Wivu + majunguHuyu jamaa anaitwa Madebe Lidai au ukipenda muite nabii mswahili.
Jamaa amejizolea umaarufu kwa aina ya uigizaji wake kwa kutumia vijimisemo vyake vya kiswahili swahili na ameigiza filamu nyingi ila sitazitaja maana nitakuwa kama nampa promo tu .
Pointi yangu ya msingi ni kwamba huyu jamaa anamuonekano wa kimasikini sana halafu mchafu mchafu sana hajijali na anapenda uswahili kupindukia.
Kila anayopost ukiitazama utakuta miguu michafu michafu, au mazingira ni machafu machafu na mbaya zaidi ni uhalisia na sio labda yuko location ana shuti muvi.
Kwa ambao mpo karibu yake mchaneni ndugu yenu azingatie usafi na ajiweke kwenye muonekano nadhifu kidogo sio huo muonekano alionao wa kimasikini mpaka unakera.
View attachment 864913
una hormones nyingi za kike..siyo kosa lako...Tatizo kubwa ni mchafu mchafu sana.
Sawa.Hance Mtanashati unaongoza kwa thread za kikuda hapa JF
sawa.una hormones nyingi za kike..siyo kosa lako...
Kumbe uchafu siku hizi ni sifa , nilikuwa sijui hilo.Kwenye sanaa kuna kitu kinaitwa STYLE!
huu ni upekee wa msanii!
SASA best !
HUO HUO UCHAFU CHAFU WAKE NDIO ULIOFANYA UMUANDIKIE THREAD!
sawa?
haya kakojoe ulale!
Unamuonaje huyo jamaa?aisee!!!
Kuishi kiswazi sio shida, shida ni kujiweka kichafu chafu mpaka kero.jina lenyewe unaliona #Nabii MSWAHILI sasa unashangaa nn akiishi kiswazi
Duh.Akiwa msafi hamtanunua filamu zake,mtagundua anapata faida.
Kwani muonekano wako ukoje mkuuHuyu jamaa anaitwa Madebe Lidai au ukipenda muite nabii mswahili.
Jamaa amejizolea umaarufu kwa aina ya uigizaji wake kwa kutumia vijimisemo vyake vya kiswahili swahili na ameigiza filamu nyingi ila sitazitaja maana nitakuwa kama nampa promo tu .
Pointi yangu ya msingi ni kwamba huyu jamaa anamuonekano wa kimasikini sana halafu mchafu mchafu sana hajijali na anapenda uswahili kupindukia.
Kila anayopost ukiitazama utakuta miguu michafu michafu, au mazingira ni machafu machafu na mbaya zaidi ni uhalisia na sio labda yuko location ana shuti muvi.
Kwa ambao mpo karibu yake mchaneni ndugu yenu azingatie usafi na ajiweke kwenye muonekano nadhifu kidogo sio huo muonekano alionao wa kimasikini mpaka unakera.
View attachment 864913