Huyu ndiye mke mtarajiwa wa Hemedy PHD

Huyu ndiye mke mtarajiwa wa Hemedy PHD

Kuna tetesi kuwa PHD na Gelly wa Rhymes wakutwa chumba kimoja wote wa uchi kama Adam na Eva/Hawa. Muuza Sura umewahi isikia hii?
 
Last edited by a moderator:
Huyo demu anaitwa muna omary, ni mtoto wa nje wa liumba.....phd hapo anapita tu maana demu mwenyewe majanga huyo, anataka kutoka na watu wenye majina tu

We mdau hapo juu nadhani unaongea bila kumjua huyo mtu unaemuongelea. Muna mi namjua uzuri na alikuwa anasoma shule moja na mdogo wangu Liverpool, uk . sasa kwa taarifa yako mtu yoyote anaemtambua huyu dada atakuwa amashtushwa sana kuona anatembea na Hemedy kwani ni watu wawili tofauti sana kuanzia malezi, muonekano na mpaka elimu! kama kuna mtu namjua asiependa kujiweka na watu wanaojulikana au kuweka amboa yake wazi ni muna. Kwa jinsi alivyo huyu dada muonekano wake na background yake angeweza kuwa na mwanaume very successful kwani ndo wangeendana na maisha yake. Na alikuwa nae ( Jina kapuni) mtoto wa mkubwa flani hivi lakini huyo kaka ni malaya balaa naona hapo ndo alipoona basi. Kuna na mtu mwenye hadhi kama yake sio lazima .Lakini Huwezi kujua wametokea wapi au nini kimemfanya awe na huyo hemedy. Lakini ndo hivyo ishatotea na naskia wako pamoja toka mwaka jana sasa ni karibia mwaka mzima . Nadhani hata huyo Hemedy kabadilika sana kwa kiasi kikubwa , hawezi kuwa na demu kama yule alafu bado mambo yake yale. maana huyo demu hapendi ujinga na ni wale dizaizi za ..... maana mwanaume utampa nini ambacho yeye hana? Kazi nzuri ( Kampuni ya gesi na mafuta), assets ndo usiseme, sio simu wala laptop wala tv ( na maanisha nyumba za kumilikiwa na yeye mwenyewe) na umri 27 kama sio 26hazidi hapo. hayo ndo mapenzi ya kweli watu wawili tofauti. Na naona hata huyo demu yuko free na mahusioanio yao yani hana habare na mtu wala hajali kuweka wazi. kitu ambacho sijawahi kuona kwake . Kama kuna mtu yeyote anaongea na Muna hapa mwambieni kila la kheri. Mi najua ni msichana anaejielewa na anajua anachofanya .Ngoja niende kwenye biashara zangu nami nikatafute pesa labda nitafanikiwa kuchukuwa mkopo benki nikanunue mjengo. OK.BY
 
hadi shoga nae ana mpenzi, ama kweli mabinti mna huruma.
 
Ameimba anataka mapeeeenzi sasa kapata nyie eti punga. Huyu yuko vzr niliishi jirani naye alikuwa ananyuka videmu kishenzi.
 
huyu jamaa si ni mpunga wa yule tajiri wa mabasi maarufu DAR -DODOMA au wameshaachana?
 
wamefanana mashavu na vidomo kazi kwako dada utaweza ku share dressing table poda wanja na lipstick na kumnunulia pamba na kumhonga mikaisari barobaro wako yetu macho
 
kibongobongo mtu kama mpoki wa ze comedy,inspector haroun,mrisho mpoto hata wavae sketi na kupaka powder na hata ikitokea wamepiga picha wamepakatwa na wanaume wenzao hawawezi kuzushiwa mashoga.........kwasababu wana sura chachu,ngumu na maumbo yasiyoeleweka!...........ila ukiwa una sura ya mama kashfa zitakuja tu

kweli kabisa, wahanga wengine ni wakina kinyaiya, sura zinawapoza sana.
 
huyu si aliwai ongea kua hana mpango kabisa wa kuoa imekuaje sasa?
 
huyu si aliwai ongea kua hana mpango kabisa wa kuoa imekuaje sasa?

Kama alisema hafikiri hilo, sarafu inapande mbili wala maneno yake sio sheria kasema kwa sasa yupo tayari elewa hvyo acha kuupa ubongo maswali magumu yasiyo natija. Kila jambo na wakati
 
Back
Top Bottom