Huyu Ndiye Mange Kimambi ambaye uzushi wake unaungwa mkono na Kiongozi Mkuu Wa Chama. Ni aibu!

Huyu Ndiye Mange Kimambi ambaye uzushi wake unaungwa mkono na Kiongozi Mkuu Wa Chama. Ni aibu!

Status
Not open for further replies.
Huyu mdada ni mmoja kati ya mabinti wanaojua kuitumia keyboard kwa kasi na ujuzi wa aina yake. Kuna mambo anayapatia na kuna mengine anahemka sana. Hana simile. Hana haya wala hajui vibaya. Mdada huyu anasifika kwa kushusha vichambo vya nguvu kwa yeyote anayeingia kwenye anga zake.
Amevurugwa tu..
 
Mkuu nasikia kila anayeshindana naye zinabandikwa picha zake za tangu akiwa shuleni. Lakini yeye anazipataje habari za kiundani za watu wengi wa Tanzania kama vile aliishi na kila mbaya wake mtaa mmoja?
Ni mfukunyuku sana. Kabla ya kushusha madongo anajitahidi kuzitafuta taarifa za mtu kwa udi na uvumba. Unajua hizi social media zinatoa fursa ya kujua marafiki wanaohusiana. Sio marafiki zako wote wanakupenda kuna wengine ni wepesi wa kuvujisha mabaya yako, akimpata mbaya wako umekwisha. Atavujisha mabaya yako na wenyewe wanaita 'ubuyu', hapo ndipo utamfahamu Mange ni nani.
 
Emotional disturbed and very confused due to poor upbringing
Ila jasiri kwa kuwataja wauza unga hadharani
 
Mkuu nasikia kila anayeshindana naye zinabandikwa picha zake za tangu akiwa shuleni. Lakini yeye anazipataje habari za kiundani za watu wengi wa Tanzania kama vile aliishi na kila mbaya wake mtaa mmoja?

Si kweli Mkuu na nakukatalia hayo uyasemayo sema tu huko kote anakowaweza na hao anawaumbua hata wao ni wa " hovyo hovyo " kama Yeye. Hata hivyo karibia Samaki anakamatwa na mtego wa kisasa kabisa wa awamu ya Tano. Kwahiyo na Wewe Mkuu na UANAMUME wako wote huo UNAOGOPA kuumbuliwa au kutukukanwa au kuchafuliwa? Mwanamume kamili lazima muda wote awe tayari kwa lolote na jinsi ya kulikabili. Mange Kimambi ni Mtoto mdogo sana kwa Watu waliozoea na kubobea katika michezo ya hatari na " risk takers " hivyo acha kumwogopa na asikutishe Mkuu.
 
GENTAMYCINE mimi nilikuwa najaribu tu kutoa angalau yale ninayoyaona na kuambiwa kuhusu yeye. Maana nasikia si haba taarifa alizonazo za hao "wabaya wake".
 
Mwisho wake utafika na hana kazi ya kufanya nadhani kutwa yupo Instagram
 
Yule dada ukimgusa tu unaweza kufuta account zako zote kwenye social networks maana anachambua mpaka unaogopa simwelewi kabisa
 
Ni kichaa tu.. Sema haokoti makopo na kula jalalani..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom