Ni kweli kabisa..Labda wewe unamsikia tu Nyerere..watu walikuwa wanaiba mali za umma wala hana habari nao yeye anaangaika na wapinzani wake wa kisiasa wakina Jumbe nk..Sokoine kujaribu kuwafanyizia wahujumu uchumi akawahishwa kuzimu..Umasikini wa Tanzania sio wa kutoka kwa Mungu-TAL"Mwalimu Nyerere aliongoza kijanjakijanja" By Mzalendo Tundu Lissu π
πππππStop your lies. So who is stopping chakubanga to name majizi MAKUBWA inside maccm!?
Polepole: CCM kuna majizi makubwa, kila nikitaka kuwataja wakubwa wananizuia! | Hao wakubwa ni nani zaidi ya M/kiti? Ukiwa CCM hukamatiki?
πππππ
TL hawezi kuwa Rais. Time will tell. Anaweza kuwa upinzani mzuri
Lisu hapati urais hutaki kunywa sumu ufe!
Ni kweli kabisa..Labda wewe unamsikia tu Nyerere..watu walikuwa wanaiba mali za umma wala hana habari nao yeye anaangaika na wapinzani wake wa kisiasa wakina Jumbe nk..Sokoine kujaribu kuwafanyizia wahujumu uchumi akawahishwa kuzimu..Umasikini wa Tanzania sio wa kutoka kwa Mungu-TAL
Wewe ni mpumbavu kweli. labda tukuulize wakati hii miswada ya kipumbav ya madini inasainiwa huyo MAGUFULI alikuwa wapi?Kipindi hicho alikuwa anaenda vizuri sana, wakati huo selikali kwa mujibu wa Mnyika ilikuwa dhaifu sana!
Sasa alipoingia Magu akaanza kushughulikia hayo ndio Lisu alipogeuka adui.
Kiufupi Lisu huwa anacheza ma wakati kulingana na kiongozi aliyepo madarakani na hufanya hivyo kwa manufaa yake.
Lisu angekuwa serious angeungana na Magufuli kupigania alichokuwa analipigania kwa muda wa hiyo miaka 30
Lakini yeye aligeuka akawa upande wa hao wezi huku akisema tutashitakiwa.
Kwa hivyo ni sahihi kusema kwamba Lisu alikuwa anapiga kelele, ili kelele zake ziwe zinampa kipato toka kwa hao wezi.