Worrior of God
Member
- Jul 2, 2016
- 69
- 109
Jamiikaikomboa mitaa ipi?
hakuna kitu hapo.Jamii
Hayahakuna kitu hapo.
We mtoto hebu nenda shule ukajifunze kuandika kwanza!!!Nje ya mada
Hivi hao wanaacha kaxi zao za kuwapatia kipato wanaamua kuwa ustafhi swala tank..HIVI KIMAISHA WANAJIMUDU VIPI?? AU HUKO SWALA ANO WANALIPA
MAANA NILIMSHANGAA NAE SUMA LEE ILA SIKUWA JIBU
ANAE JUA ANISAIDIE
Na hii ndio shida ya kuishi alikoolewa dada!Nje ya mada
Hivi hao wanaacha kaxi zao za kuwapatia kipato wanaamua kuwa ustafhi swala tank..HIVI KIMAISHA WANAJIMUDU VIPI?? AU HUKO SWALA ANO WANALIPA
MAANA NILIMSHANGAA NAE SUMA LEE ILA SIKUWA JIBU
ANAE JUA ANISAIDIE
Sijakuelewa mkuuNa hii ndio shida ya kuishi alikoolewa dada!
Haina haja ya kupata wakati mgumu. Hao uwezo wao si Mkubwa, walibahatisha tuHawa Jamaa wanaofanya ngoma chache halafu wanapotea wanatupa wakati mgumu sana kujua Ubora wao..
Hashim Dogo na huyu Roho 7 wanaleta ukakasi sana Japo kwa ngoma walizotoa wako njema mnooo
wakawaida sanaWadau vipi Roho saba?
Ya songa,Afande atabaki kua Sele ila mfalme ni Hasheem dogo....
Sikumbuki ni line ya nani ilikua inasond hivyo
Acha kudanganya watu Hiyo line ya songa Iko ktk ngoma inaitwa let it be huko ndan wapo tamaduni wotekweny umiza ndonga yupo songa na nikki na p the mc
Roho 7 n mc wa kawaida sana ,watu wengi wanapenda beats za ngoma zake Ila kiuwezo na mfananisha na kina staminaHawa Jamaa wanaofanya ngoma chache halafu wanapotea wanatupa wakati mgumu sana kujua Ubora wao..
Hashim Dogo na huyu Roho 7 wanaleta ukakasi sana Japo kwa ngoma walizotoa wako njema mnooo
Aminia manYa songa,