Huyu ndiye msanii mwenye mafanikio makubwa kuliko yeyote Tanzania nzima

Wasanii wengi wana maigizo Ukweli unakuja kujulikana wakirudisha namba ,mlikuwa mnajua kanumba alikuwa hana hata kiwanja.?
Maigizo yao ni ya kipuuzi. Kifo hufichua mengi sana. Wasanii huishi maisha ambayo siyo yao. Huyo AY amekuwa akisifiwa sana lakini hakuna kinachoonekana cha maana. Pesa ni kama kikohozi haijifichi. Ukiwa nazo itajulikana tu sio hadi kuleta matangazo mitandaoni.
 
Kipino cha utajiri kwa wataaluma ni umiliki wa mali(Net Asset) ,na mtiritiko wa fedha(Cash flow).kwa siku anaingiza fedha kiasi gani,na anamiliki mali za thamani kiasi gani?!
 
Kabisa Sanaa nyingi sana,huyo AY wanayemsifia ana hela sijawahi kusikia ana nyumba sehemu yeyote kama tunavyosikia kwa Diamond zaidi ya kuonyesha anaendesha Range Rover Vogue.
 
Mleta mada na washadadiaji wengine nyie account zenu zinasomaje?
 
Heri Wenye Moyo safi na Wasio na Unafiki Ndani Mwao...
 
"vile vile yeye ndiye msanii wa kwanza Tanzania kuipeperusha bendera ya Tanzania katika anga za kimataifa mpaka ulaya."
Kama unaweza kutudanganya hayo, basi uzi wako hauna maana. Watu wengi wamepiga show za ulaya na America lkn hukuwaona unatuleteza habari za kumpamba AY, unaacha Legend The Late Father Nelly na Xplasters!
 
Oya msitudanganye na uongo wenu AY hajawahi taja hela halizonazo kwanza af kipindi cha mkasi/ngazikwangazi anamiliki asilimia cio chake sasa ww unasema anamashamba sio ttzo masanja mkandamizaji unajua hana heka ngp za kilim cha mpunga ukiacha mengine kwahyo angekua ametaja kiasi alichonacho tungejua So mnaongea polojo tyuu
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] .. tuko wengi. Mimi hasa huyo FA.!
 
Ungeparia kusema ay ndo msanii mwenye kichwa kikubwa kuliko wote tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…