilizations ya kale na uwepo wa race tofauti na humanoid waliowahi kuishi Duniani hapo kale na kuacha Maajabu makubwa,

Only secret Societies ndio wana maarifa haya na baadhi ya Watu wachache wanaofanya utafiti binafsi,
Vile vile kuna makabila bado yanatuanza kumbukumbu za Haya maarifa kama Dogon,Wahindu wekundu,waperu,Amazonian,Wahindi, Mexican!

Kama unataka maarifa ya mwanzo anza kufuatilia Dogon tribe Wana hints kadhaa!
Asante,kwahio itakuwa vigumu wengi kuijua hii elimu kama ni hivyo,wewe upo kwenye secret society au umefanya utafiti binafsi tu?
 
Asante,kwahio itakuwa vigumu wengi kuijua hii elimu kama ni hivyo,wewe upo kwenye secret society au umefanya utafiti binafsi tu?
Hii elimu Huko Ulaya na America imeanza kupamba moto,watu wengi wameanza kujifunza na kwenda field kabisa hasa watafiti binafsi na wanasayansi huru!
 
NIMEFANYA uamuzi wa kuandika makala hii baada ya hivi karibuni kuwa na mada juu ya Mfalme wa Misri ya kale (Pharaoh), aliyefahamika kwa jina la Ramesses II. Katika mada hiyo iliyojipambanua katika mfumo wa maswali na majibu, nilikutana na maswali mengi yenye utata hasa katika dhana za kidini katika imani za Kiislamu, Ukristo na Kiyahudi.

Mivutano ilikuwa ni mipana sana juu ya mada hiyo nikaona ni vyema kueleza hilo kwa upana hasa katika mitazamo ya kihistoria.

Hivyo nimeona angalau kwa uchache wake tufahamu nadharia hii ya wanakale (anthologist), juu ya dhana yao ambayo kimsingi hupishana na mafundisho ya kiimani. Ni vyema tukajifunza pia.
Mnayemuita Firauni yani yule kiongozi wa Misri ya kale aliyeishi zama moja na Mussa anayetajwa katika Bibilia na Quran, alikuwa mtu wa asili ya Afrika.

Alikuwa ni mweusi tii! Jina lake aliitwa Mkuu Ramesses wa II (Great Ramesses) au Sese. Nimekuwa nikiona habari kutoka kwa watu kuwa mwili wa Ramesses ll huwa ukizikwa unarudi juu kesho yake, jambo hili limekuwa likipingwa vikali na wanasayansi na wanahistoria wa mambo ya kale ya Misri.
Kimsingi wanakale wamekuwa wakidai kuwa jambo hilo ni propaganda na uvumi tu usio na ukweli wowote mmoja wa wasomi ni Prof Maurice, amekuwa akieleza mara kadhaa juu ya upembuzi wa usanifu juu ya maisha ya mapharaoh hao wa Misri juu ya historia zao na jinsi walivyohifadhiwa kwa teknolojia za kale.

Labda sasa turudi kwenye mada yetu ya leo juu ya Great Ramesses ll kuwa alizikwaje? Kimsingi huyu Pharaoh mwanzo alizikwa kwenye kaburi lilopewa jina la KV7 katika Bonde la Wafalme, lakini kwa sababu ya uporaji wa vitu vya thamani alivyokuwa amevishwa, makuhani walihamisha mwili kutoka eneo hilo na kuupeleka ndani ya kaburi la malkia Inhapy.

Miaka mingi baadaye waliuhamishia tena mwili kwenye kaburi la kuhani mkuu Pinudjem II. Yote hii ni sababu ya kumbukumbu katika Hieroglyphics. Kutokana na matetemeko yaliyoikumba Jiji la Giza miaka kati ya miaka 1000 AD hadi 1500 AD, vitu vingi vilipotea huku baadhi ya masanamu mengi yakiharibiwa vibaya na matetemeko hayo na baadhi ya makaburi, majumba na makumbusho mengine kupotea kabisa. Huku mwili wa Great Ramesses ll nao ukipotea katika matetemeko hayo. Hapa sasa ndio mkanganyiko unapoanza sasa.

Mwanzoni mwa miaka ya 1800, mwili huu ulipatikana tena pembezoni kidogo mwa bahari ya Red sea. Hapa sasa Prof Maurice anadai kuwa Ramesses ll, hakufa kwenye Gharika la Mussa kama watu wanavyodai, mwili wake hadi sasa unathibitisha kuwa alikufa akiwa mzee, zaidi ya miaka 80 kwa maradhi ya kawaida. Pia si mwili wa Ramesses ll tu uliopo kwenye makumbusho ya Misri pale mjini Cairo, ni miili mingi ya Mapharao tofauti na baadhi ya watu walioishi kwenye Egypt ya kale.

Historia yake kwa ufupi
Ramesses II, au kwa jina jingine Sese alikuwa ni mfalme wa pili wa uzao wa 19 wa familia ya kifalme (19TH dynasty). Alikuja kuwa miongoni mwa mapharao wenye nguvu kuwahi kuwepo Misri, ndio yeye aliyeifanya Misri kuwa dola kuu na Serikali kuu yenye nguvu (the world Super- Omnipotence) katika dunia ya zama hizo katika miaka ya 1269 BC. Ramesses II alipewa kiti cha ufalme mapema kwenye umri wa miaka 20 na akaongoza (kati ya mwaka 1279 BC) hadi alipofariki miaka 67 baadaye (1213 BC) kwa maradhi ya mishipa na ini. Aliongoza Misri kwa miaka 67 akiwa ni wa pili kuongoza kwa kipindi kirefu zaidi katika historia ya mapharao.

Mbali na vita, Ramses II anakumbukwa katika juhudi za utunzaji wa historia ya Misri katika mahekalu ya Ramesseum pamoja na Abu Simbel.

Kwa kumbukumbu nyingi muhimu zilizomo katika mahekalu haya kama sanamu, zana za kale, michoro na maandishi zinamfanya Ramsess kuwa mmoja wa mapharao muhimu wa Misri ya kale. Jeshi la Rammeses lilisaidia kulinda mipaka ya Misri kutoka kwa wavamizi na majambazi katika Meditrenian na Libya pia kutoka Hittites na Nubians. Pia alifanya kampeni za kurudisha ardhi iliyokuwa imeporwa na wavamizi kwa kusaini mikataba ya amani kabla ya kutumia nguvu kuwapiga.

Katika historia Ramesses alishindwa vita moja tu. Vita inayokumbukwa sana ni ile iliyofanyika Kadesh (Syria) ambayo ilifanyika mwaka 1274 BC dhidi Wahiti. Ilikuwa ni vita kubwa iliyotumia zana za kisasa zaidi wakati huo katika historia ya vita za kale. Rameses alifanya makosa kwa kugawa vibaya vikosi vyake kitu kilichofanya moja ya kikosi kufyekwa chote! Hatimaye mpinzani akajitangazia ushindi na Ramesses ikampasa arudi nyuma sababu ya kujiandaa kubaya na matatizo ya vifaa.

Dhana iliyozushwa juu ya kifo chake (kwa mujibu wa Prof Maurice), vitabu kadhaa vya dini kama vile Biblia na Quran vimekuwa vikizungumzia kifo chake katika hali ya kushangaza. Wao hudai kuwa Ramesses au Sese alifia kwenye maji wakati akiwafukuza Waisrael.

Wamisri wa kale wakipinga kabisa madai hayo na kudai Sese alifariki akiwa na miaka zaidi ya 87 kutokana na maradhi ya kibinadamu. Moja ya ushahidi ni wa mwili wake ambao unaonekana wazi kuwa mtu huyo alifariki akiwa mzee kabisa kwa mujibu wa utafiti wa wanasayansi wa mambo ya kale ulioongozwa na Prof Maurice.

Pia jambo jingine la kujiuliza ni kuwa kina Musa wakati wakimkimbia Ramesses II na kuwa wameshafanikiwa kuvuka bahari huku nyuma waliwezaje kumuona Ramesses katikati ya kikosi cha askari wa Misri akifa maji? Hayo ni mambo yanayowatatiza wengi huku wengine wakienda mbali zaidi kuwa Ramesses mwili wake huwa hautaki kuzikwa.
Huyu ndio Great Ramesses II au Sese mmoja wa mapharao muhimu zaidi Eghypt ya kale na leo katika historia.View attachment 1170766
Ukidai alikuwa mweusi tii, hizo nywele pamoja na mfumo wa pua zinapingana na dhana yako.
 
Mbona hamtupi ushahidi wa kuwa huyo ndiyo Remesses II mwenyewe, kinyume chake mnatupigia stori tu.
Ushahidi wa nini, hizo picha, wanafanisha tu, Dunia ya wakati huo camera haikuwepo, enzi hizo maendeleo kuchora, ilikua anaeweza kuchora picha ya mtu kwa kumfanisha, basi hayo yalikua maendeleo makubwa sana.
 
Aya hapo kwangu kuwa alikufa na uliokolewa ni mwili ambao tayari hauna roho, ndiyo maana aya ikasema "mwili". Wanao zungumziwa hapo ni wale waliofata ambao walikuwa ishara kwao ili iwe funzo kwao na si kwetu sisi. Kuanzia hakuna mwenye ushahidi wa mwili kwamba huu ni wa Firauni, na ndiyo maana tunasema hakuna mwili wa Firauni sababu hakuna ithibati hiyo.
Angekua ameungua angepoteza kutambulika, ila kufa maji watu wanatambulika vizuri tu.
 
Kwenye maelezo Yako umesema mwamba alikuwa mweusi tii....
Lakini mbona picha yake yaonekana kama mweupe....??? Kama unachanganya hivii....
 
Musa alikuwa myahudi wa dini ya kiyahudi. Alilelewa na farao muislam.kasome quraan usisumbue watu.

Quran unayosema akasome.. inasema Mtume Muhammad ndio muislamu wa kwanza.

Muhammad aliambiwa na Allah asema: -
Quran 39: 12 Suratul Zumar (Makundi / Vikosi)
"Na pia nimeamrishwa niwe wa kwanza wa (viumbe) wanaojisalimisha (kwa mwenyezi Mungu)"

Pia Quran 6: 163 inasema kuwa mtume Muhammad ndie Muislam wa kwanza.

Huku Musa ameishi miaka zaidi ya 2000 kabla ya Muhammad hajazaliwa na Quran haijashuka...

sasa hizo nguzo tano za uislamu Musa alikuwa anazifanyaje ? Kwenye kusali Musa alikuwa anatazama Kibra gani ?
 
Back
Top Bottom