Huyu ndiye msanii mwenye mafanikio makubwa kuliko yeyote Tanzania nzima

Mbona hakuna cha maana ulichoandika hapo
 
Yani kuna watu wana majibu humu, unaweza ukakimbia hata na uzi wako uliouanzisha
 
YALE YALE YA ZAMANI ETI OOOH JUMA NATURE ANA PESA KUFURU,HALAFU HAWANA DATA.NIMEJIONEA KWA MACHO NATURE ANA NYUMBA ZA KAWAIDA MBILI AU TATU HIVI NA GARI ALIYONAYO NI ALTEZA.KAMA UNABISHA NJOO MBAGARA RANGI 3 KISHA CHUKUA BODABODA WAAMBIE WAKULETE MABANDA KWA NATURE.

Nimesema yote hayo kuonesha namna watanzania wanavyoweza pika storh bila kua na data husika.Je huyo AY kwa assests gan alizonazo,kwa matasha gani anayofanya au kwa show gani anazozifanya na kwa mikataba ipi MIKUBWA ya matangazo aliyonayo zaidi ya Samsung!!!!
 
Mm FA sitaki hata kumsikia anamajivuno ndio maana mziki wake unakuwa kama bablish
 
Hujakosea mkuu, ila ungemtaja msanii mwngine tofaut na yeye ningekupiga penga..
 
hivi inakuaje hawa wasanii wakubwa walioibukia kuanzia 2008 mpaka sasa wanashindwa kabisa kutengeneza pesa na kuwa atleast mentioned kwny list ya wasanii wenye mkwanja........ukitoa diamond wengne cjui wanakwama wp mana kila siku naskia wale wale.......prof j, diamond, jay dee, and AY
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…