Huyu Ndiye kiongozi niliyemkubali kuliko wote ktk utawala wa hayati Magufuli

Huyu Ndiye kiongozi niliyemkubali kuliko wote ktk utawala wa hayati Magufuli

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Simjui Jina ila nakumbuka alikuwa Engineer na mkuu wa mkoa Geita, mfuasi wa jamaa mmoja tajiri na mchungaji Nigeria, Mzee Oyadepo wa winners chapel nadhani.

Jamaa alikuwa anaongea mambo ya kitaalam Kwa nguvu nyepesi Sana.

Nikiwa kwenye Bajaji na jamaa wawili waliokuwepo Geita enzi za huyo Mwamba, wanasema ameibadili Sana Geita. Wakatoa mifano mingi.

Wanaomfahamu Zaidi mnaweza kukuweka hapa details zake ingawa nasikia Yuko benchi Sasa amepishishwa ili Wengine nao watumike.

Ila Mimi aliwahi kunifanya niangalie TBC saa nzima. Siku alikuwa na kipindi anaelezea mikakati ya maendeleo mkoani mwake.
 
Simjui Jina ila nakumbuka alikuwa Engineer na mkuu wa mkoa Geita, mfuasi wa jamaa mmoja tajiri na mchungaji Nigeria, Mzee Oyadepo wa winners chapel nadhani.

Jamaa alikuwa anaongea mambo ya kitaalam Kwa nguvu nyepesi Sana.

Nikiwa kwenye Bajaji na jamaa wawili waliokuwepo Geita enzi za huyo Mwamba, wanasema ameibadili Sana Geita. Wakatoa mifano mingi.

Wanaomfahamu Zaidi mnaweza kukuweka hapa details zake ingawa nasikia Yuko benchi Sasa ameishishwa ili Wengine nao watumike.

Ila Mimi aliwahi kunifanya niangalie TBC saa nzima. Siku alikuwa na kipindi anaelezea mikakati ya maendeleo mkoani mwake.
Engineer Robert Gabriel!
 
Back
Top Bottom