Huyu ndiye msanii mwenye mafanikio makubwa kuliko yeyote Tanzania nzima

Laki 1 x 10 =1m x 1,000 = 1bilioni x 1,000 = 1 trilioni, kwahiyo husidhani jamaa ni wadunia hii.
Hivi unajua hiyo pesa unayoizungumzia wewe Mengi achange hela zake na MODEWJI,AZAM BAKHRESA,MANJI Bado hazifiki 5.6bill$?![emoji15][emoji15]
 


No Research, no right to speak, unayajua mafanikio ww

Msaada wa bure kwako anayeongoza ni diamond platnum kwa mafanikio
 
Hivi nimesema 9.7 b$ ........ Hiyo nimekosea ni 29.7 b$.
Sawa nimekuelewa upo sahahihi. Namaanisha nimekulewa wewe ni wa aina gani. Upo ktk 1:4 ya wale wa tafiti ya karibuni.
 
Unahitaji kweli ushauri kumchukia mtu bila sababu huo mtaani tunauita uchawi
 
Habari za kuaminika ni kuwa,kumbe sio 5.6 b$, ila ni 9.7 b$ kuna mtu wake wa karibu kaniambia hapa.

Samsun unawatoa mapovu maGT wa JF
Na hizo $Billions sijui Trilion hawataki utani
 
Samsun unawatoa mapovu maGT wa JF
Na hizo $Billions sijui Trilion hawataki utani
Mkuu huu anaofanya huyu dogo ni utoto ambao haustahili mahala hapa. Haya wanafanya watoto ktk majukwaa yao huko facebook na kwingineko walikojaa wapuuzi. Naona JF imevamiwa siku hizi.
 
Ni kweli kabisa usemacho, na utajiri wake kwasasa ni 5.6b$.
Wewe unaota nnahisi!!!? Utajiri as Mengi, Bakhresa na Dewji na Rostam wote kwa pa1 haufiki pesa hiyo
 
kwa hiyo unanilazimisha mie mtoto wa kiume nimchukie Mwanaume mwezangu bila sababu yoyote kisa binadamu tumeumbwa na chuki?!

Nadhani wewe itakuwa ni mwanamke maana wanawake ndio wenye chuki za namna hii.Mwanamke anaweza kumchukia mtu tu kisa alimuona kwenye movie akimuwekea sumu yule actor kipenzi chake.

Hizo ni tabia za kike na sisi wanaume hatuwezi kuwa nazo umchukie dume mwenzio tena bila sababu yoyote!?

Wanaume tunachukiana tukinyimana deal na siku zote huwa tunaambiana ukweli na yanaisha kama akijatokea kitu.

Haya wewe mwezetu ni Jinsia gani?!
 
Habari za kuaminika ni kuwa,kumbe sio 5.6 b$, ila ni 9.7 b$ kuna mtu wake wa karibu kaniambia hapa.
Acha uongo wewe Msukuma msukume arudi Mwanza.

Huyo kaiwakilisha Tanzania au alikuwa Anafanya muziki nje ya Tanzania?

Huyo hata ukienda hapo Kenya hawamjui kama unabisha tuambie kabla ya kifo chake lini alifanya show japo hapo Mtwara na vipi aliwahi japo kuwepo kwenye Tuzo za kora maana ndio zilikuwa Tuzo kubwa kwa wakati ule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…