Huyu Ndiye Mange Kimambi ambaye uzushi wake unaungwa mkono na Kiongozi Mkuu Wa Chama. Ni aibu!

Huyu Ndiye Mange Kimambi ambaye uzushi wake unaungwa mkono na Kiongozi Mkuu Wa Chama. Ni aibu!

Status
Not open for further replies.
Kwa sasa hata kwa sisi tusioingia huko Instagram tunajua kwamba Mange kimambi ndiyo mtanzania maarufu sana kuliko wote wanaotumia Instagram. Lakini kwa kumwelezea kuna watu wanamuona kama ni mtu mbaya sana asiyejielewa na mpenda sifa kijinga wakati wengine wanamuona ni Jasiri asiye na woga wala upendeleo na anakisema kitu kwa jinsi anavyokiona na kuamini kwamba kipo hivyo.

Je wewe unamuonaje Mange Kimambi na unaweza kumwelezea vipi?
It is not easy to find someone who can meet her standards, sababu ni mwanamke jasiri na msomi anayejua haki zake za msingi na wanawake wa kisasa walivyo. Mange obviously anajua anachokifanya na yupo tayari kutetea kwa gharama yeyote kile anachokiamini! Kuishi ughaibuni pia kumechaingia kuimarisha reputation yake...Huyo ndiye Mange ninayemfahamu.
 
yaani natamani siku moja afahamu majina halisi ya Lizaboni, pohamba , Ritz , lupyee , motichini , simiyu yetu bila kumsahau Juliana shonza , yaani awachambe hadi wakimbie humu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom