Tea Party
JF-Expert Member
- Oct 5, 2019
- 658
- 1,133
HUYU NDIYE LEE BYUNG HUN
Kama umeangalia IRIS kipindi kile inaoneshwa ITV basi huyu jamaa utakuwa unamfahamu.
Kwenye IRIS alitumia jina la Kim Hyeonjun agent wa South Korea aliyesalitiwa na nchi yake baada ya kwenda kwenye mission ya hatari huko Budapest Hungary.
Pia kama umeangalia MR SUNSHINE pia utakuwa umemuona humo. Hivi hapa ni vitu kumi kutoka kwake ambavyo pengine utakuwa huvifahamu.
1. Cha kwanza kabisa ni kwamba mpaka sasa ana miaka 50. Pamoja na kwamba anaonekana mdogo lakini amezaliwa 1970 huko Gwangju, Gyeonggi Korea ya Kusini.
2. Kama ilivyo kwa waigizaji kutokea Korea Lee Byung Hun ni msomi alipata degree ya French Literature pale HANYANG UNIVERSITY. Akapumzika kidogo.
Baadae alingia CHUNG ANG UNIVERSITY na huko akasomea Theater and Cinematography.
3. Wakati anaigiza IRIS Byung Hun alikuwa analipwa Usd 90,000 kwa episode moja. Ikumbukwe pia kwamba IRIS ilikuwa na episodes 16.
Hivyo Byung Hun alilipwa zaidi ya dollar Million 1 alipokuwa anaigiza IRIS.
4. Lee Byung Hun ni mume wa mtu. Amemuoa muigizaji mwenzie aitwaye Lee Min Jung (aliigiza kwenye Once Again) mwaka August 10 mwaka 2013.
Harusi hiyo ilifanyika pale Grand Hyatt Hotel Seoul.
5. Mwaka 2009 aliingia kwenye soko la filamu la nchini marekani baada ya yeye kuigiza kama STORM SHADOW kwenye movie ya GI JOE : THE RISE OF COBRA.
Movie hii ilimpa umaarufu mkubwa sana huko nchi korea na kupelekea watu wegi kutokea nchini Marekani wamfahamu.
6.Lee Byung Hun ana uwezo wa kuongea Kiingereza, Kifaransa, Kichina na Kikorea.
7. Byung pia ana kampuni iitwayo BH ENTERTAINMENT ambayo juzi juzi tu hapa iliingia mkataba na KAKAO H ilikuikuza kampuni hiyo.
BH imewasain waigizaji kama Kim Go Eun, Kim Yong Ji, Lee Jin Wook na Han Ga In.
8.Lee Byung Hun ni mojawapo kati ya wasanii wachache kutokea nchini Korea ambao wameshinda tuzo zote za heshima kubwa sana nchini Korea.
Tuzo hizo ni BAEKSANG ART AWARDS, BLUE DRAGON AWARDS pamoja na GRAND BELL AWARDS. .
9. Ukiachana na series pia Lee Byung Hun ameigiza movie mbalimbali kama ASHFALL, FORTRESS na THE MAN STANDING NEXT.
10. Mwisho kabisa Lee ana uzito wa 72 Kg.
Uzi tayari!
Kama umeangalia IRIS kipindi kile inaoneshwa ITV basi huyu jamaa utakuwa unamfahamu.
Kwenye IRIS alitumia jina la Kim Hyeonjun agent wa South Korea aliyesalitiwa na nchi yake baada ya kwenda kwenye mission ya hatari huko Budapest Hungary.
Pia kama umeangalia MR SUNSHINE pia utakuwa umemuona humo. Hivi hapa ni vitu kumi kutoka kwake ambavyo pengine utakuwa huvifahamu.
1. Cha kwanza kabisa ni kwamba mpaka sasa ana miaka 50. Pamoja na kwamba anaonekana mdogo lakini amezaliwa 1970 huko Gwangju, Gyeonggi Korea ya Kusini.
2. Kama ilivyo kwa waigizaji kutokea Korea Lee Byung Hun ni msomi alipata degree ya French Literature pale HANYANG UNIVERSITY. Akapumzika kidogo.
Baadae alingia CHUNG ANG UNIVERSITY na huko akasomea Theater and Cinematography.
3. Wakati anaigiza IRIS Byung Hun alikuwa analipwa Usd 90,000 kwa episode moja. Ikumbukwe pia kwamba IRIS ilikuwa na episodes 16.
Hivyo Byung Hun alilipwa zaidi ya dollar Million 1 alipokuwa anaigiza IRIS.
4. Lee Byung Hun ni mume wa mtu. Amemuoa muigizaji mwenzie aitwaye Lee Min Jung (aliigiza kwenye Once Again) mwaka August 10 mwaka 2013.
Harusi hiyo ilifanyika pale Grand Hyatt Hotel Seoul.
5. Mwaka 2009 aliingia kwenye soko la filamu la nchini marekani baada ya yeye kuigiza kama STORM SHADOW kwenye movie ya GI JOE : THE RISE OF COBRA.
Movie hii ilimpa umaarufu mkubwa sana huko nchi korea na kupelekea watu wegi kutokea nchini Marekani wamfahamu.
6.Lee Byung Hun ana uwezo wa kuongea Kiingereza, Kifaransa, Kichina na Kikorea.
7. Byung pia ana kampuni iitwayo BH ENTERTAINMENT ambayo juzi juzi tu hapa iliingia mkataba na KAKAO H ilikuikuza kampuni hiyo.
BH imewasain waigizaji kama Kim Go Eun, Kim Yong Ji, Lee Jin Wook na Han Ga In.
8.Lee Byung Hun ni mojawapo kati ya wasanii wachache kutokea nchini Korea ambao wameshinda tuzo zote za heshima kubwa sana nchini Korea.
Tuzo hizo ni BAEKSANG ART AWARDS, BLUE DRAGON AWARDS pamoja na GRAND BELL AWARDS. .
9. Ukiachana na series pia Lee Byung Hun ameigiza movie mbalimbali kama ASHFALL, FORTRESS na THE MAN STANDING NEXT.
10. Mwisho kabisa Lee ana uzito wa 72 Kg.
Uzi tayari!